Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira Umekwisha 3-0 Lyon

Gabriel
Nketiah
Fábio Vieira

Penati 2-1 Lyon
Arsenal
Lyon

Golikipa Karl Hein ameokoa penati 4 za Lyon.

Tumepata jumla ya alama 4 kwenye mchezo wa leo baada ya kushinda kwenye dakika 90 na kwenye penati.

Sheria za Dubai Super Cup, baada ya dakika 90 bila kujali matokeo timu zitaingia kwenye mikwaju ya penati kwa ajili ya kutafuta alama za ziada.

Ushindi: alama 3 na zaidi.
Droo: alama mbili kwa timu zote.
Mshindi wa mikwaju ya penati: alama moja ya ziada.

Timu itakayo kusanya alama nyingi baada ya mechi mbili itabeba kombe la Dubai.
IMG_20221208_185156.jpg
 
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Ulitakiwa kuwa shabiki wa man city maana hizi ndio tabia zao.
 
antony, raphinya, rodrigo

Hao wote kiuwezo hawamfikii martinel
Kwanza martinel ana nidhamu ya mpira
Anacheza kitimu
Anaweza kukaba
Anaweza kuzuia
High speed
Martinel ameonesha impact kubwa kuliko hao kwenye level za klabu

Matokeo haya Brazil wamestahili
Mtu isipomfaa akili, utamfaa ujinga
 
Back
Top Bottom