Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Subiri uone Sasa tunambeba kwa Bei chini ya hiyo €100mMatajiri wakipenda bidhaa hua hawana uswahili wa kulialia wapunguziwe bei, ndio maana matajiri wengi hua tunapenda kununua bidhaa zetu kwenye supermarkets sio magengeni, tatizo ni nyinyi mliozoea kununua vitu vya mafungu gengeni mnapolazimisha kwenda supermarket halafu mnakuja kutupigia makelele humu kua sisi matajiri tunauziwa vitu bei ghali sana wakati sisi tunaona ni reasonable price.
Kila kitu kinaenda na standard yake, nyinyi Nyani bado hamjafikia level ya kununua mchezaji mwenye hadhi ya kuuzwa supermarket, katafuteni watoto kwenye Academy's muwalee, mkitaka wachezaji wa standard subirini kwanza Man City asajili kina Haaland wengine halafu nyinyi ndio mpewe kina Jesus ambao hawana tena namba kwenye kikosi cha kwanza.


#AFC 


