Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Maji wataita mma
IMG-20221016-WA0022.jpg
 
Arteta ni MKATILI

hiki kikosi ni size ya Liverpool ambae alipokea fimbo za kutosha
City ambae nae lazima atapigwa tu

Nilitegemea leo nimuone Nketiah, Fabio, Tierney,

Anyway, anaekufa acha afe

Tena leads walivyokua na mchezo wa kufunguka funguka, leo watavutishwa pumzi ya moto, walai vile

Full time; arsenal 7 leads 0
Baada ya kuona kikosi

Haaland kiatu
Arsenal ndoo
Screenshot_20221016-150556.jpg
 
Arteta ni MKATILI

hiki kikosi ni size ya Liverpool ambae alipokea fimbo za kutosha
City ambae nae lazima atapigwa tu

Nilitegemea leo nimuone Nketiah, Fabio, Tierney,

Anyway, anaekufa acha afe

Tena leads walivyokua na mchezo wa kufunguka funguka, leo watavutishwa pumzi ya moto, walai vile

Full time; arsenal 7 leads 0
Baada ya kuona kikosi

Haaland kiatu
Arsenal ndooView attachment 2389053
hizi mechi zinaishaga kwa ushindi wa 1:0 au 2:0
 
Back
Top Bottom