Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Mateo Genduz anazurura tu hata hajui anaganya nni uwanjan
Mulewa na pombe ya ngomani| Lazio president Claudio Lotito on Sergej Milinkovic-Savic:
“Guess how much he’s worth? He scored a goal at the World Cup with his ankle injured, and he’s the best midfielder in the world.”
Milinkovic-Savic has been linked to #Arsenal in recent weeks. [@ilmessaggeroit]
️Ismael Bennacer anataka kurejea EPL . Licha ya kubadili wakala, mazungumzo na AC Milan kuhusu mkataba mpya hayaendi vizuri (@siphillipssport)
Ben White has gone home from Qatar for personal reasons and isn’t expected to return to the squad for the rest of the tournament.Hata mimi ningerudi wanacheza watu wasiojua mpiraBen White has gone home from Qatar for personal reasons and isn’t expected to return to the squad for the rest of the tournament.
(@JacobSteinberg )
Umeona statement ya EnglandHata mimi ningerudi wanacheza watu wasiojua mpira
wengine kwenye klabu zao hawapati nafasi ila kocha anawapanga tu
?na Arsenal wamesema wapo pamoja na Ben nahisi kuna jambo serious sana neno RESPECT THE PRIVACY sio la kitoto na alikuwa anaumwa juzi hapa so tutajua mbeleni nini kinaendelea na ishu sio kama ulivyosemaBORA MUWAZE MAKOMBE HAYO YA FA, HUKU WC HAMNA CHENU.Tumepangwa kucheza ugenini na Oxford United ya league one (Uingereza) kwenye mchezo wa raundi ya 3 ya FA Cup utakao pigwa wiki ya January 7 mwakani.
WC ni timu za taifaBORA MUWAZE MAKOMBE HAYO YA FA, HUKU WC HAMNA CHENU.
| Ronaldo on Gabriel Jesus:
Kocha wa Brazil Tite anauona ubora wa timu yake kwa kusema ana Martinelli ambaye anaichezea Arsenal kama mfano. 
Vipi Ben White amesharipoti kwenye kambi ya Arsenyani?Kocha wa Brazil Tite anauona ubora wa timu yake kwa kusema ana Martinelli ambaye anaichezea Arsenal kama mfano.
Anasema hakuna mtu katika timu yao mwenye namba ya kudumu au mbadala.
(@simpraisa)
“You take Fabinho, is he a Liverpool starter, Ederson? A City starter. Gabriel Jesus, Martinelli, an Arsenal starter. I have 26 great players.” [via @simpraisa]View attachment 2432672
Hata Mimi ningeondoka , timu inaendeshwa kijanja janja Sana ileVipi Ben White amesharipoti kwenye kambi ya Arsenyani?
Naskia ameondoka kwa hasira Qatar baada ya kuona muda wote anakalia mbao ngumu za bench huku Le Captain Maguire kila mechi yupo uwanjani.
Hata Mimi ningeondoka , timu inaendeshwa kijanja janja Sana ile
Kaona asepe zake ,wanasema personal issue ,na hategemei kurudi ,hiyo Ni mbinu ya kusepa sehemu unapoona huna furaha
Mechi zote za makundi zimeisha hakuna dalili za kucheza , huko mbeleni asingepewa nafasi hata dk 1,
Amenikumbusha nilikuwa jeshi nikaona sielewi na Sina furaha, nikasema Nina personal issue za kifamily ,nikasepa na sikutarajia kurudi Tena.
Timu za taifa Makocha Wana watu wao huwa wapo tu ,


Cheupe roho imemuuma kuona anapata namba ya kudumu mazoezini tu. Cheupe roho imemuuma kuona anapata namba ya kudumu mazoezini tu.
Ila tuache utani wachezaji wa Man united wameing'arisha sana world cup ya mwaka huu.



ngoja warudi EPL tuwaone