Mechi ya Bodo ilitakiwa ituashirie kwamba tunapotea, ya leo imeconfirm kwamba tunapotea.
Ni aibu kiukweli.
Yaani Leeds kaongeza shots, possession na potential dangerous move simply kisa ananyang'anya mpira kutuzidi na anafanya purposive movements kutuzidi? Na yuko 15th sisi ni wa kwanza?
Arteta atafute dawa kabla hatujaharibu zaidi ya performance ya leo na iliyopita.
Upuuzi.
Ni aibu kiukweli.
Yaani Leeds kaongeza shots, possession na potential dangerous move simply kisa ananyang'anya mpira kutuzidi na anafanya purposive movements kutuzidi? Na yuko 15th sisi ni wa kwanza?
Arteta atafute dawa kabla hatujaharibu zaidi ya performance ya leo na iliyopita.
Upuuzi.

