Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cheltako unapapaswa ukiwa wapi?
Maana si kwa hasira hizi
Kumbe ni chelsea ndio maana ana msongo wa mawazo...
E6A23A8C-CC38-4C7D-9395-BD1527E9D13B.jpeg
 
Skieni nyie kunguni wa arse8. Sisi tuna build timu yetu yani tunasuka kikosi cha kuja kuinyanyasa epl na uefa pamoja na mbanga zingine kwa misimu isiyopungua kumi. Yani tutahakikisha epl tunaikamata kwa misimu kumi halafu ndio tuwaachie nyie matakataka kama tunavyowapa eyataimu nao munashaini tu kwa sababu wanaume tuko chimbo tunajenga na kusuka kosi la dunia.
 
Skieni nyie kunguni wa arse8. Sisi tuna build timu yetu yani tunasuka kikosi cha kuja kuinyanyasa epl na uefa pamoja na mbanga zingine kwa misimu isiyopungua kumi. Yani tutahakikisha epl tunaikamata kwa misimu kumi halafu ndio tuwaachie nyie matakataka kama tunavyowapa eyataimu nao munashaini tu kwa sababu wanaume tuko chimbo tunajenga na kusuka kosi la dunia.
Ulichovuta usitudie tena...
 
Skieni nyie kunguni wa arse8. Sisi tuna build timu yetu yani tunasuka kikosi cha kuja kuinyanyasa epl na uefa pamoja na mbanga zingine kwa misimu isiyopungua kumi. Yani tutahakikisha epl tunaikamata kwa misimu kumi halafu ndio tuwaachie nyie matakataka kama tunavyowapa eyataimu nao munashaini tu kwa sababu wanaume tuko chimbo tunajenga na kusuka kosi la dunia.
Bange nibangue
 
Hili huwa nawaambia jamaa zangu mtaani Nketia ni poacher anajua kukaa maeneo ya kufunga na ni Finisher mzuri pia kuliko Jesus.ila over all parfomance ndio inayomsumbua na consistency pia .
Wanaoangalia mpira Sana ndio watakuelewa hapa

Nketiah anamzidi Jesus kwenye Finishing, nilikuwa nakataa hiki kitu ,ila nimeangalia game zao nikakubaliana na hiki kitu

Uzuri wa Jesus Ni full package

Anazunguka uwanja mzima dakika zote 90

Ana Skills

Dribbling

Workrate

Leadership

Pressing

Positional play yake Ni ya Hali ya juu

Pep aliwahi sema Jesus Ndiye Defender/striker Bora kuwahi kumuona.

Mechi nyingi unamkuta anaanzisha move za magoli chini kabisa kwenye Dimba

Utamkuta pembeni ,ana act winger mwenye skills kabisa

Mwisho utamkuta Central ,hapo finishing yake ndio ipo chini

Nketiah ana vingi vinashabihiana na Jesus ,but kaachwa mbali Sana
 
Anakuaje na consistency without game time? He needs minutes, Doubt him at your own risk
Nimeangalia ile turning wakati anafunga lile goli nikahitimisha rasmi tunamhitaji either kama starter au squad player.
Zile turning zilinikumbusha RVP na TORRES,dogo anabalaaa lake sema ndo hivyo tu ila umri unamruhusu kujiboresha
 
Ila wakati dunia inamuimba partey dogo odegaard anakitu cha balaaa sana kwenye miguu na macho yake.
Ile pass ya goli la kwanza la saka mabeki walibaki wanashangaaa na wengine walishika vichwa kabisa.tactically na technically dogo ni gifted.
Kwa mbali captain ode ananikumbusha alexander hleb au nasri aliye form. Kitu pekee anatakiwa kuboresha ni physical game yake
 
Skieni nyie kunguni wa arse8. Sisi tuna build timu yetu yani tunasuka kikosi cha kuja kuinyanyasa epl na uefa pamoja na mbanga zingine kwa misimu isiyopungua kumi. Yani tutahakikisha epl tunaikamata kwa misimu kumi halafu ndio tuwaachie nyie matakataka kama tunavyowapa eyataimu nao munashaini tu kwa sababu wanaume tuko chimbo tunajenga na kusuka kosi la dunia.
Hizi ndoto nyevu bado mnazo kumbe
JamiiForums30731364.jpg
 
Ila wakati dunia inamuimba partey dogo odegaard anakitu cha balaaa sana kwenye miguu na macho yake.
Ile pass ya goli la kwanza la saka mabeki walibaki wanashangaaa na wengine walishika vichwa kabisa.tactically na technically dogo ni gifted.
Kwa mbali captain ode ananikumbusha alexander hleb au nasri aliye form. Kitu pekee anatakiwa kuboresha ni physical game yake
Physicality yake inaongezeka game after game
Kama umemcheki jana aliwin duels nyingi tu
 
Ila wakati dunia inamuimba partey dogo odegaard anakitu cha balaaa sana kwenye miguu na macho yake.
Ile pass ya goli la kwanza la saka mabeki walibaki wanashangaaa na wengine walishika vichwa kabisa.tactically na technically dogo ni gifted.
Kwa mbali captain ode ananikumbusha alexander hleb au nasri aliye form. Kitu pekee anatakiwa kuboresha ni physical game yake
Najiuliza alikua anapiga shuti ama daaah
 
Back
Top Bottom