Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Ni lazima arteta atafute mbinu mbadala wanapokosekana hawa akina martineli na Saka inaonekana timu yake kaiunda kupitia hawa wawiliDogo aliyeswap na Saka hajui kuingia kama Saka kabisa anaboa kinoma
Inashangaza kwa mchezaji mwenyewe kwan hujui ikae wapi kwa muda gani, timu ikiwa na mpira na ikiwa haina mpira? Na kocha hajamueleza kuhusu ilo kutanua uwanja?Ni lazima arteta atafute mbinu mbadala wanapokosekana hawa akina martineli na Saka inaonekana timu yake kaiunda kupitia hawa wawili
Dogo anakimbia box kabisa anazinguaSaka na Martinell huwa wanacheza kwenye touchline kutanua uwanja ili kuacha space
Huyu Nelson hawez hiyo Kaz
Hope angeingia Vieira anajua hata ku create chances na kupiga mashuti
Hatuna backup plan kabisa kwa kweli mbaya sana yaani winger imepoa tu baada ya kutoka Saka ,dogo anakimbia box aingii kabisa sioni kama Kuna magoli zaidi hapa.Ni lazima arteta atafute mbinu mbadala wanapokosekana hawa akina martineli na Saka inaonekana timu yake kaiunda kupitia hawa wawili
Nilazima kwenda sokoni January kwa winga mmoja ambae anaweza kucheza kotekote kulia na kushoto.Inashangaza kwa mchezaji mwenyewe kwan hujui ikae wapi kwa muda gani, timu ikiwa na mpira na ikiwa haina mpira? Na kocha hajamueleza kuhusu ilo kutanua uwanja?
Kuna muda white akiwa na mpira Nelson kashaingia kati kwenye half space wakat mwenzie sana anakua kwenye line kabisa kupokea mpira
Gabriel passing to lingard at the box , what a naked mistakeGabriel 😂🤣
Atleast would deem fitI thought Marquinhos would come in