verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Hao hawapo ata kwenye benchiWeka martinel acheze tisa pemben weka nelson/Smith rowe. Nketiah atatuchelewesha, n heri atokee bench
Hao hawapo ata kwenye benchiWeka martinel acheze tisa pemben weka nelson/Smith rowe. Nketiah atatuchelewesha, n heri atokee bench
Nadhani mnaona leo timu za ugenini kimezikuta nini mnafuata.View attachment 2459245
Aisee kumbe hakuna aliyeshinda home?Nadhani mnaona leo timu za ugenini kimezikuta nini mnafuata.View attachment 2459245
team kama limemuathiri kiwango chakeNi suala la muda tuNyundo ya kwanza iyo.....
Wanatafuta counter attackJamaa wamepaki basi mapema
Mnakalishwa, not munakalishwa. Acha kuwa kama shabiki la utopoloniNyie matakataka hii game ya leo munakalishwa
Zimebaki dakika chache kabla ya Wagonga nyundo wa London kwenda kugongelea misumari mitatu ya utosi.
Leo ndio tunaanza ile kampeni yetu rasmi ya "Kataa wahuni" sasa hivi hamna kucheka na Nyani mpaka ligi inaisha. View attachment 2459227View attachment 2459228



kataa wahunikumbe hawa Arsenyani wana jina jingine halafu hata hawasemi?




Jina lao hiloooo!!!!Naona kampeni ya "Kataa Wahuni" imeanza vizuri sana, hizi Nyani ni kuziacha zipige vyenga zinavyotaka ila kila zikiangalia ubao zinauona unawang'ong'a.kataa wahuni
Kwenu wapi?Mbande au...!?Game bado ipo kwetu
#COYG

Tumeelewana mzee wa press conference? Aaron ArsenalNaona kampeni ya "Kataa Wahuni" imeanza vizuri sana, hizi Nyani ni kiziacha zipige vyenga zinavyotaka ila kila zikiangalia ubao zinauona unawang'ong'a.
Wagonga nyundo bado wana misumari yao miwili pembeni.
#Kataa wahuni