Ni jicho lako, mwingine kumuona tofauti si dhambi huwezi kuwaita kuwa hawajui mpira. Mchezaji kufanya ama kutokufanya vema kunachangiwa na vingi.Bissouma Ni mvunja kuni
Mchezaji kufanya ama kutokufanya vema kunachangiwa na vingi.Hao waliomtaka Bissouma Ni wale wasiolewa Arteta timu yake inachezaje ,
Kuhusu xhaka wanaomjua Wala hajabadilika , kamsikilize Arsene Wenger alichowahi kusema Kuhusu xhaka alisema xhaka Ni more advanced CM au box to box,
Alipokuja emery ndiye akawa anamtumia out of position ,hata Wenger kutokana na majeruhi ya Santi cazorla ,n.k alimtumia Kama DM, hapo xhaka alipoteana
Ila xhaka Kama advanced no.8 alikuwa anaongoza had kwa kupiga pass epl ,
Mimi huwa nashangaa Sana nikisia eti xhaka kabadilika ,
Xhaka alikuwa anachezeshwa DM ,nafasi asiyoimudu
Style play ya Arteta inataka DM anayejua kupiga pass na ku control mchezo ,pia uwe press resistant
Kwa sifa Hizi wavunja kuni Kama Bissouma, ndidi, casemiro , Viungo wa namna hii huwez kuwaona hata kwa Pep Guardiola,
Partey mwenyewe alikuwa na sifa hizo ,ilibidi abadilishwe Kwanza ,anasema mwenyewe Partey .
Casemiro Ni Aina ya viungo wanaokabia juu , na sio kila MCHEZAJI anabadilishika ,Mchezaji kufanya ama kutokufanya vema kunachangiwa na vingi.
Xhaka kabadilishwa akafeli, vipi wale waliobadilishwa na wakawa bora?
Casemiro kutokuonekana kwa pep ndio sio moja ya viungo wakabaji bora!??
Sasa kama partey aliweza kubadilishwa vipi kwa wengine!?
Sheikh hamis sijui hata unazungumzia nini, haya white anakula ubavu wa kulia hapo ni out of position au kabadilishwa, je xhaka angeshine pale tungesema ni out of position!? Ukiona mwalimu anambadili mtu nafasi ni kwamba kuna jambo kaona, katika mfumo(mbinu zake) atamfaaCasemiro Ni Aina ya viungo wanaokabia juu , na sio kila MCHEZAJI anabadilishika ,
Mwalimu anaangalia Aina yako ya uchezaji anaona unaweza kubadilishika bas unafaa, Partey alikuwa anacheza DM ila alipokuja Arsenal Nafas hiyo hiyo akabadilishwa jinsi ya kucheza Kuna Article kaelezea .
Xhaka hajaibadilishwa Ila alikuwa anachezeshwa out of position
Kuna Aina ya uchezaji hasa hii modern football haiwataki kabisa hao Viungo Kama Casemiro ,Ndidi ,Onana, Bissouma, n.k
Ndio maana Ten hag alimkomalia Sana FDJ kuliko casemiro aliyekuja Kama plan B, japo mwanzo hakupenda kumtumia pia .
Hata pale Madrid ,Don Carlo , kwa kuendana na soka la Sasa, alikuwa hamshirikishi Casemiro kwenye buildup , Bali anacheza juu ya modric & Kross ,
Kabla hujamtaka MCHEZAJI Angalia Kwanza anafiti style play iliyopo
Sio kila MCHEZAJI mzuri anacheza poo popote ..
Leo watu Kama Mesut Ozil ,no.10 za kutaka awe free role hazihitajiki , wanatakiwa watu Kama Martin Odegaard,KDB, watakimbia Km 15 mech nzima, watakaba ,wata press , wat create chances , .
Ozil hakuwa mtu wa ku cover km kila Mechi, ozil anajulikana mvivu wakutosha,Sheikh hamis sijui hata unazungumzia nini, haya white anakula ubavu wa kulia hapo ni out of position au kabadilishwa, je xhaka angeshine pale tungesema ni out of position!? Ukiona mwalimu anambadili mtu nafasi ni kwamba kuna jambo kaona, katika mfumo(mbinu zake) atamfaa
Hakuna mchezaji asiyetakiwa na hiyo unayoita ni modern football bali ni kuwa hafai kwenye aina fulani ya mpira wa kocha fulani.
Unisaidie, hiyo unayoita ni modern football, ishabafilika mara ngapi(era za modern) zimekuwa ngapi na je wachezaji wangapi wameachwa na hizo era.
Kuna mwalimu hatotaka mviziaji, kuna mwalimu atawahitaji waviziaji. Aina ya uchezaji ni toka enzi na enzi, uchezaji wa lewandowski basi si mpya kuna strikers jamii yake kibao walikuwepo.
Ozil mara kadhaa alikuwa anagonga km 12 kwenye mechi.. Sikumbuki msimu lakini kuna msimu alikuwa namba 2 kwa kucover distance kubwa uwanjani.
Huyo odegaard ni mzuri kwenye mfumo wa arteta kuna walimu wengine kwa aina ya soka lao hawafai, ndio soka lilivyo, hata ozil angekuwa anachipukia leo akacheza kwa arteta tegemea angekupa kitu hiki hiki anakupa odegaard ama zaidi sababu anacheza kwa maelezo ya mwalimu. Mchezaji yupo uwanjani kutekeleza maelekezo ya mwalimu akitumia uwezo binafsi.






Ngapi HukoPSV TUNA JAMBO LETU LEO![]()
read btn the lines..Pochettino ni kocha wa timu gani pale EPL??
Wakubwa gem inaoneshwa chaneli ipi