Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"Ninapenda uimara, mapambano ya mhusika na ujasiri ambao timu ilionyesha kushinda mchezo."

Mikel, kwenye ushindi mnono ugenini.
 
Nuksi ilianza pale walipoambiwa warudi vyumbani

Kipindi cha kwanza agalau tuligonga gonga mpira

One golden chance one goal

Kipindi cha pili hasa dakika za 65 kuendelea
Leads walituvutisha pumzi ya moto

Cha msingi tumeokota points 3

Man city tumemuacha points 4


Haaland kiatu
Arsenal ndoo
 
Ni kweli mkuu
Arteta azidi kuijenga timu, tuna mapungufu mengi sana
Kila game itakuwa na mapungufu yake kufuatana na game plan ya Mwalimu na aina ya mpinzani mtakayekutana nae, na timu zitavypcheza. Arsenal haina kikosi kibaya kiaisi cha kusema kuna mapungufu mengi sana.
 
Page ya arsenal inaona Chuki ya baadhi ya mashabiki kwa Gabriel; wameamua kumwinua. Online wanamshambulia Gabby for doing his job. Mistake ni sehemu ya kujifunza na sio point ya kumu attack mchezaji.

Gabriel's game by numbers vs. Leeds:

100% aerial duels won
90% pass accuracy
80 touches
9 duels contested
8 duels won
4 clearances
4 blocks
3 tackles
3 interceptions
1 shot

And zero red cards. 😅 https://t.co/CmgVBqAglj
 
DEEP IN MY BRAIN
.
.
.

hatua za kufukuzia ubingwa inafika nyakati unakua unashinda ushindi mwembamba wa goli mojamoja kwenye mfululizo wa mechi

👆na zinafika nyakati za sare pia

safari ya kufukuzia kombe ni ngumu mno na kinachoendelea kwamba sura ya arsenal imejivika umwamba na tayari wanakaza kamba za viatu kuikomalia race hiyo

mechi ya leo inakupa picha maana ilifika mda arsenal walizidiwa mno ni kama vile kwaye hali ya kusubiri kufungwa lakini waliona ukomavu ambao sijapata kuuona kwa mda mrefu

leeds ni timu yenye quality za kutosha ndani ya mbinu zao nadhani ni kitu kizuri kwa shabiki wa mpira kuheshimu mpira unavyochezwa na mpinzani wako bila ya kukariri jina kua ni timu ndogo

waliweza kupambana vyema na arsenal ambayo kwa sasa sio rahisi kuruhusu kushambuliwa mda mrefu hata kama inaongoza goli utawaona bado wana dominant game yote

👆lakini kwa leeds imekua tofauti sana na huu ni ujumbe kwetu kuendelea kujiboresha zaidi na zaidi
 
Sio kwa moto mlionao sasa hivi
41be8cf6bf79485ba1c3c93dfd83048d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa arsenal hii tunamtaka man shit hata kesho huu ubingwa wa kwetu hatuachi kombe lolote mbele yetu COYG
 
Linesman wa jana aliyetaka Gabriel apewe red na penalty ni bonge moja la idiot, FA inatakiwa impumzishe kwa muda mpaka akili imkae sawa.
Ni vigumu sana kutofautisha akili yake na OllaChuga Oc na Kitoabu
Kabla ya VAR Arsenal alikuwa main victim wa maamuzi kama hayo.
Jana Gab kapiga kazi Sana, sijaona akipongezwa humu

Wachezaji Kama Ramsdale , Magalhaes Jana wamejitoa Sana ,Ila watu wanangojea wakosee wawafungukie

Jana Magalhaes kapiga kazi haswa

Xhaka tunamuhitaji Sana kapambana Sana Jana kwenye Hilo tukio ,

Penalty ya Leeds pia Ni upuuz wa linesman

Leeds walikuwa offside kabla ya hiyo penalty,

Nakubaliana na wewe ,Jana linesman alikuwa hovyo
 
Back
Top Bottom