Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi 10, Nyumbani 5 na Ugenini 5,

Nyumbani hatuna Cleensheet na tumeruhusu magoli 10 ya kufungwa katika mechi zote 5 japokuwa tumeshinda mechi zote na kufunga mabao 14 wastan tuna mabao 4 ya faida, ugenini katika mechi 5 tumeruhusu mabao 3 tu vs Man u na tumeshinda mechi 4 na kufungwa hiyo 1 na tumeweza funga mabao 10 tuna faida ya mabao 7,

inabidi tukaze Emirates kupunguza idadi inaonekana Emirates tunashambulia mnoo na kuzuia tukiwa nyumbani sio kipaumbele chetu😀😀
IMG_20221009_142619.jpg
 
Arsenal bado wanamtaka locatell

Locatelli’s expectations has fallen short, Arsenal remain in his sights. Chiesa and Vlahovic (considered non-transferable) have interest from top clubs. It is a Juve that will plan a new cycle, that’s why they could evaluate any opportunity.

(@GiovaAlbanese / @Gazzetta_it)
 
Kumbe huyu dogo tuliwahi husishwa nae , anakiwasha sana hapo Napoli ,

Tunavyotukanaga wachezaji, angekula matusi, nakumbuka usajiri was martinel maneno yalikuwa mengi
IMG_20221017_221438.jpg
 
Tulivyompiga Cheltako 4-0 watu wakasema ni "pre-season, hizo mechi za kirafiki tu."

Ligi ilivyoanza tukapanda kileleni wakasema "oooh ni mechi tatu tu hizo ligi ina mechi 38."

Wakaja na hii "oooh mnazifunga timu dhaifu ngoja mkutane na wababe mtashuka"

Baada ya Manyumbu kutufunga wakasema "oooh mmekutana na timu ngumu moja tu na mmefungwa"

Sasa baada ya leeds wanasema oooh makocha wameshamjua Arteta, sasa wengine wanasema ngoja Jesus aumie, wengine wanasema baada ya World cup mtashuka tu

Say way down we gooo...
 
Tulivyompiga Cheltako 4-0 watu wakasema ni "pre-season, hizo mechi za kirafiki tu."

Ligi ilivyoanza tukapanda kileleni wakasema "oooh ni mechi tatu tu hizo ligi ina mechi 38."

Wakaja na hii "oooh mnazifunga timu dhaifu ngoja mkutane na wababe mtashuka"

Baada ya Manyumbu kutufunga wakasema "oooh mmekutana na timu ngumu moja tu na mmefungwa"

Sasa baada ya leeds wanasema oooh makocha wameshamjua Arteta, sasa wengine wanasema ngoja Jesus aumie, wengine wanasema baada ya World cup mtashuka tu

Say way down we gooo...
Wataongea sana matakataka hawa. Sisi tushinde mechi zetu tu.
 
✍️| @FabrizioRomano on positions #Arsenal could strengthen in Jan:

“They will be ready in case there will be good opportunities; midfielder & winger were two possibilities considered in the summer and still in the potential plans, but it depends on the players.” [@caughtoffside]
 
Sasa ni suala la 'ni lini', si 'ikiwa', Bukayo Saka anasaini mkataba mpya wa muda mrefu Arsenal.

(Chanzo: @TheAthleticUK)
 
Back
Top Bottom