jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 10,949
- 10,567
ThanksNext Brighton , Newcastle ,
ThanksNext Brighton , Newcastle ,
mudryk anavyoipenda Arsenal yuko tayari hata acheze bure.



Mudrky bhana anajipakulia minyama tumudryk anavyoipenda Arsenal yuko tayari hata acheze bure.
Huyu Dogo mechi na Man u atakuwa tayari kashatua
Kwa nini hukujilalia?? Mambo mengine ni kujitakia...wewe unaona kabisa arsenal wako kwenye mission unaweka mguu??Hawa west ham ni misukule kabisa...hata ndanda asingepigwa comeback ya hivyo aaaaarrgh nilale sasa
Tight affairs...Next Brighton , Newcastle ,
If we can win these two games, will be a wonderful a wonderful, wonderful December and January.Next Brighton , Newcastle ,
Lile goli lake kalifunga kibabe mnoNunez kaweka kumbu kumbu ya pekee kama striker! Inasemwa kuwa ndio mshambualiaji wa kwanza kupata nafasi 12 nzuri kabisa na hakuweza kuweka goli
Eddie Nketiah is The Better finisher than Darwin Nuñez.
Ila watu watamprefer Nuñez kwa sababu he is not a home grown player na amenunuliwa €100m
Mimi kwa mtazamo wangu naamini Sasa ,Baada ya kuwaangalia Sana nketiah na JesusLile goli lake kalifunga kibabe mno







What a baller!Martin Ødegaard vs. West Ham:
93% pass accuracy
81 touches
60 passes
12 passes into opposition box (most on the pitch)
7 x possession won
6 duels won
6 shots (most on the pitch)
5 chances created (most on the pitch)
2 take-ons completed
2 assists
1 nutmeg![]()
Umeandika kwa uchungu sana,poleNyie matakataka huu musimu mutashaini kimtindo ila baada ya hapo mutapoteana kabisa ..takataka nyie


Pole sanaNyie matakataka huu musimu mutashaini kimtindo ila baada ya hapo mutapoteana kabisa ..takataka nyie
Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari sisi ni dozi juu ya dozi hakuna kima atasalimikaHizi Kima huu mzunguko wa pili hakuna rangi zitakazoacha kuona.
Sasa hivi ni mwendo wa kugongwa home & Away mpaka zirudi kwenye nafasi ya 13.
# Kataa wahuni
