Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni lazima arteta atafute mbinu mbadala wanapokosekana hawa akina martineli na Saka inaonekana timu yake kaiunda kupitia hawa wawili
Inashangaza kwa mchezaji mwenyewe kwan hujui ikae wapi kwa muda gani, timu ikiwa na mpira na ikiwa haina mpira? Na kocha hajamueleza kuhusu ilo kutanua uwanja?
Kuna muda white akiwa na mpira Nelson kashaingia kati kwenye half space wakat mwenzie sana anakua kwenye line kabisa kupokea mpira
 
Saka na Martinell huwa wanacheza kwenye touchline kutanua uwanja ili kuacha space

Huyu Nelson hawez hiyo Kaz

Hope angeingia Vieira anajua hata ku create chances na kupiga mashuti
Dogo anakimbia box kabisa anazingua
 
Ni lazima arteta atafute mbinu mbadala wanapokosekana hawa akina martineli na Saka inaonekana timu yake kaiunda kupitia hawa wawili
Hatuna backup plan kabisa kwa kweli mbaya sana yaani winger imepoa tu baada ya kutoka Saka ,dogo anakimbia box aingii kabisa sioni kama Kuna magoli zaidi hapa.
 
Inashangaza kwa mchezaji mwenyewe kwan hujui ikae wapi kwa muda gani, timu ikiwa na mpira na ikiwa haina mpira? Na kocha hajamueleza kuhusu ilo kutanua uwanja?
Kuna muda white akiwa na mpira Nelson kashaingia kati kwenye half space wakat mwenzie sana anakua kwenye line kabisa kupokea mpira
Nilazima kwenda sokoni January kwa winga mmoja ambae anaweza kucheza kotekote kulia na kushoto.

Halafu sijui ni mimi peke yangu hua naona tunahitaji striker mmoja wakusimama .Jesus anacheza vizuri kwenye mfumo wa Arteta japo anashuka deep sana
 
Baada ya saka kuumia game imekua mpya, em wakakae kikao na nelson aisee, tukishambulia neslon anaingia ndan anamuacha white pemben, inafanya uwanja unakua mdogo

Saka alikua anabaki pemben kule na dribbling ability yake wakimfuata wawil anaaccha mianya mikubwa kwa ordegaard na partey kati kat, na white anakua nyuma yake

Asa nelson anataka kuingia kati amuache white pemben, tunakua tunakabika kirahisi
 
Saka na Martinell iliwachukua muda kuelewa Arteta anavyotaka wacheze , wawe wanatanua uwanja

I hope Nelson hajakaa Sana na Arteta akatulia ,

Ataelewa taratibu


Arteta anahitaji both wings zitanue uwanja , wacheze kwenye touchline
 
Back
Top Bottom