Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,211
Hakieleweki kitu leo homeboy!..Arsenal leo lazima wachezaji wachanganyikiwe!!
Naona umeamua kuwa member sio guest tena ha ha ha. karibu.
..hili ni balaa!
Hawa wachezaji wetu wameshindikana , sasa hivi ndio wanajifanya kupiga mashuti.
Umejuaje?? mana nimesikilizia yamenishinda...nita-tost class ya wine kwa ajili ya Walcott tu japo kama mtapunguza gape hiyo inakuchoma kwa moyo🙂)