Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Leeds will need a lot of luck to stop us.Otherwise, it's a straightforward loss for them. Football has become so boring and predictable with this Arsenal team 😉
Arsenal haichez mabeki watatu Hawa wapuuz kila app wanajiandikiaFabio anacheza hii nafasi kumbeView attachment 2386098
Leo ni tofauti, Arteta kaamua kuanza na back 3.Arsenal haichez mabeki watatu Hawa wapuuz kila app wanajiandikia
Arsenal anachezaje 4-2-3-1 hybrid ya 4-3-3
Fabio Leo ata opareti role ya XHAKA ,
Tunacheza na double 8/10 Ode na Fabio
Ben White Kama kawaida RB
Hapana hizo app wanajiandikiaLeo ni tofauti, Arteta kaamua kuanza na back 3.
Yah hapo Ni majukumu TU, Fabio vieira na Odegaard kaz zao kushambulia half spacestimu inapokuwa uwanjani ndio utajua inachezaje.. taratibu tutaanza kuondoka kwenye mifumo ya kinamba tuliyoizoe kwa jinsi mpira unavyo kuwa kw kasi.
Today tunachafua record tunaangalia game huku tunamwagilia moyo point 3 na uongozi wa kundi tunausubiriaHAWA JAMAA UWANJA WAO NI NYASI BANDIA , WENGI WAKIENDA HAWATOKI
Bodo/Glimt have won all of their last 14 home matches in Europe. They have scored 42 goals in those games, and conceded just five. Artificial pitch, north of the Arctic Circle: not the easiest place for away teams #AFC
timu inapokuwa uwanjani ndio utajua inachezaje.. taratibu tutaanza kuondoka kwenye mifumo ya kinamba tuliyoizoe kwa jinsi mpira unavyo kuwa kw kasi.