Nimecheka sanaSasa hapo wewe ndio nimegundua mpuuzi ,
Napigizana kelele na mwehu humu
Mimi Ni THE ATHLETIC?
ndio maana unatema pumba tu humu
Kwahiyo wewe Tandale kwa tumbo unakuchukuliaje kwani?????kwanini usitaje ubungo riverside??????HUWEZI kudanganya ,humu sio Siasa za CHADEMA na ccm
Wabrazil wenyewe wanasema walikuwa hawamjui
Wewe upo Tandale kwa tumbo unasema ulikuwa unamjua View attachment 2436798
Pale kwenye Malaya?Kwahiyo wewe Tandale kwa tumbo unakuchukuliaje kwani?????kwanini usitaje ubungo riverside??????
Nipo mkuuPale kwenye Malaya?
Umepotea Sana ,vijana wa Chelsea wanaleta fujo humu
Nasikia ni 3 months jamaa atakuwa out....ni kweli?japo sitaki iwe hivyoJesus kufanyiwa Surgery
Arsenal have been dealt a blow with Gabriel Jesus to undergo surgery on his World Cup knee injury and set for a spell for a number of months
(@mcgrathmike)
Gabriel Jesus undergoes knee surgery in blow to Arsenal
Exclusive: Brazil forward suffered suspected medial ligament damage in World Cup group stages and is now set for a spell on the sidelinest.co
Yah miezi 3 ,almost wiki 10-12 , atarud FebruaryNasikia ni 3 months jamaa atakuwa out....ni kweli?japo sitaki iwe hivyo
Hayo ni maoni ya Oruma,sio mimi...mm nakuja nayo ya kwanguGunners Bado kuna mtu ana wasi wasi na Eddie ENKETTIAH kuziba pengo la Gabriel Jesus??.
Mie kusema Kweli sijui wasi wasi wenyewe unatoka Wapi
Lakini pengine ni kawaida ya Mashabiki.Msimu uliopita walinuna wakati Lacazette anawekwa nje anaanza Eddie Enkettiah
Eddie Enkettiah akafunga goli 5 kwenye Mechi 7 wakasahau na wakaanza kuimba jina lake.
Akaongozewa Mktaba wakafaurahi kinoma, Saivi anataka kupewa nafasi aonyeshe kwanini aliongzewa Mktaba.Wanataka mshambuliaji mpya
Mshambuliaji ambae anaweza kuchukua Muda kuzoea mazingira,mbinu na kuyaiva mahitaji.Lakini baadhi wanataka tu streka mpya tu.
Halafu kuna option za ESR kucheza False 9 au Gabi Martinelli kucheza kama 9 kama ikishindikana ambayo ni asilimia kidogo
Kwangu Kimbinu na Kiufundi Eddie Enkettiah ni perfect replacement ya Gabriel Jesus
Anaweza kuunganisha team vizuri (Link up play)
Ni focal point mzuri
Ni outlet mzuri tu
Ni mzuri Kwenye 1v 1
Ni mpambanaji mzuri tu
Ni mmaliziaji mzuri tu
Na simu anapiga vizuri tu
What else GABI JESUS anafanya EDDIE ENKETIAH hawezi?
Kitu Bora ni kusajili watu wa kuboresha Lile eneo la mbele.Tunahitaji upana zaidi hapo Lakini sio direct replacement ya Gabriel Jesus
Oruma nipo nae grupu moja ,tulijadili nae sana hiki KituGunners Bado kuna mtu ana wasi wasi na Eddie ENKETTIAH kuziba pengo la Gabriel Jesus??.
Mie kusema Kweli sijui wasi wasi wenyewe unatoka Wapi
Lakini pengine ni kawaida ya Mashabiki.Msimu uliopita walinuna wakati Lacazette anawekwa nje anaanza Eddie Enkettiah
Eddie Enkettiah akafunga goli 5 kwenye Mechi 7 wakasahau na wakaanza kuimba jina lake.
Akaongozewa Mktaba wakafaurahi kinoma, Saivi anataka kupewa nafasi aonyeshe kwanini aliongzewa Mktaba.Wanataka mshambuliaji mpya
Mshambuliaji ambae anaweza kuchukua Muda kuzoea mazingira,mbinu na kuyaiva mahitaji.Lakini baadhi wanataka tu streka mpya tu.
Halafu kuna option za ESR kucheza False 9 au Gabi Martinelli kucheza kama 9 kama ikishindikana ambayo ni asilimia kidogo
Kwangu Kimbinu na Kiufundi Eddie Enkettiah ni perfect replacement ya Gabriel Jesus
Anaweza kuunganisha team vizuri (Link up play)
Ni focal point mzuri
Ni outlet mzuri tu
Ni mzuri Kwenye 1v 1
Ni mpambanaji mzuri tu
Ni mmaliziaji mzuri tu
Na simu anapiga vizuri tu
What else GABI JESUS anafanya EDDIE ENKETIAH hawezi?
Kitu Bora ni kusajili watu wa kuboresha Lile eneo la mbele.Tunahitaji upana zaidi hapo Lakini sio direct replacement ya Gabriel Jesus
Kuna vitu Eddie anazidiwa na Jesus Hasa kwenye issue ya Workrate uwanjaniKakosea saana, binafsi sina IMANI na Nketiah.
Naona kaamua kuwaweka daraja moja jesus, ni dharau na matusi makubwa..
Eddie ana nafasi ya kusogea lakini si sasa umuweke daraja moja jesus.
Felix ni mashine hasa,sio utani na naamini kwa style ya uchezaji wa arsenal endapo anapatikana tutatisha zaidi.....ana ufundi mwingiAtletico wametangaza wqnapokea Ofa kwa Joao Felix
Je anafaa?
Bei yake €70m-€100m
Atlético CEO Gil Marín: “João Felix has top level but because of his relationship with Simeone and game time… we feel that makes sense to consider potential bids to sell him”, tells TVE.️#transfers
“I’d love for João to continue, but this is the current situation”. https://t.co/n14N2kPr1K