Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,698
- 4,284
Mkuu utake au usitake Ila ukweli ni kwamba Una matatizo...! Kwenye comment uliyo niquote kuna sehemu me nimemtukana Auba?Tuliza makalio yako let's focus ya mbeleni umeandika ushuzi mzee sipendi unafiki wa kijinga Auba ni player ambaye lazima tumpe respectyake hata kama hutaki acha unaa wakati Auba anatupa raha why hukuandika upumbavu kama huu?mchezaji yoyote aliyetupa something hastahili kutukanwa au kusemwa lolote that's why fans wengi wa Arsenal ni wanafiki usen*** e mkubwa huu Auba kwangu hastahili kutukanwa may be wengineo siku Jesus akisepa akaenda kumtukana coach utakuja na upupu huu?Mesut mzee wa assist haijawahi tokea Arsenal akitoa maoni yake naye tumtukane ili iweje?huu unafiki nauchukia sana any player ambaye ametupambania tumuache hata kama akitutukana hivi wakati Auba anakuja Arsenal Jesus alikuwa wapi?Auba ana score 22 goals na kutupa FA na Community Shield tulikuwa tunamuwaza Jesus atakuja kuplay Arsenal?bro bro bro unafiki ni kitu kibaya sana sana I don't like that habit at all kila mchezaji ana umuhimu kwa kipindi chake na respect yake lazima apewe hata kama atatutukana au atuseme but RESPECT IS RESPECT
![]()
Wright Adams Vieira Van Persie Nasri Cesc Winterburn Dixon Bergkamp Seaman and So many legends hawa any time hata akiitukana Arsenal you don't need to react chukua maoni songa mbele waliyotupatia katika timu yetu enzi hizo yanabakia katika history ya Arsenal for example kwa akili yako fupi unataka kusema golden Boot ya Auba haipo katika Makumbusho ya Arsenal? Some fans kama wewe unakwama wapi bro?mbona una akili za kutosha kwa hili why unapotoka?Auba ana makumbusho yake ambayo yatadumu pale Arsenal kama katoa maoni unayachukua then unasonga mbele life goes on
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ukiwa unataka kutetea hoja yako usiwe Una twist maneno, hakuna sehemu nimemtukana Auba Bali me naongelea hoja yako ya kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ndo nauliza ukubwa wa mchezaji unapimwa Kwa vigezo gani?
Kama wewe unamuona Jesus ni mchezaji mdogo na Auba ni wachezaji mkubwa it's ok kila mtu anabaki na perception yake ila tukijua vigezo ulivotumia kuwatofautisha sio mbaya
Silaha yako wewe always waga ni matusi na sio facts wala points katika kujenga na kutetea hoja zako, matusi hayakufanyi uonekane mjanja, matusi kila mtu anaweza ila kujenga hoja na kutetea hoja sio kila mtu anaweza
Matusi ni njia ya kujihami Kwa mtu Mjinga na Asiejiamini, humu ndani hatujuani kwahiyo kila mtu akiamua kuanza kutukana basi watu tunaweza kukesha ila hayo hayana maana kwa kila mtu mwenye busara na kujitambua
lengo la hili jukwaa ni kuleta wanamichezo pamoja na hasa mashabiki wa Arsenal,kufamiana,kufatilia kwa ukaribu habari za team na kubwa kabisa ni kubadirishana mawazo juu ya Team Yao na sio kubadirishana MATUSI
Anyway, kama hutojali tunaweza kuendelea na hoja ya vigezo gani umetumia kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ilhali kuna Jesus pale, mchezaji aliewin kila kombe England au mwenzangu ukubwa wa mchezaji ni kuwa na hasa striker ni kuwa top scorer?
Na Kusema kuwa Auba katuheshemisha Arsenal ni katika kitu gani au nyanja gani?
yake hata kama hutaki acha unaa wakati Auba anatupa raha why hukuandika upumbavu kama huu?mchezaji yoyote aliyetupa something hastahili kutukanwa au kusemwa lolote that's why fans wengi wa Arsenal ni wanafiki usen*** e mkubwa huu Auba kwangu hastahili kutukanwa may be wengineo siku Jesus akisepa akaenda kumtukana coach utakuja na upupu huu?Mesut mzee wa assist haijawahi tokea Arsenal akitoa maoni yake naye tumtukane ili iweje?huu unafiki nauchukia sana any player ambaye ametupambania tumuache hata kama akitutukana hivi wakati Auba anakuja Arsenal Jesus alikuwa wapi?Auba ana score 22 goals na kutupa FA na Community Shield tulikuwa tunamuwaza Jesus atakuja kuplay Arsenal?bro bro bro unafiki ni kitu kibaya sana sana I don't like that habit at all kila mchezaji ana umuhimu kwa kipindi chake na respect yake lazima apewe hata kama atatutukana au atuseme but RESPECT IS RESPECT
bahati nzuri Arsenal ya sasa ina fighting spirit si kama miaka ya zamani Refer games za Fulham Spurs Liverpool hata boko likitolewa team bado itaamka na kutafuta points na hili imefanya team yetu ionekane ni tishio kubwa kwenye ubingwa wa EPL tungekuwa na spirit kama hii last season tungekuwa champions league no doubt



The test against Arsenal

The test against Man City
The test against Man United
The test against Chelsea
The test against Tottenham!
The test against Liverpool