Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna habari kutoka Ukraine ofa ishatumwa

Tusubiri news zaidi

| Shakhtar has received an official offer from #Arsenal for winger Mudryk, reports Ukrainian journalist Ihor Tsyhanyk. Sources tell UA-Football Arsenal’s proposal is “decent and adequate.” #AFC
 
Zinchenko and Saliba arrived with the squad.
IMG_20221226_214603.jpg
IMG_20221226_214600.jpg
 
Upo sahihi ndio maana mshikaji anashinda humu, kuliko hata kule kwa manyumbu.
Binafsi hili jukwaa lenu hua nalichukulia tu kama jukwaa la jokes.
Humu kuna vituko na vihoja vya kila namna.
Mashabiki wengi wa humu ni wale vijana ambao ndio kwanza wametoka kubaleghe hivyo wapo kwenye foolish age, bila ya kuwepo watu wazima wenye busara kama mimi humu hawa vijana wataharibika kimaadili, ndio maana hua nikiinga humu mara kwa mara nawapa nasaha waache matusi, waheshimu watu wazima tuliowazidi umri na pia waachane na matumizi ya konyagi na bhangi kwa ustawi mzima wa jamii na taifa kwa ujumla.
Ni hayo tu mkuu yanayonifanya muda mwingi niutumie kwa hawa vijana waliokosa malezi ya pande mbili.
 
| @MatteMoretto: #Arsenal, Man United and Chelsea accelerate for Joao Félix

“The feeling is that by the first week of January a conclusion could be reached on the matter.

“Arteta believes that the Portuguese could be the right player to raise his football level even more.”
 
4-3-3


The Arsenal line-up to take on West Ham at the Emirates Stadium this evening…

We’re back and so is William Saliba as Arsenal look to make it seven points clear at the top of the Premier League table…
IMG_20221226_220339.jpg
 
4-3-3


The Arsenal line-up to take on West Ham at the Emirates Stadium this evening…

We’re back and so is William Saliba as Arsenal look to make it seven points clear at the top of the Premier League table…
View attachment 2459217
Weka martinel acheze tisa pemben weka nelson/Smith rowe. Nketiah atatuchelewesha, n heri atokee bench
 
4-3-3


The Arsenal line-up to take on West Ham at the Emirates Stadium this evening…

We’re back and so is William Saliba as Arsenal look to make it seven points clear at the top of the Premier League table…
View attachment 2459217
Zimebaki dakika chache kabla ya Wagonga nyundo wa London kwenda kugongelea misumari mitatu ya utosi.

Leo ndio tunaanza ile kampeni yetu rasmi ya "Kataa wahuni" sasa hivi hamna kucheka na Nyani mpaka ligi inaisha.
Screenshot_20221226_221302.jpg
Screenshot_20221226_221416.jpg
 
Back
Top Bottom