Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🚨 Gabriel Jesus has travelled with the Arsenal squad to face Leeds United. [@Den_AFC] #afc https://t.co/YPaGErUDjP
IMG_20221015_203120.jpg
 
Klopp alilalamika
kambi ya mazoezi alijianda salah kukutana na zinny au kieran
kwenye mechi kakutana na Tomiyasu
akaona bora salah akapumzike
 
Nilijua tu Steve Gerrard hawezi kuwapa Arsenal Douglas Luiz kirahisi, ni mtu wa fitina sana... Rejea kipindi kile sakata la Luis Suarez kutaka kuondoka Liverpool kwenda Arsenal, Steve Gerrard alishiriki kwa kiasi kikubwa kumshawishi Suarez asijiunge na Arsenal na alifika mbali na kumwambia kwa uwezo wake Arsenal si sehemu sahihi. Kuwapa Douglas Luiz Arsenal ni kuzidi kuwaimarisha sana na kufubaisha nafasi ya Liverpool kuchallenge ubingwa na Steve Gerrard na Liverpool ni pete na Kidole.
Ayo ni mawazo weee takataka wa arse8, eti kwani uko kwenye kichwa cha gerald?🤪🤪
 
Reiss Nelson hana uwezo wa kucheza arsenal, bora akimbie kama alivyofanya Willock. Wenzake akina Rowe, Saka na Martinelli wamekuwa wazuri yeye kabaki anarukaruka.
Kinachoniuma wali graduate kwenye same year.

Binafsi naona Reiss Nelson ana progressives mbovu sana kuliko watu wote waliopewa nafasi,Yeye na dogo Jeff Adelaide watu walitegemea makubwa sana kutoka kwao.
 
Back
Top Bottom