Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Positive things nilishangaa kiungo Lokonga ,Lakini wapo home wanapaki BasiMechi dhidi ya man u ni kumbusho juu ya umuhimu wa kua na kiungo mbadala zaidi ya Partey. Ni kweli tumewafunga mfululizo lakini bila Partey ilikua ngumu sana.
| “Nadhani tutaiona Arsenal ikiwa tayari kuwekeza katika usajili zaidi Januari hii. Wamekuwa wazuri sana kwenye Ligi Kuu, sasa pointi tano mbele na ni fursa kubwa kama wanaweza kuimarika zaidi katikati ya msimu.”
TIER 1
