Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuliza makalio yako let's focus ya mbeleni umeandika ushuzi mzee sipendi unafiki wa kijinga Auba ni player ambaye lazima tumpe respect yake hata kama hutaki acha unaa wakati Auba anatupa raha why hukuandika upumbavu kama huu?mchezaji yoyote aliyetupa something hastahili kutukanwa au kusemwa lolote that's why fans wengi wa Arsenal ni wanafiki usen*** e mkubwa huu Auba kwangu hastahili kutukanwa may be wengineo siku Jesus akisepa akaenda kumtukana coach utakuja na upupu huu?Mesut mzee wa assist haijawahi tokea Arsenal akitoa maoni yake naye tumtukane ili iweje?huu unafiki nauchukia sana any player ambaye ametupambania tumuache hata kama akitutukana hivi wakati Auba anakuja Arsenal Jesus alikuwa wapi?Auba ana score 22 goals na kutupa FA na Community Shield tulikuwa tunamuwaza Jesus atakuja kuplay Arsenal?bro bro bro unafiki ni kitu kibaya sana sana I don't like that habit at all kila mchezaji ana umuhimu kwa kipindi chake na respect yake lazima apewe hata kama atatutukana au atuseme but RESPECT IS RESPECT
Wright Adams Vieira Van Persie Nasri Cesc Winterburn Dixon Bergkamp Seaman and So many legends hawa any time hata akiitukana Arsenal you don't need to react chukua maoni songa mbele waliyotupatia katika timu yetu enzi hizo yanabakia katika history ya Arsenal for example kwa akili yako fupi unataka kusema golden Boot ya Auba haipo katika Makumbusho ya Arsenal? Some fans kama wewe unakwama wapi bro?mbona una akili za kutosha kwa hili why unapotoka?Auba ana makumbusho yake ambayo yatadumu pale Arsenal kama katoa maoni unayachukua then unasonga mbele life goes on

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mkuu utake au usitake Ila ukweli ni kwamba Una matatizo...! Kwenye comment uliyo niquote kuna sehemu me nimemtukana Auba?

Ukiwa unataka kutetea hoja yako usiwe Una twist maneno, hakuna sehemu nimemtukana Auba Bali me naongelea hoja yako ya kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ndo nauliza ukubwa wa mchezaji unapimwa Kwa vigezo gani?

Kama wewe unamuona Jesus ni mchezaji mdogo na Auba ni wachezaji mkubwa it's ok kila mtu anabaki na perception yake ila tukijua vigezo ulivotumia kuwatofautisha sio mbaya

Silaha yako wewe always waga ni matusi na sio facts wala points katika kujenga na kutetea hoja zako, matusi hayakufanyi uonekane mjanja, matusi kila mtu anaweza ila kujenga hoja na kutetea hoja sio kila mtu anaweza

Matusi ni njia ya kujihami Kwa mtu Mjinga na Asiejiamini, humu ndani hatujuani kwahiyo kila mtu akiamua kuanza kutukana basi watu tunaweza kukesha ila hayo hayana maana kwa kila mtu mwenye busara na kujitambua

lengo la hili jukwaa ni kuleta wanamichezo pamoja na hasa mashabiki wa Arsenal,kufamiana,kufatilia kwa ukaribu habari za team na kubwa kabisa ni kubadirishana mawazo juu ya Team Yao na sio kubadirishana MATUSI

Anyway, kama hutojali tunaweza kuendelea na hoja ya vigezo gani umetumia kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ilhali kuna Jesus pale, mchezaji aliewin kila kombe England au mwenzangu ukubwa wa mchezaji ni kuwa na hasa striker ni kuwa top scorer?

Na Kusema kuwa Auba katuheshemisha Arsenal ni katika kitu gani au nyanja gani?
 
Gabriel n fighter na hoja hii niliizungumza sana kumtetea kipindi kile kina Will jr wana leta hizi tuhuma kwa mara ya kwanza,

Jamaa style yake ya uchezaj n muhimu sana kuwepo kwenye timu na ukiangalia pale Arsenal labda holding ndo anafanana nae kidogo, lakin sio White na siombei kabisa combo ya Saliba na White Kama ambavyo wengi wanavyo taman humu, pata vuja watu hawata aamin mechi mbili tu watu watamkubuka Gab,
Juma pili nilitoa pendekezo kama hili lako kwamba labda hyo namba awekwe Tomiyasu pengine likawa suluhisho bora kuliko white. white abaki kulekule mbili ndo kume mpendeza

Gabi n kwel sahv anavuja sana na ametuchoma sana uo n kweli haina haja ya kuufunika lakn n mchezaj anae kua, na ana sifa zote za kuja kua mchezaj nguli tunahitaj kumvumilia,
ikiwezekana Arteta aanze kumbench ili alifresh, Tomiyasu ama Holding wamkaimu kwa mda au turud kwenye back three mpaka Jamaa atakapo rudisha ubora wake

Namtetea Pia Gabriel, he is a fighter, anasaidia sana timu, makosa yake ni ya kibinadamu. Mashabiki Are forgetful. Naamini with time, he will improve, you cannot dispose of such an aset. Let us be patient.
 
We unaongeaga upupu sana mean mfuata upepo unamchukuliaje Auba?sababu kaondoka Arsenal leo unamponda? Mtu aliyescore more than 70 goals na ana kiatu cha dhahabu unamtumkana?are you mentally fit kweli?Arsenal ilikaa zaidi ya 10 years haina mfungaji auba akatupa credit leo unamkataa? We jamaa sio mzima

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Seems you are losing the track, sina hakika kama unajua undani wa unalolitetea
 
Tuliza makalio yako let's focus ya mbeleni umeandika ushuzi mzee sipendi unafiki wa kijinga Auba ni player ambaye lazima tumpe respect yake hata kama hutaki acha unaa wakati Auba anatupa raha why hukuandika upumbavu kama huu?mchezaji yoyote aliyetupa something hastahili kutukanwa au kusemwa lolote that's why fans wengi wa Arsenal ni wanafiki usen*** e mkubwa huu Auba kwangu hastahili kutukanwa may be wengineo siku Jesus akisepa akaenda kumtukana coach utakuja na upupu huu?Mesut mzee wa assist haijawahi tokea Arsenal akitoa maoni yake naye tumtukane ili iweje?huu unafiki nauchukia sana any player ambaye ametupambania tumuache hata kama akitutukana hivi wakati Auba anakuja Arsenal Jesus alikuwa wapi?Auba ana score 22 goals na kutupa FA na Community Shield tulikuwa tunamuwaza Jesus atakuja kuplay Arsenal?bro bro bro unafiki ni kitu kibaya sana sana I don't like that habit at all kila mchezaji ana umuhimu kwa kipindi chake na respect yake lazima apewe hata kama atatutukana au atuseme but RESPECT IS RESPECT
Wright Adams Vieira Van Persie Nasri Cesc Winterburn Dixon Bergkamp Seaman and So many legends hawa any time hata akiitukana Arsenal you don't need to react chukua maoni songa mbele waliyotupatia katika timu yetu enzi hizo yanabakia katika history ya Arsenal for example kwa akili yako fupi unataka kusema golden Boot ya Auba haipo katika Makumbusho ya Arsenal? Some fans kama wewe unakwama wapi bro?mbona una akili za kutosha kwa hili why unapotoka?Auba ana makumbusho yake ambayo yatadumu pale Arsenal kama katoa maoni unayachukua then unasonga mbele life goes on

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Haya maneno tunatumiaga kwa watu ambao sio washabiki wa Arsenal mkuu,mnawekana sawa na shabiki mwenzio wote wanafamilia moja ya nini kutupiana maneno makali?INASHANGAZA SANA


Tusifike huko huu ni mpira tu.
 
Mkuu utake au usitake Ila ukweli ni kwamba Una matatizo...! Kwenye comment uliyo niquote kuna sehemu me nimemtukana Auba?

Ukiwa unataka kutetea hoja yako usiwe Una twist maneno, hakuna sehemu nimemtukana Auba Bali me naongelea hoja yako ya kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ndo nauliza ukubwa wa mchezaji unapimwa Kwa vigezo gani?

Kama wewe unamuona Jesus ni mchezaji mdogo na Auba ni wachezaji mkubwa it's ok kila mtu anabaki na perception yake ila tukijua vigezo ulivotumia kuwatofautisha sio mbaya

Silaha yako wewe always waga ni matusi na sio facts wala points katika kujenga na kutetea hoja zako, matusi hayakufanyi uonekane mjanja, matusi kila mtu anaweza ila kujenga hoja na kutetea hoja sio kila mtu anaweza

Matusi ni njia ya kujihami Kwa mtu Mjinga na Asiejiamini, humu ndani hatujuani kwahiyo kila mtu akiamua kuanza kutukana basi watu tunaweza kukesha ila hayo hayana maana kwa kila mtu mwenye busara na kujitambua

lengo la hili jukwaa ni kuleta wanamichezo pamoja na hasa mashabiki wa Arsenal,kufamiana,kufatilia kwa ukaribu habari za team na kubwa kabisa ni kubadirishana mawazo juu ya Team Yao na sio kubadirishana MATUSI

Anyway, kama hutojali tunaweza kuendelea na hoja ya vigezo gani umetumia kusema Arsenal hakuna mchezaji Mkubwa ilhali kuna Jesus pale, mchezaji aliewin kila kombe England au mwenzangu ukubwa wa mchezaji ni kuwa na hasa striker ni kuwa top scorer?

Na Kusema kuwa Auba katuheshemisha Arsenal ni katika kitu gani au nyanja gani?
Mkuu wewe huwa ni mbishi na mimi huwa nasimamia nachokiamini so close the chapter hatutafikia muafaka let's focus na game ya leo bro

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Namtetea Pia Gabriel, he is a fighter, anasaidia sana timu, makosa yake ni ya kibinadamu. Mashabiki Are forgetful. Naamini with time, he will improve, you cannot dispose of such an aset. Let us be patient.
Kitu mnachokosa wengi kuelewa ni kwamba defender sio tu kuwa fighter, ingekuwa hivyo hata Mwamnyeto/ Mwantika wangecheza Arsenal. Kitu anachokosa Gabriel na tuliongea toka mwanzo ni uwezo wa kuusoma mchezo, kuwa calm and confident kwenye chaotic Situations. Utulivu wa Saliba unatosha kumuelezea Gabriel.

Hakuna anayesema Gabriel hato-improve, potential anayo lakini itamchukua muda, na muda wa kuvumilia mchezaji haupo cuz tunahitaji makombe sahivi.
 
Kitu mnachokosa wengi kuelewa ni kwamba defender sio tu kuwa fighter, ingekuwa hivyo hata Mwamnyeto/ Mwantika wangecheza Arsenal. Kitu anachokosa Gabriel na tuliongea toka mwanzo ni uwezo wa kuusoma mchezo, kuwa calm and confident kwenye chaotic Situations. Utulivu wa Saliba unatosha kumuelezea Gabriel.

Hakuna anayesema Gabriel hato-improve, potential anayo lakini itamchukua muda, na muda wa kuvumilia mchezaji haupo cuz tunahitaji makombe sahivi.
Gabriel ni defender ambaye anaicost team (sio beki mbovu ni beki mzuri wa kawaida) na hata sasa hivi kapoteza nafasi yake Brazil bahati nzuri Arsenal ya sasa ina fighting spirit si kama miaka ya zamani Refer games za Fulham Spurs Liverpool hata boko likitolewa team bado itaamka na kutafuta points na hili imefanya team yetu ionekane ni tishio kubwa kwenye ubingwa wa EPL tungekuwa na spirit kama hii last season tungekuwa champions league no doubt

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
For Mikel Arteta, every break in play is a coaching opportunity.

There were a few brief words with Gabriel. Then the Arsenal manager called over Granit Xhaka, one of Arteta’s most trusted lieutenants. The two engaged in dialogue about Xhaka’s positioning.

It was striking that this was a two-way conversation. Arteta was asking Xhaka questions rather than simply giving orders. It was an open exchange between two men who trust each other implicitly. If Arteta has a tactical tweak, Xhaka is frequently his first port of call.
View attachment 2385442
I like it
 
Kuna Kocha bhana alilalamika Sana hii ya Arteta kuendelea kutoa maelekezo kila mpira unaposimama
Tafsiri nyingine kocha anaongea na kocha msaidizi (xhaka)
Sometimes arteta anamuuliza maswali nini kifanyike na sio kumpa "order"

Arteta na bench wanausoma mchezo wakiwa nje
Xhaka anausoma mchezo akiwa ndani

Mpira ukitoka tu, wanabadilishana madesa fasta, mzigo unaendelea kupigwa
Sasa kwanini mtu asife hapo?

maji wataita mma, ngojeni tu

Haaland kiatu
Arsenal ndoo
 
English Premier league big six


1) Arsenal
2) Chelsea
3) Liverpool
4)Man City
5) Man United
6) Tottenham


1️⃣The test against Arsenal

1) Man United ❌
2) Tottenham✅
3) Liverpool ✅

Remaining 2022 fixtures

1) Chelsea❓
2) Man City❓

2️⃣The test against Man City

1) Man United✅✅


Remaining fixtures

1) Liverpool❓
2) Chelsea❓
3) Tottenham❓
4) Arsenal❓

3️⃣The test against Man United

1) Arsenal ✅
2)Man City❌
3) Liverpool✅

Remaining fixtures
1) Chelsea❓
2) Tottenham❓

4️⃣The test against Chelsea



Remaining fixtures
1) Arsenal❓
2)Man City❓
3)Man United❓
4) Tottenham❓
5) Liverpool❓

5️⃣The test against Tottenham!
1) Arsenal❌


Remaining fixtures
1) Man City❓
2)Man United❓
3) Liverpool❓
4) Chelsea❓

6️⃣ The test against Liverpool

1) Arsenal❌
2) Man United❌


Remaining fixtures
1)Man City❓
2) Chelsea❓
3) Tottenham❓
 
KUNA ARTICLE KUHUSU GAB MAGALHAES ,

I see so many criticisms being leveled at Gabriel Meghalaese because of a couple of blunders from the defender, and many calling for him to be benched for White or someone else.

What you all fail to realise is that Gabriel is tasked with the hardest job across the defense. He's the one moves across the whole backline and sometime moves into midfield, tackling and covering for everyone who has moved up the pitch and out of position.. While Saliba is the sweeper who stays calm, reads the game and blocks channels alongside clearing lose balls.

Gabriel's job is the most difficult work to do and when u have to do so much running and make so much tackles, mistakes are bound to happen.. unlike Sweeper defenders like Saliba and VVD which is also while they tend to make less mistake.

Make no mistakes, Gabriel has room for improvement, but he's currently doing a very good job.. White cannot pair with Saliba because they're both the same type of defenders. Gabriel is pivotal, that's why he plays both EPL and Europa, without a rest. Y'all give this guy some respect.
[Ken Sylvester]
 
English Premier league big six


1) Arsenal
2) Chelsea
3) Liverpool
4)Man City
5) Man United
6) Tottenham


The test against Arsenal

1) Man United
2) Tottenham
3) Liverpool

Remaining 2022 fixtures

1) Chelsea
2) Man City

The test against Man City

1) Man United


Remaining fixtures

1) Liverpool
2) Chelsea
3) Tottenham
4) Arsenal

The test against Man United

1) Arsenal
2)Man City
3) Liverpool

Remaining fixtures
1) Chelsea
2) Tottenham

The test against Chelsea



Remaining fixtures
1) Arsenal
2)Man City
3)Man United
4) Tottenham
5) Liverpool

The test against Tottenham!
1) Arsenal


Remaining fixtures
1) Man City
2)Man United
3) Liverpool
4) Chelsea

The test against Liverpool

1) Arsenal
2) Man United


Remaining fixtures
1)Man City
2) Chelsea
3) Tottenham
Hii kitu ipo vizuri sana kilio chetu cha big 6 kuwin ndio hichi na hao Manchester United inauma sana kutuharibia results zetu anyway Chelsea lazima afe no matter what

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
.
20221013_123949.jpg
 
Hii kitu ipo vizuri sana kilio chetu cha big 6 kuwin ndio hichi na hao Manchester United inauma sana kutuharibia results zetu anyway Chelsea lazima afe no matter what

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Safari hii hata mancity ajiandae,

Zile performance mbili dhidi ya Liverpool and mancity round ya 2 pale Emirates ilikuwa onyo

Kama mancity alikuwa forced sana kukaa nyuma pale Emirates kabla 2nd half Martin antkson hajatunyima penalty na kutupa red ya kipuuzi, city alishaelekea kibra
 
Ama kweli nimeamini ata iweje maji hayawezi kusahau Asili yake, ata yachemshwe kiasi gani yatarudia tu ubaridi...! Kuna ndugu yetu asharudi kwenye Default mode kama kawaida yake, Ashaanza hoja zake ambazo hazina kichwa wala miguu

Hivi kwani mchezaji Mkubwa anapimwa Kwa vigezo gani maana isije kuwa tunachanganya Kati ya mchezaji Mkubwa na mchezaji maarufu

Kwa Akili zangu tu za kuvukia barabara naamini kuwa Gabriel Jesus ni mchezaji Mkubwa kuliko Auba, naamini kuwa Bobby Firmino ni mchezaji Mkubwa kuliko Auba nk

Kama kuwa top scorer ndio kuwa mchezaji Mkubwa basi Auba ni wachezaji Mkubwa kuliko kina Tevez,Eden Hazard,Wayne Rooney,Ian Wright nk

Umuhimu wa Gabriel Jesus pale Arsenal ni mkubwa sana maana yeye Kwa sasa ndio anachange atmosphere ya dressing room,ameletea nguvu na hali ya kupambana,ameleta mentality ya upambanaji na ata akiwa anaongea wachezaji wenzie wanamskiliza maana ameshinda mataji kibao pale England kuliko wao, sasa sijui mchezaji atamskiliza Auba Kwa kipi?

Kwa tafsiri rahisi kabisa na isiyokuwa na makando kando Jesus ni mchezaji Mkubwa katika ligi ya England kutokana na contribution zake akiwa City, kuwa top scorer hilo linawezekana Kwa mchezaji yoyote Yule na kutoka team yoyote ile ktk ligi, ila kuwa mchezaji mkubwa sio rahisi kama kuwa top scorer
Said it all....
 
Back
Top Bottom