Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Naomba app/link ya kuangalia EPL Tottenham Hotspur VS Everton
Nguvu za vipi, misuli? Skills zina mbeba ana brain ya mpira na pace kwa majukumu aliyo nayo uwanjan hvo alivyo navyo vinatoshaHana nguvu atakua na struggling za kutosha sana
Ana mda mchache tu ata master, Arteta kichwa kitamuwaka wakumpanga na wa kusubirni mchezaji mzuri mwenye kiwango ila bdo hajaingia sawa sawa kwenye style of play ambayo arteta anaitaka.
Odegard bila shaka,nani atakaa nje sasa
Wewe arse8 uifunge chelsea!!? Kichekesho iki🤣🤣🤣Hii kitu ipo vizuri sana kilio chetu cha big 6 kuwin ndio hichi na hao Manchester United inauma sana kutuharibia results zetu anyway Chelsea lazima afe no matter what
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mechi ya mwisho nani alibanduliwa?Wewe arse8 uifunge chelsea!!? Kichekesho iki![]()
Ayo ni mawazo weee takataka wa arse8, eti kwani uko kwenye kichwa cha gerald?🤪🤪Nilijua tu Steve Gerrard hawezi kuwapa Arsenal Douglas Luiz kirahisi, ni mtu wa fitina sana... Rejea kipindi kile sakata la Luis Suarez kutaka kuondoka Liverpool kwenda Arsenal, Steve Gerrard alishiriki kwa kiasi kikubwa kumshawishi Suarez asijiunge na Arsenal na alifika mbali na kumwambia kwa uwezo wake Arsenal si sehemu sahihi. Kuwapa Douglas Luiz Arsenal ni kuzidi kuwaimarisha sana na kufubaisha nafasi ya Liverpool kuchallenge ubingwa na Steve Gerrard na Liverpool ni pete na Kidole.
Mechi ipi iyo wewe takataka? Unazungumzia ile ya kabla ligi ijaanza?Mechi ya mwisho nani alibanduliwa?
Huyu jamaa naye vipi akili zake? Sasa anashindwa vipi kutemana na Villa aje Kwa mabingwa?
Reiss Nelson hana uwezo wa kucheza arsenal, bora akimbie kama alivyofanya Willock. Wenzake akina Rowe, Saka na Martinelli wamekuwa wazuri yeye kabaki anarukaruka.
Fabio vieira hana mda anakua starter, dogo ana balaa
Kinachoniuma wali graduate kwenye same year.Reiss Nelson hana uwezo wa kucheza arsenal, bora akimbie kama alivyofanya Willock. Wenzake akina Rowe, Saka na Martinelli wamekuwa wazuri yeye kabaki anarukaruka.
Kwanini hao wengine wamepata game time isipokuwa yeye?Nakukatalia, let him have enough game-time, you will see what I see in him.