Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bodi ya Westham inakaa leo kumjadili aliekua kipa wa Arsenyani Lukasz Fabiansk, bodi inadai kwa makusudi kabisa Fabiansk aliwahujumu kwenye mechi yao ya jana dhidi ya Nyani.
Pia kuna uwezekano mkubwa FA kumpiga faini au kumfungia mechi kadhaa.
Nyie kima acheni kutoa rushwa kwa wachezaji wenu wa zamani wanaocheza katika vilabu vingine kwa sasa, huu ujinga mnaofanya utasababisha wachezaji wenu kutouzika kwa kuonekana ni mamluki.

Kwa uhuni mlioufanya kwa Fabiansk kampeni ya "Kataa Wahuni" sasa hivi ndio itapata nguvu kubwa.



#Kataa wahuni
Ukiona fabiansk anafaidi mlete kipa wako mechi bado zipo nae atafaidi tu kuna mtoto mshenzi anaitwa mudryk ni balaa jingine linakuj kuwafunza adabu mtanyooka tu kimyakimya
 
️"Both Arsenal and Manchester United have had discussions with Jorge Mendes about Joao Felix, also Chelsea and Aston Villa have been approached. I’m told this week there will be new talks to find a way for Joao Felix."

(@FabrizioRomano )

caughtoffside.substack.com/p/the-daily-br…
 
Mwenye uelewa anisaidie “ a player with a contract ending 31.12.2023, currently earning $80,000 per week, has renegotiated his contract extension up to 31.12.2027 with improved package say $200,000 per week. Agreement reached on 31.12.2022. Ninachotaka kujua ni lini ataanza kulipwa $200,000?
 
Mwenye uelewa anisaidie “ a player with a contract ending 31.12.2023, currently earning $80,000 per week, has renegotiated his contract extension up to 31.12.2027 with improved package say $200,000 per week. Agreement reached on 31.12.2022. Ninachotaka kujua ni lini ataanza kulipwa $200,000?
Pale atakaposaini tu paperwork , immediately ataanza kulipwa
 
WIMBO WA MARTIN ØDEGAARD PALE EMIRATES


“We’ve got a brand new Martin Odergaard, Arsenal’s no 8.

We’ve got a brand new Martin Ødergaard, we just think he’s great.

When he sees Saka running, he puts it on a plate,

OH, we’ve got a brand new Martin Ødergaard, Arsenal’s no 8”
 
️"Both Arsenal and Manchester United have had discussions with Jorge Mendes about Joao Felix, also Chelsea and Aston Villa have been approached. I’m told this week there will be new talks to find a way for Joao Felix."

(@FabrizioRomano )

caughtoffside.substack.com/p/the-daily-br…
Huyu arsenal hawamtaki... tayari wako serious kumpata winga mykhailo modryk, anahitaji striker sasa na sio mchezaji kama jaoa...
 
Mwenye uelewa anisaidie “ a player with a contract ending 31.12.2023, currently earning $80,000 per week, has renegotiated his contract extension up to 31.12.2027 with improved package say $200,000 per week. Agreement reached on 31.12.2022. Ninachotaka kujua ni lini ataanza kulipwa $200,000?
Inategemeana na makubaliano ila mara nyingi ni with immediate effect...
 
Nketiah anapaswa kuongeza kiwango.... Ile 1vs1 alikuwa ampunguze yule beki abaki na kipa, akapiga kishuti mtoto kikawa blocked, hata kam kingepita kipa angeokota.
Goli alilofunga ni zuri na muhimu pia, asibweteke.

Sijui jesus atarudi lin
Nketiah huyu atatuzingua ktk big match pia hana consistancy atakufurahisha game mbili then anakutoa povu game 4
 
Newcastle wanatumia Sana nguvu pia warefu ,ila wachezaji wao Sio Technical Kama wetu ,ukimtoa Guimares Sion mchezaji wao mwenye Technical ability kubwa kuwazidi Øde,saka, Partey , Zinny,


Itakuwa mechi ya Physical Vs Technical


Kuhusu mechi ya man u tuliwakosa Partey 1st choice ,tukamkosa Muddy 2nd choice

Dimba akakamta Lokonga, Lakini Cha ajabu na hakikunishtua , Ni hiyo mechi pamoja kiungo Lokonga bado man u walishindwa kumiliki mpira kwa muda mwingi
Newcastle kwa nguvu wanazotumia watachoka haraka alafu watakuja kugundua Arsenal wapo kila mahali.
 
Tutolee upumbavu apa intagriti ya nyokoo
258E1E85-2669-40ED-AD72-5DBCA35D1BD3.jpeg
 
Back
Top Bottom