Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Tumeponea chupuchupu wikiendi kwa Leeds hivyo kuahirishwa kwa mechi ya man city naona kama ni blessing in disguise. Tungekuwa na wakati mgumu sana kwa city iliyotoka kupoteza.
Tujipange kwa hizi game za kawaida zilizopo mbele yetu mpaka tutakapokutana na Chelsea kama game kubwa ya mwisho before world cup.
Tujipange kwa hizi game za kawaida zilizopo mbele yetu mpaka tutakapokutana na Chelsea kama game kubwa ya mwisho before world cup.