Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila Lucho nae bonge la kocha aisee, Kuna cycle flani ya makocha wa kispain wenye character/idea za Pep ,Pep akiwa Kama Idol wao , aisee wanajua soka,Wana mbinu

Jana Mechi ya Spain ,ukiangalia Lineup Rodri aliwekwa CB , ila ndani anacheza Kama Kiungo, Yale Yale ya kina Arteta ,Zinny LB ndan anacheza Kiungo,

Sasa ndan ikawa Rodri na Bosquet wanakuwa Viungo , Pedri na Gavi wanasogea juu wanatengeneza Rectangle shape

Bhana weee!! Zinapigwa pass Kama mvua ,unafanyiwa Overload kila eneo

Mechi nzima zilipigwa Pass 1045

Hivi Kuna Mechi zimewahi pigwa pass nyingi kiasi hichi?

Halafu hawategemei lazima uwe na CF ili upate magoli,

Ukiona timu yako inalialia eti lazima mpate CF wakusimama ili mshinde Mechi ,ujue bado mnasafari ndefu ....


Yule Gavi Ni fundi sana ,sio overrated Kama wengi wanavyosema ,yule Bellingham Sasa ndio overrated (utakuja kunielewa baadae)

Luis Enrique Martinez (Lucho) anajua
 
NYIE WATU FEKI...KUNA UJUMBE WENU HAPO
Screenshot_20221124-174644_WhatsApp.jpg
 
️ BREAKING HABARI : Uongozi wa Arsenal upo katika harakati za kumuongeza kandarasi ya muda mrefu kocha wao Mkuu “Mikel Arteta”
.
Huku Manchester City anahitaji “Mikel Arteta” kua m’badala wa “Pep” hapo 2025 kandarasi yake inapoisha .
 
Partey wiki ijayo anaenda kuungana na wenzake kule Dubai

Movement ya goal la tatu lilivyoanza
Partey anatoa pass kwenye dimba, mtu anashindwa kuipokea mali inaenda kupelekea goal la 3
Partey hiki kitu kilimchosha na kumnyongonyesha sana
 
Partey wiki ijayo anaenda kuungana na wenzake kule Dubai

Movement ya goal la tatu lilivyoanza
Partey anatoa pass kwenye dimba, mtu anashindwa kuipokea mali inaenda kupelekea goal la 3
Partey hiki kitu kilimchosha na kumnyongonyesha sana
Partey ndio katoa boko, boya kweli. michezaji ya arsenal wangeifungia kwenda World Cup.
 
Naomba kwenye mechi ya Brazil vs Serbia tumuangalia huyu fundi wa kiserbia, Sergej Milinkovic-Savic.. tunaweza jifunza kitu.

Jamaa anao mwingi mguuni. Stay tuned!
 
Ila Lucho nae bonge la kocha aisee, Kuna cycle flani ya makocha wa kispain wenye character/idea za Pep ,Pep akiwa Kama Idol wao , aisee wanajua soka,Wana mbinu

Jana Mechi ya Spain ,ukiangalia Lineup Rodri aliwekwa CB , ila ndani anacheza Kama Kiungo, Yale Yale ya kina Arteta ,Zinny LB ndan anacheza Kiungo,

Sasa ndan ikawa Rodri na Bosquet wanakuwa Viungo , Pedri na Gavi wanasogea juu wanatengeneza Rectangle shape

Bhana weee!! Zinapigwa pass Kama mvua ,unafanyiwa Overload kila eneo

Mechi nzima zilipigwa Pass 1045

Hivi Kuna Mechi zimewahi pigwa pass nyingi kiasi hichi?

Halafu hawategemei lazima uwe na CF ili upate magoli,

Ukiona timu yako inalialia eti lazima mpate CF wakusimama ili mshinde Mechi ,ujue bado mnasafari ndefu ....


Yule Gavi Ni fundi sana ,sio overrated Kama wengi wanavyosema ,yule Bellingham Sasa ndio overrated (utakuja kunielewa baadae)

Luis Enrique Martinez (Lucho) anajua
Enrique fundi kabla ya emery nilitamani saana timu apewe yeye.
 
Partey wiki ijayo anaenda kuungana na wenzake kule Dubai

Movement ya goal la tatu lilivyoanza
Partey anatoa pass kwenye dimba, mtu anashindwa kuipokea mali inaenda kupelekea goal la 3
Partey hiki kitu kilimchosha na kumnyongonyesha sana
Anacheza na wachezaji average Sana eneo la kiungo

Partey mwenyewe anakiri ilibidi achukue muda Kwanza kurekebishwa na Arteta ,awali alisema kabisa najipa 4/10

Baada ya hapo akiwa fiti sionagi timu yakutufunga kirahisi

IMG_20221112_064805.jpg
 
Gabriel #Martinelli, Bukayo #Saka and William #Saliba feature in the most valuable under 21 XI at the #FIFAWorldCup

( @Transfermarkt)
IMG_20221125_002436.jpg
 
“We’re looking forward to hosting Juventus at the Emirates. Our supporters have been magnificent this season. They’ve created such a strong connection with the team and it’ll be fantastic to rekindle that spirit before competitive action starts up again."

- Arteta (Arsenal)
IMG_20221125_002610.jpg
 
So.what? Acha upimbi ARV zimeharibu ubongo wako. Saka, Turner, Tomi, Xhaka ni wanamuziki wa kikundi chako cha taarab Magomeni?
HONGERENI KUMBE MNA WANNE SISI ILE YA BRAZIL PEKEE TULIKUWA NA WATATU UKIACHANA NA URENO.
 
Back
Top Bottom