Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal’s remaining representatives at the 2022 World Cup:

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Aaron Ramsdale
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka
William Saliba

They face each other today
"They face each other today" utadhani hata watapata hiyo nafasi ya kucheza.
 
antony, raphinya, rodrigo

Hao wote kiuwezo hawamfikii martinel
Kwanza martinel ana nidhamu ya mpira
Anacheza kitimu
Anaweza kukaba
Anaweza kuzuia
High speed
Martinel ameonesha impact kubwa kuliko hao kwenye level za klabu

Matokeo haya Brazil wamestahili
Mtu isipomfaa akili, utamfaa ujinga
hili jukwaa limejaa comedian's.
mkorea kupata kichesho kingine kama hichi unabonyeza ngapi?
 
Kwani EPL inarudi lini wakuu? maana kuna watu tunawadai huku na washaanza kunenepeana tu mtaani
 
Michezaji y Arse88 ina nux, Saka kashawachomesha waingereza. Ndio mana timu nyingine zinaweka michezaji ya Arse88 benchi.
 
French media full of praise for Saka, stating that he is right up there with Mbappe calling his performance outstanding, some french pundits even saying they never knew he was that good until tonight


MY FUCKING STARBOY!!!!

Bukayo Saka

HALE END TALENT RIGHT THERE!
FB_IMG_1670226325347.jpg
 
UKINUNA UWE NA SABABU

I ran Dembele>Saka last season because of the explosiveness/pace advantage.

But Saka’s ability inside in the half-spaces nowadays is scary + an overlapping FB.

Combined with his insane IQ, decision-making, and increased strength.

Saka is better for me now.
 
Back
Top Bottom