Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿|Six MOTM awards and counting for Bukayo Saka since the Euros.

Impressive
 
Bukayo Saka ameshacheza kama LB,LWB,LW,RW,AM.

Wakati anacheza LB alicheza vizuri mno, Alphonso Davies alimtaja kama miongoni mwa FB watano bora dunia kwa wakati ule.

Respond ya Saka baada yakukosa ile penati Euro2020 inakuonesha ni mchezaji wa aina gani.
IMG_20221121_200431.jpg
 
Timothy Weah is a boyhood Arsenal fan who grew up idolising Theo Walcott (yes, footballers are too young these days). That was the sort of goal his hero scored a fair few times.
 
LEO KATIKA HISTORIA..Tarehe kama ya leo mwaka 2015 Arteta alijifunga..
Screenshot_20221121-225514_Facebook.jpg
 
Yule Southgate sijui ana shida gan na wachezaji wa arsenal, hata Ben White kamuita Baada ya maneno mengi

Hata Pickford wanasema yupo vzr kwenye footwork lakin ukweli hamfikii Ramsdale .
Sasa nyinyi mnataka timu ya taifa ijazwe vitoto vitupu vya academy?

Kwanza anaisaidia hiyo Academy yenu isipate majeruhi ili mkose sababu ya kujitetea mtakapo kosa kuingia top4 msimu huu.
 
Ronaldo hawezi kuropoka kihivi hivi, kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia kati ya Ronaldo na Arteta. Mtu kama Ronaldo hawezi kumsifia kocha hivihivi. Pia Arteta anaweza kumchukua Ronaldo ili aprove wrong kauli ya Auba kwamab Arteta hawezi kuhandle "Big Characters"

1669100121751.png
 
Ronaldo hawezi kuropoka kihivi hivi, kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia kati ya Ronaldo na Arteta. Mtu kama Ronaldo hawezi kumsifia kocha hivihivi. Pia Arteta anaweza kumchukua Ronaldo ili aprove wrong kauli ya Auba kwamab Arteta hawezi kuhandle "Big Characters"

View attachment 2423794
Hatumtaki huyo babu
hatuwezi kumlipa mshahara ili akae benchi
 
Ronaldo hawezi kuropoka kihivi hivi, kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia kati ya Ronaldo na Arteta. Mtu kama Ronaldo hawezi kumsifia kocha hivihivi. Pia Arteta anaweza kumchukua Ronaldo ili aprove wrong kauli ya Auba kwamab Arteta hawezi kuhandle "Big Characters"

View attachment 2423794
Atatusumbua ,Arsenal ya Sasa wanakimbia Sana,

Hasa kwenye kubadilishana position na kurudi kwenye shape maalumu ya kukaba mpira unapopotea ,ndicho kilichomshinda Auba ,ozil na Pepe
 
Sasa nyinyi mnataka timu ya taifa ijazwe vitoto vitupu vya academy?

Kwanza anaisaidia hiyo Academy yenu isipate majeruhi ili mkose sababu ya kujitetea mtakapo kosa kuingia top4 msimu huu.
Wachambuzi wakitoa maoni yao kuhusu timu yao...

John Terry: “Kama ingekuwa juu yangu, ningemchagua Kane, Foden na Grealish kwenye safu ya ushambuliaji ya England. Nina uhakika tutasonga mbele bila shaka.”

Gary Neville: “Sina tatizo na Saka na Sterling lakini Foden haguswi, ni kipaji cha wakati wake.”

John Terry: “Kuna mashambulizi mengi dhidi ya Harry Maguire lakini anatakiwa kuonesha kiwango kizuri.”

Gary Neville: “Harry Maguire atacheza dhidi ya Iran, lakini kama ingekuwa juu yangu, nisingemtumia.”

Gary Neville: "Matatizo ya Pickford kama mlinda mlango ni kama matatizo ya kipa wa Qatar katika mchezo wa leo (yani jana).”
 
Back
Top Bottom