Tanzania Norway
JF-Expert Member
- Oct 9, 2022
- 338
- 656
Ukiona fabiansk anafaidi mlete kipa wako mechi bado zipo nae atafaidi tu kuna mtoto mshenzi anaitwa mudryk ni balaa jingine linakuj kuwafunza adabu mtanyooka tu kimyakimyaBodi ya Westham inakaa leo kumjadili aliekua kipa wa Arsenyani Lukasz Fabiansk, bodi inadai kwa makusudi kabisa Fabiansk aliwahujumu kwenye mechi yao ya jana dhidi ya Nyani.
Pia kuna uwezekano mkubwa FA kumpiga faini au kumfungia mechi kadhaa.
Nyie kima acheni kutoa rushwa kwa wachezaji wenu wa zamani wanaocheza katika vilabu vingine kwa sasa, huu ujinga mnaofanya utasababisha wachezaji wenu kutouzika kwa kuonekana ni mamluki.
Kwa uhuni mlioufanya kwa Fabiansk kampeni ya "Kataa Wahuni" sasa hivi ndio itapata nguvu kubwa.
#Kataa wahuni
️"Both Arsenal and Manchester United have had discussions with Jorge Mendes about Joao Felix, also Chelsea and Aston Villa have been approached. I’m told this week there will be new talks to find a way for Joao Felix."
)