Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yah nmekupata, so we huko upande gan? White n bora kuliko Gabriel?

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Wana majukumu tofauti ndo maana unaona comb yao imekubali. Gabriel ni STOPPER mkuu. Mimi nashauri kukiwa na argument humu ndani basi tuwe tunatumia hizo argument kuangalia gem kwa ku-assess kinachosemwa na wadau humu ndani then tunarudi tena hapa kuleta evidence ya ulichokiona.

Mfano jpili tuna gem na Leicester hivyo tutumie hiyo gem ku-assess ubora na ubovu kulingana na tunavyopingana humu ndani.
 
Roles za Karim Benzema na Alexender Lacazette zimekua zikifanana.

Ila bahati mbaya Lacazette sio clinical finisher Kama Benzema.
 
Alexandre Lacazette on Instagram story, feeling the full effect of a tackle from Thomas Partey in training:

“Player of the Month 🏆
Killer of the day 🔪”

😂😂

1646866653992.png

1646866677076.png
 
Benchi la ufundi la Arsenal wanamchukulia Albert Sambi Lokonga kama anayefaa zaidi kwa nafasi ambayo Partey anashikilia kwa sasa #6. Uwezekano wa kumweka Smith Rowe kama ‘nane huru’ unavutia lakini Arteta anathamini sana uimara na uongozi anaoleta Xhaka.

[@TheAthleticUK] #afc

1646866869998.png
 
Arsenal wana nia ya kuwanunua washambuliaji Alexander Isak, Dominic Calvert-Lewin na Jonathan David, huku Darwin Nunez wa Benfica akiwa mchezaji mwingine anayefuatiliwa. Wanampenda Armando Broja lakini wanahofia kuna uwezekano Chelsea hawatakuwa tayari kufanya biashara nao.
1646867791212.png

1646867809124.png

Katika safu ya kiungo, Arsenal wanawafuatilia Douglas Luiz, Ruben Neves na Youri Tielemans kwa muda mrefu. Luiz & Tielemans wote watakuwa wamebakiza mwaka mmoja kwenye kandarasi zao msimu wa joto na hakuna wanaokaribia kusaini nyongeza kwenye vilabu vyao.

Arsenal have also scouted two young midfielders this season in Palmeiras’ Danilo & Carney Chukwuemeka of Aston Villa, suggesting two arrivals could come in that position. [Standard]
 
Arteta na Edu walipowasilisha kwa bodi ili kuwashawishi kutoa €50m ili kumsajili Thomas Partey mnamo Oktoba 2020, mfumo timu walilopendekeza ulikuwa na Partey kwenye safu ya kiungo, na wachezaji wawili #8(Two number 8) wakifanya kazi mbele zaidi, ambayo imekuwa kwa muda mrefu ndiyo project yao.. [@TheAthleticUK]


1646868252026.png
 
Arsenal wana nia ya kuwanunua washambuliaji Alexander Isak, Dominic Calvert-Lewin na Jonathan David, huku Darwin Nunez wa Benfica akiwa mchezaji mwingine anayefuatiliwa. Wanampenda Armando Broja lakini wanahofia kuna uwezekano Chelsea hawatakuwa tayari kufanya biashara nao.
View attachment 2145036
View attachment 2145037
Katika safu ya kiungo, Arsenal wanawafuatilia Douglas Luiz, Ruben Neves na Youri Tielemans kwa muda mrefu. Luiz & Tielemans wote watakuwa wamebakiza mwaka mmoja kwenye kandarasi zao msimu wa joto na hakuna wanaokaribia kusaini nyongeza kwenye vilabu vyao.

Arsenal have also scouted two young midfielders this season in Palmeiras’ Danilo & Carney Chukwuemeka of Aston Villa, suggesting two arrivals could come in that position. [Standard]
Tielemans mwambaaaaaaaaaaa
 
Wana majukumu tofauti ndo maana unaona comb yao imekubali. Gabriel ni STOPPER mkuu. Mimi nashauri kukiwa na argument humu ndani basi tuwe tunatumia hizo argument kuangalia gem kwa ku-assess kinachosemwa na wadau humu ndani then tunarudi tena hapa kuleta evidence ya ulichokiona.

Mfano jpili tuna gem na Leicester hivyo tutumie hiyo gem ku-assess ubora na ubovu kulingana na tunavyopingana humu ndani.
Pamoja bro
 
Walijitoa kwenye michuano yao ya kupata nafasi km carabao saiv ni mwendo wa first 11 mwanzo mwisho

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wanamwona kama a suitable holding midfielder in this Arsenal team tatizo hana Experience/ leadership kitu kinachompa Xhaka nafasi, maana yake Lokonga as #6 it allows Partey to move further forward, imagine tupate LCM profile in Lucas Paqueta maana yake Paqueta X Partey watakuwa mbele ya Lokonga, how about Ø, ESR, Xhaka? Subs! Mambo ya Arsenal ni complicated sana.
 
Kuwafunga Liva mchezo ni ule ule niliousema miaka miwili nyuma.

Chukua ugomvi peleka mlangoni kwao.

Hamna kuhangaika na possession. Wanapress vizuri so itakua ngumu kupossess. Kila mpira wenu ni purposive movement hivyo ni inaangaliwa thru ball au inaangaliwa long ball ya kuchana mabeki.

Tunahitaji forward wenye pace (Martinelli, Pepe, Emile na Saka) ambao watakua na kazi ya kukimbilia pasi chokozi za Odegaard, Partey na Xhaka (akiwa poa siku hiyo) na long balls za Tierney na White.

At any given moment mabeki wetu wasipande sana ili wasiruhusu counter za pace ya Mane na Salah.

Long range shooters wafanye kazi yao bila woga, tukicheza mechi kwa mtindo huo tutawafanya wasijiachie kuja itabidi na wao walinde hence kutakua na balance kidogo.

Saka na Martinelli wakiwa active, watawafanya Robertson na Alexander Arnold wasipande, if that is done successful, Liverpool kwisha habari yao
 
It is possible that Gnabry is on the way out with a contract expiring in 2023. Arsenal could then sign his former player this summer. Moreover, in case of European qualification, the player would be considered as howegrown.
@Football_LDN
]
Ungekua Gnabry ungekuja Arsenal?

Ungekua kocha wa City, Liva au Madrid usingemtafuta Gnabry awe winga wako?
 
Following sanctioning of Roman Abromovic:

Chelsea fixtures will be fulfilled and can be televised

• Only people who already have tickets to upcoming matches at Stamford Bridge can attend

• Contracted staff and players will continue to be paid

• Tickets and merchandise cannot be sold.

• Mr Abramovich cannot profit from the sale of his club

• No new players can be signed

• Spend on travel for away games capped at £20,000

• Spend on security, stewarding and catering for home games capped at £500,000
 
Back
Top Bottom