Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
No....Do we still own Asano![]()
No....Do we still own Asano![]()
So.what? Acha upimbi ARV zimeharibu ubongo wako. Saka, Turner, Tomi, Xhaka ni wanamuziki wa kikundi chako cha taarab Magomeni?NYIE WATU FEKI...KUNA UJUMBE WENU HAPOView attachment 2426352
Huyo jamaa mgonjwaSo.what? Acha upimbi ARV zimeharibu ubongo wako. Saka, Turner, Tomi, Xhaka ni wanamuziki wa kikundi chako cha taarab Magomeni?
Partey ndio katoa boko, boya kweli. michezaji ya arsenal wangeifungia kwenda World Cup.Partey wiki ijayo anaenda kuungana na wenzake kule Dubai
Movement ya goal la tatu lilivyoanza
Partey anatoa pass kwenye dimba, mtu anashindwa kuipokea mali inaenda kupelekea goal la 3
Partey hiki kitu kilimchosha na kumnyongonyesha sana
Enrique fundi kabla ya emery nilitamani saana timu apewe yeye.Ila Lucho nae bonge la kocha aisee, Kuna cycle flani ya makocha wa kispain wenye character/idea za Pep ,Pep akiwa Kama Idol wao , aisee wanajua soka,Wana mbinu
Jana Mechi ya Spain ,ukiangalia Lineup Rodri aliwekwa CB , ila ndani anacheza Kama Kiungo, Yale Yale ya kina Arteta ,Zinny LB ndan anacheza Kiungo,
Sasa ndan ikawa Rodri na Bosquet wanakuwa Viungo , Pedri na Gavi wanasogea juu wanatengeneza Rectangle shape
Bhana weee!! Zinapigwa pass Kama mvua ,unafanyiwa Overload kila eneo
Mechi nzima zilipigwa Pass 1045
Hivi Kuna Mechi zimewahi pigwa pass nyingi kiasi hichi?
Halafu hawategemei lazima uwe na CF ili upate magoli,
Ukiona timu yako inalialia eti lazima mpate CF wakusimama ili mshinde Mechi ,ujue bado mnasafari ndefu ....
Yule Gavi Ni fundi sana ,sio overrated Kama wengi wanavyosema ,yule Bellingham Sasa ndio overrated (utakuja kunielewa baadae)
Luis Enrique Martinez (Lucho) anajua
Wachezaji wehu hao, Arse88 tu ndio wanapata namba 1st eleven. Babu thiago silva tu na uzee wote kamuacha chezaji lao Gabriel Magalhaes limebaki nyumbani linaangalia World Cup sebuleni kwake.KUNA UJUMBE WENU HAPAView attachment 2426597
Fundi Sana yule mwalimuEnrique fundi kabla ya emery nilitamani saana timu apewe yeye.
Anacheza na wachezaji average Sana eneo la kiungoPartey wiki ijayo anaenda kuungana na wenzake kule Dubai
Movement ya goal la tatu lilivyoanza
Partey anatoa pass kwenye dimba, mtu anashindwa kuipokea mali inaenda kupelekea goal la 3
Partey hiki kitu kilimchosha na kumnyongonyesha sana
Na kweli.Huyo jamaa mgonjwa
Ni kumpuuza ana meza dawaNa kweli.
HONGERENI KUMBE MNA WANNESo.what? Acha upimbi ARV zimeharibu ubongo wako. Saka, Turner, Tomi, Xhaka ni wanamuziki wa kikundi chako cha taarab Magomeni?


SISI ILE YA BRAZIL PEKEE TULIKUWA NA WATATU UKIACHANA NA URENO.