Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,721
Ikumbukwe Bodo wameshinda mechi 14 za nyumbani za Ulaya mfululizo.
Huu si mchezo rahisi kwa vyovyote vile.
Kuongoza kundi kutafanya kuepuka mechi mbili za ziada baadaye za raund 32, hivo Anayeongoza kundi anasubiri round 16 .
Si jambo la kushangaa sana kuona Arteta akipanga kikos cha nguvu kuliko wengi wetu tulivyotarajia.
Huu si mchezo rahisi kwa vyovyote vile.
Kuongoza kundi kutafanya kuepuka mechi mbili za ziada baadaye za raund 32, hivo Anayeongoza kundi anasubiri round 16 .
Si jambo la kushangaa sana kuona Arteta akipanga kikos cha nguvu kuliko wengi wetu tulivyotarajia.