


Huko mnakoelekea sasa mashabiki wa Arsenyani muda sio mrefu itabidi tuanze kuwafunga kamba mikononi na miguuni.
Mwenzako
Aaron Arsenal alituambia Kocha wa morocco Walid Regragui ni mwanafunzi wa Arteta halafu na wewe leo unakuja na hii hekaya ya Pep.
Kesho atakuja mwingine atudanganye kua Carlo Ancelotti, Zinedine Zidane, Vicent Del Bosque, Manuel Pellegrini, Lionel Scaloni, Stefano Pioli, Ronald Coeman, Luis Enrique, Luis Van Gaal pamoja na Julian Nagelsmann wote hao ni wanafunzi wa Michael Arteta.
Huko mnakoelekea nyie Nyani tutawanyang'anya hizo smart phone halafu tuwarudishe kwenye ile Hotel yenu ya Dodoma.
View attachment 2455519