Hivi bila Arteta kuja Arsenal ,huenda leo Saka angekuwa beki wakushoto akisaidiana na kina Tierney
Martinel angekuwa loan ,au mchezaji machachari tu
Xhaka asingekuwa arsenal
Kiungo tungekuwa na kina Guendouz ,
Nilichojifunza hata Pep anatakaga Kwanza wachezaji wenye kipaji then anawaongezea vitu vya ziada kutoka hapo walipo
Ukiwasikiliza kina Sane, Sterling, Zinny, Jesus ,Kdb, n.k Kuhusu Arteta pale city alivyokuwa anafanya nao kazi ,utaelewa Sio kwa bahati mbaya kuwaona Hawa Watoto kina Smith Rowe, saka , Martinell
Ukiangalia Odegaard aliyekuwa Madrid na sociedad alikuwa talented but alikuwa havutii Sana hata alipokuja mkopo arsenal , alifunga goli 1 Kama sijakosea , Lakini Baada ya mkopo ilionekana hatarudi Tena Arsenal , na hata Alipotajwa ananunuliwa rasmi ,kulitokea mgawanyiko mkubwa kwa fans
But Odegaard huyu Sio Yule Tena
MIAKA MITATU ILIYOPITA TAKWIMU ZA BUKAYO
Bukayo Saka’s stats per position:
•Left wing: 18 games, 2 goals, 5 assists.
•Left back: 16 games, 1 goal, 4 assists, 7 clean sheets.
•Right wing: 5 games, 1 goal, 2 assists.
•Central midfield: 1 game, 1 assist.
His adaptability for an 18-year old is incredible.
View attachment 2405711