Lol wakuu kama hamtaki dakika za nyongeza basi msiwe mnafanya faulu.
Duh watani what is happening, naona jamaa kila mkifunga nao wanasawazisha...Stakes are high in north london.
3 - The only other PL game this season that saw 3 goals in the opening 15 mins was Newcastle v Arsenal, (FT 4-4). Opta Stats