Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hakuna cha data wala Wi-fi
Mnatuletea mapicha ya watu wako kwenye dialogue halafu mnatudanganya kua wapo darasani wanakula pindi la Teta boy.
Huyo Mateka ashawageuza kua misukule yake, sasa hivi nyie ni mwendo wa kusifu na kuabudu tu.
Humu Jukwaa la Arsenal, mzee baba unategemea tumzungumzie Ten hag au Klopp ? Wanatuhusu humu?


"Wakati nina miaka 30 Pep Guardiola alinipigia simu wakati yupo Barcelona na Bayern Munich.Akaniuliza unaweza kuwa Msaidizi wangu nina mpango wa kufundisha soka nchini England" MIKEL ARTETA

"Lakini nikamwambia mbona bado nacheza? Hapo ndo nilipogundua natakiwa kuwa serious sasa kuhusu maswala ya kufundisha soka

Hushagai hii influence ya PEP GUARDIOLA kwa Mikel Arteta

Arteta pia anasema wakati Pep Guardiola yupo Barcelona na Bayern Munich alikuwa anamtumia kumfanyia uchambuzi wa team za England pindi akikutana.Imagine that

Lakini kwenye Ile Interview na Carragher ,Arteta aliendelea kusema yeye na Pep Guardiola urafiki wao hasa ulianza wakati ana miaka 15 anachipukia kwenye kikosi Cha Barcelona.Na yeye akawa anatamani kuwa yeye.

Hawa Jamaa hawajakutana Barabarani Aiseeee
 
Duncan Castles:

"Atletico iko tayari kumruhusu Joao Felix ajiunge na klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza kwa mkopo mwezi ujao (ilimradi tu gharama za FFP za kandarasi zishughulikiwe kikamilifu). Arsenal wana nia ya kumsajili Felix kufuatia kumpoteza Jesus kwa upasuaji. ." [@Daily_Record]


Duncan Castles Ni reliable kwa habari za kambi ya Mendes


Mendes Ni wakala wa Joao Felix
 
Huko mnakoelekea sasa mashabiki wa Arsenyani muda sio mrefu itabidi tuanze kuwafunga kamba mikononi na miguuni.
Mwenzako Aaron Arsenal alituambia Kocha wa morocco Walid Regragui ni mwanafunzi wa Arteta halafu na wewe leo unakuja na hii hekaya ya Pep.
Kesho atakuja mwingine atudanganye kua Carlo Ancelotti, Zinedine Zidane, Vicent Del Bosque, Manuel Pellegrini, Lionel Scaloni, Stefano Pioli, Ronald Coeman, Luis Enrique, Luis Van Gaal pamoja na Julian Nagelsmann wote hao ni wanafunzi wa Michael Arteta.
Huko mnakoelekea nyie Nyani tutawanyang'anya hizo smart phone halafu tuwarudishe kwenye ile Hotel yenu ya Dodoma. View attachment 2455519
Bwege
 
hakuna cha data wala Wi-fi
Mnatuletea mapicha ya watu wako kwenye dialogue halafu mnatudanganya kua wapo darasani wanakula pindi la Teta boy.
Huyo Mateka ashawageuza kua misukule yake, sasa hivi nyie ni mwendo wa kusifu na kuabudu tu.
Hili Linkingwa kweli
 
| Arteta kuhusu kama Saliba atacheza dhidi ya West Ham:


"Wacha tuone - hiyo inategemea jinsi atakavyorudi pia. Tuna data ya kile alichokifanya katika mazoezi huko timu ya Taifa, na kwa suala la dakika halisi hakushiriki sana.Hebu tuone, akirudi tutafanya uamuzi.


[@arsenal]
 
Unauliza makofi polisi

Kasikilize interview ya Cara na Arteta Sky sport kwenye MONDAY NIGHT FOOTBALL

| Mikel Arteta on Pep Guardiola: “We met when I was 15 years old. He was my idol.

“He was a Barcelona manager and Bayern Munich manager, he used to call me to ask me about English teams, and how would you play against that?” [@SkySportsPL] #afc
Yaan leo hii Pep asadiwe na huyo mbugila kushinda games! Mmerogwa nyie.
 
Mykhailo Mudryk / Rafa Leao which is which? Wote moto mkali ila kuna watu wanaumia, alaumiwe Arteta kwa kuirudisha Arsenal

Rafa Leão:

“I watch many games. This year, I like Arsenal — they’re playing very well”. https://t.co/1a5Snatpnr
Ndio maana Kuna watu Wana chuki humu na Arteta kuirejesha Arsenal icheze Sex football

Leo na Jana Kuna habari ya Felix kuhitajika na Man u na Arsenal

Sasa Felix aliyekuwa kwenye Haram football kwasasa anataka timu offensive inayocheza kwa kueleweka , hivi anaweza kufanya kosa Tena kwenda man u ?


Soma hizi habari

️"It’s true they had conversations with his agent, Jorge Mendes.

“But it depends on the conditions of the deal because if it’s more than €100million, I think it is going to be difficult.”

- @FabrizioRomano on Arsenal and Joao Felix

(@GiveMeSport)

Joao Felix negotiations are at a close. It's between Arsenal and United

(@AlexisBernard10 exclusive)

His Exclusives are reliable usually.
 
Mykhailo Mudryk / Rafa Leao which is which? Wote moto mkali ila kuna watu wanaumia, alaumiwe Arteta kwa kuirudisha Arsenal

Rafa Leão:

“I watch many games. This year, I like Arsenal — they’re playing very well”. https://t.co/1a5Snatpnr
Arsenal and City have the furthest forward defensive lines in the PL. United have the deepest

(via @markrstats ,
IMG_20221224_234017.jpg
 
As per @calciomercatoit , Juventus are nervous that Arsenal will bid for Rabiot in January and an offer of 15m is something they cannot refuse as he will soon be a free agent.
 
Arsenal and City have the furthest forward defensive lines in the PL. United have the deepest

(via @markrstats ,View attachment 2457176
Ajabu ni pale mtu anacompare Varane+Martinez dhidi ya Saliba + Gabriel ikiwa stats zinaonesha timu linaongoza kwa kupaki bus kwenye ligi, timu linapaki bus kuzidi Everton & Wolverhampton, yaani Tanzania prisons la ulaya, wajelajela original.
 
Ajabu ni pale mtu anacompare Varane+Martinez dhidi ya Saliba + Gabriel ikiwa stats zinaonesha timu linaongoza kwa kupaki bus kwenye ligi, timu linapaki bus kuzidi Everton & Wolverhampton, yaani Tanzania prisons la ulaya, wajelajela original.
Haha 🤣😂 wajela jela gwaa...
 
| @FabrizioRomano on Mudryk and #Arsenal:

“Arsenal have a feeling that Shakhtar could maybe accept €60m/€65m [£52m/£57m] to find the right package to include maybe some add-ons to find some smart formula to sign Mudryk.”

[@GiveMeSport] #afc
 
Kuna sauti inaniambia hii January tunashusha vyuma viwili had vitatu


Mudrky main target ,Mazungumzo yanaendelea vizuri ,Mchezaji ana push deal limalizike


Deal la Joao Felix , PSG kajitoa , tumebaki Arsenal na Man u

Formula ya deal ina vipengere hivi

1.Mkopo wenye masharti ya lazima kumnunua kwa €120m/130m

2.Mkopo wa miezi 6 pia ulipe full salary yake ya £265k per week na ulipe loan fee £9m

UGUMU WA DILI LA JOAO FELIX UPO HAPO , Kwenye kipengere Cha Loan with cumpusory/obligation to buy ,yaani unamchukua kwa mkopo lakin June lazima ulipe €120/130m

Arsenal wanamtaka kwa mkopo ila wenye kipengere Cha Loan with option to buy, yaani mkopo wenye kuchagua kumnunua au kutomnunua

Kwa mujibu wa Duncan Castles ambaye Ni mtu wa karibu Sana na wakala wa Joao Felix bwana Mendes , anasema Arsenal na man u ndio wamebakia kwenye hili dili na Arsenal Wakiwa mbele zaidi.

Tusubiri tuone Nini kitatokea January hii
 
Mykhailo Mudryk / Rafa Leao which is which? Wote moto mkali ila kuna watu wanaumia, alaumiwe Arteta kwa kuirudisha Arsenal

Rafa Leão:

“I watch many games. This year, I like Arsenal — they’re playing very well”. https://t.co/1a5Snatpnr
Our project now inajiuza yenyewe haihitaji kutumia nguvu kubwa kumshawishi mchezaji aje

Juzi Lisandro Martinez anasema alishakubali kuja Arsenal , ila Sababu tu ya Ten hag anamuheshimu walifanya nae Kaz Ajax ,akaelekea unyumbun
 
HILI DEAL SOON TUTEGEMEE BREAKING NEWS

.@FabrizioRomano (Mudryk)

“Arsenal have a feeling that Shakhtar could maybe accept €60m to €65m to find the right package to include maybe some add-ons to find some smart formula to sign Mudryk.”
 
Kuanzia asubui ya leo sijabanduka kwenye luninga ili kuangalia Highlights zote za ligi kuu tangu msimu uanze hadi iliposimama

Tunakumbushana tu kama nawewe Una wasaa basi waweza kutulia na kucheki game zote, super sports

Kwa upande wa Arsenal wamefikia game hii, kama ulikuwa unajiuliza ni namna gani Arsenal alikaa juu kwenye msimamo basi muda wako ndio huu
IMG_20221225_144242.jpg
 
Back
Top Bottom