Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
It is between Arsenal,Chelsea and United for Joao Felix as PL is his most likely destination. Loan with purchase option is seen a solution(@partidazocope tier 1
)
It is between Arsenal,Chelsea and United for Joao Felix as PL is his most likely destination. Loan with purchase option is seen a solution
)
14 goals in 21 starts since start of last season
Played deeper than Saka & Martinelli
Secure with the ball, completing 22 of 24 passes
Arteta praises off-ball intensity & pressingWasiwasi ni kwa hizo za away tu, ila home wote wanakufa haoNext 4 fixturesView attachment 2460077
Sawa bas watupe yule AlvarezMan city karudi kumtaka Mudrky
[] #ManCity are interested in Mykhaylo Mudryk.
[@SkySportsNews]
Man city atasajili wachezaji wa mhemko huyo dogo usajili wake kuja kwetu utafelishwa lbd na timu yake kumuwekea bei kubwa ila dogo anaitaka arsenal na mshenga ni zenchenkoMan city karudi kumtaka Mudrky
[] #ManCity are interested in Mykhaylo Mudryk.
[@SkySportsNews]
Hifadhi maneno mkuu Una uhakika gani atakuja kushine Kwa hawa premier League bully defenders ambao sio km WA kutoka ligi ya UkraineUkiona fabiansk anafaidi mlete kipa wako mechi bado zipo nae atafaidi tu kuna mtoto mshenzi anaitwa mudryk ni balaa jingine linakuj kuwafunza adabu mtanyooka tu kimyakimya

Ndio mana huwa mnajinyonga.Wasiwasi ni kwa hizo za away tu, ila home wote wanakufa hao
Tumeamua kuungama mkuu.Wale wakutuongezea muda, wametuongezea mpaka mwezi gani sazi?? Maana walianza October mtapoteana, wakapoteana wao, mara ooo baada ya world cup wanaendelea kuingia sio chaka tu msituni, sijui saizi wanasema mpaka lini tutapoteana?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumeamua kuungama mkuu. View attachment 2460538

️Arsenal will feel their first offer, which has been rejected, was quite fair (especially given Gakpo’s price tag). Shakhtar still pointing towards the likes of Antony though.
)