Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Man u, Chelsea wameharibu Sana soko
Mchezaji wa €40m wanamchukua kwa €100m
Mchezaji wa €40m wanamchukua kwa €100m
LukakuMan u, Chelsea wameharibu Sana soko
Mchezaji wa €40m wanamchukua kwa €100m
It is important to mention that Arsenal have spoken to Jorge Mendes about Joao Felix but they are focused on Mudryk deal more. No official bid . Not advanced between Felix and Chelsea. It's a possibility for Arsenal,CFC or UTD.
)Mpira sasa hivi ni miongoni mwa biashara kubwa sana duniani.Man u, Chelsea wameharibu Sana soko
Mchezaji wa €40m wanamchukua kwa €100m
Mpira sasa hivi ni miongoni mwa biashara kubwa sana duniani.
Makampuni ya betting yanaingiza pesa ndefu kwa kutegemea mpira.
Zama zimeshabadilika, sasa nyinyi endeleeni na huo ubahili wenu wa kipindi cha wenger muone kama mtasajili mchezaji yoyote wa maana zaidi ya kutegemea wachezaji wa hisani kutoka Man City.
Kama hamna pesa ni bora muendelee kukuza makinda yenu tu ila sio kulialia.


Ukweli usemwe ,mmeharibu soko, matokeo yake timu nyingine Zina demand huge 
| Michael Owen on Nketiah: Mchezaji wa uhakika na mchezaji wa media anaonekana mudryk ni mtu wa football huyo mtoto tunamsubir kwa ham sana aiseeHifadhi maneno mkuu Una uhakika gani atakuja kushine Kwa hawa premier League bully defenders ambao sio km WA kutoka ligi ya Ukraine
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
SanchoUkweli usemwe ,mmeharibu soko, matokeo yake timu nyingine Zina demand huge
Hivi kweli yule Anthony,Nunez,Lukazigo ni wachezaji wa /€100m?
JudeUkweli usemwe ,mmeharibu soko, matokeo yake timu nyingine Zina demand huge
Hivi kweli yule Anthony,Nunez,Lukazigo ni wachezaji wa /€100m?
Kwani comrade kipepe mlimnunua Kwa pesa ngapi hv ?tena ya mafungumafungu au pauni mil. 70+ n ndogo?Ukweli usemwe ,mmeharibu soko, matokeo yake timu nyingine Zina demand huge
Hivi kweli yule Anthony,Nunez,Lukazigo ni wachezaji wa /€100m?

Waliomnunua Pepe walishatimuliwa Arsenal ,Kwani comrade kipepe mlimnunua Kwa pesa ngapi hv ?tena ya mafungumafungu au pauni mil. 70+ n ndogo?![]()


Overrated player huyuJude
Waingereza hao.Overrated player huyu

️ #AFC
MKURUGENZI WA MICHEZO WA SHAKHTAR MWEZI ULIOPITA ALISEMA HIVI
"Ikiwa mtu anataka kumnunua Mudryk, lazima alipe pesa kubwa, kubwa na kubwa. Vinginevyo, rais wa klabu hatamuuza,”
Klabu zote lazima zimuheshimu rais, ziheshimu Shakhtar. Na, mwisho, zimuheshimu Mykhailo Mudryk, ambaye ni mmoja wa wachezaji bora niliowahi kuwaona. Ndiyo maana bei ni ya juu sana.
"Antony na Grealish ni wachezaji wenye bei ya zaidi ya euro milioni 100. Kwa maoni yangu, Mudryk ni mchezaji bora kuliko wao. Na kulikuwa na uhamisho wa Jadon Sancho kutoka Borussia Dortmund kwenda Manchester United. ...... Tunataka heshima tu. Soko huamua bei, sio mimi. Inaonyesha ni wachezaji gani wana thamani ya pesa kama hizo."






Ukweli usemwe ,mmeharibu soko, matokeo yake timu nyingine Zina demand huge
Hivi kweli yule Anthony,Nunez,Lukazigo ni wachezaji wa /€100m?



Matajiri wakipenda bidhaa hua hawana uswahili wa kulialia wapunguziwe bei, ndio maana matajiri wengi hua tunapenda kununua bidhaa zetu kwenye supermarkets sio magengeni, tatizo ni nyinyi mliozoea kununua vitu vya mafungu gengeni mnapolazimisha kwenda supermarket halafu mnakuja kutupigia makelele humu kua sisi matajiri tunauziwa vitu bei ghali sana wakati sisi tunaona ni reasonable price. Hawezi akaanza mkuu unaumwa kweli weweWaliomnunua Pepe walishatimuliwa Arsenal ,
Halafu Pepe Ni mchezaji ambaye hapo ChelKenge anaanza vzr na mtampigia makofi
Kilichomuondoa Arsenal Ni Standard anazozi set Kocha ,
Ukimbie Sana
Positional play uwe vzr
Sasa Pepe ana tofaut gani na Anthony wa man u au Ziyech hapo Ung'ombeni?
Sasa mbona mnapiga kelele kila Siku Grazzer out?Matajiri wakipenda bidhaa hua hawana uswahili wa kulialia wapunguziwe bei, ndio maana matajiri wengi hua tunapenda kununua bidhaa zetu kwenye supermarkets sio magengeni, tatizo ni nyinyi mliozoea kununua vitu vya mafungu gengeni mnapolazimisha kwenda supermarket halafu mnakuja kutupigia makelele humu kua sisi matajiri tunauziwa vitu bei ghali sana wakati sisi tunaona ni reasonable price.
Kila kitu kinaenda na standard yake, nyinyi Nyani bado hamjafikia level ya kununua mchezaji mwenye hadhi ya kuuzwa supermarket, katafuteni watoto kwenye Academy's muwalee, mkitaka wachezaji wa standard subirini kwanza Man City asajili kina Haaland wengine halafu nyinyi ndio mpewe kina Jesus ambao hawana tena namba kwenye kikosi cha kwanza.
Anaanza vzr kabisa, Tena mtamshangiliaHawezi akaanza mkuu unaumwa kweli wewe