Kila game itakuwa na mapungufu yake kufuatana na game plan ya Mwalimu na aina ya mpinzani mtakayekutana nae, na timu zitavypcheza. Arsenal haina kikosi kibaya kiaisi cha kusema kuna mapungufu mengi sana.Ni kweli mkuu
Arteta azidi kuijenga timu, tuna mapungufu mengi sana
Mtaendelea kuongoza miezi mwishoni ifike mwezi wa tano then tupige mahesabu ya pointsNyie matakataka arse8 sasa timu zimeanza wasoma mchezo wenu. Mapema sana desemba mutakuwa nafasi ya sita au tano ivi.
mkeka uliendaje boss ?Dah kwa huu mpira mkeka wangu maskini.![]()
Man utd akaze sasaJumatano
Man UTD vs SPURS
Jumamosi ijayo
Man utd vs Chelsea
Hapo sare zijitokeze tu
Zote zitoe sare, that's what arsenal fans want.Man utd akaze sasa
Aendelee kutafta sare tuMan utd akaze sasa
Apo mchawi spurs tu ,man utd na chelshit hamna wakutuzuiaZote zitoe sare, that's what arsenal fans want.

hii tunamtaka man shit hata kesho huu ubingwa wa kwetu hatuachi kombe lolote mbele yetu COYG 


tulia mbwa wewe umekaa paleeeeeeeKwa arsenalhii tunamtaka man shit hata kesho huu ubingwa wa kwetu hatuachi kombe lolote mbele yetu COYG
![]()
Jana Gab kapiga kazi Sana, sijaona akipongezwa humuLinesman wa jana aliyetaka Gabriel apewe red na penalty ni bonge moja la idiot, FA inatakiwa impumzishe kwa muda mpaka akili imkae sawa.
Ni vigumu sana kutofautisha akili yake na OllaChuga Oc na Kitoabu
Kabla ya VAR Arsenal alikuwa main victim wa maamuzi kama hayo.