Poa. Ingawa sijaweza kuangalia games season hii ila nikitumia uzoefu wa previous seasons, sijawahi kuwa na tatizo na Garbriel. Alitusaidia sana kupunguza magoli ya kufungwa. Labda fans wanaona jinsi Sasa tumeongeza kufunga kuliko last season maana Kuna Gabriel wawili kule mbele wanakiwasha hatari, wanashangaa iweje tunafungwa pia? Na tukifungwa hizo mara chache wanatafuta mchawi. Wanapoona ni Gabriel wanawaka moto balaa kuliko ingekuwa Saliba. Huenda Gabriel Kawa scapegoat wetu wa Sasa kama alivyowahi kuwa Xhaka na Mustaphi kabla yake.Dear Arsenal Fans...👂
Naona Asilimia Kubwa Yetu tumetumia Wiki hizo Mbili Kumtupia Lawama GABRIEL MAGALHAES..
KWANZA KABISA Nakiri Hata mim Gabriel Amekuwa Beki mwenye Makosa mengi mno Ya Kujirudia na anahitaji Kurekebisha Pale Anapokosea ili awe Bora Zaidi.
Lakin Ukiangalia Mpira Kama Mtu Mwenye upeo utagundua Kwanza pale Arsenal Hakuna Namba 4 yaani beki anakaba Tough na Haogopi Kama Yeye..Yan Kwa kifupi Saliba White na Holding ni aina moja ya Mabeki no 5 yan wanausoma Mchezo na kuspweep na kupanga Team kwa ujumla
Ila Gabriel Yeye anatumwa kufanya kazi ndo maana mnaona Makosa yake Mara kwa mara ingawa sio lazima akosee..Leo Arsenal Wakicheza na Team Yeyote Kubwa mfano City Liverpool Spurs na Chelsea Bas Kaz Yote ya Hao Top Strikers Halaand Auba Kane na Kina Mitrovic mara nyingi ataifanya Gabriel..
Jaribu Kuvuta Picha Hakuna Goli bila makosa na Jaribu Kujiuliza Tena Huwa ukiangalia Mechi za Arsenal ni Beki gan anayeenda kwenye battle nyingi kuliko Gabriel tena Battle na world class Players...
Ukitumia Muda mwingi Kukimbizana Kukaba ni rahisi sana kufanya makosa ndo maana Ukiangalia Namba 5 weng wanaonekana Smart sana sababu muda mwingi wao wanasoma mchezo kuliko Kukaba..wanakaba mara chache sana na wao hutumia muda mwingi kichwani kuliko nguvu...
Gabriel ana nafasi kubwa tuu ya kupunguza makosa yake ila ni beki wetu Bora kwenye kukaba kwa mabeki wa kati..Labda kama Tomiyasu akija kucheza pale tuone atachezaje..Hawa wakina Holding wamekaa miaka yote wanawekwa Benchi mjue kuna sababu sio bure..
Nimejifunza sana Uvumilivu kupitia kwa Arteta,Xhaka na Baadhi Ya Wachezaji Wengi tuu ..
Hapa Jesus achangamke kidogo asipigwe gap kubwa sana na lile jini la Norway linalotaka kuchukua kiatu hata nusu msimu hatujacheza. Odegaard naye apambane kuongea assists maana yeye si ndiye creator-in-chief wetu?Arsenal goal involvements so far in 22/23
9⃣ - Jesus (5g + 4a)
7⃣ - Saka (3g + 4a)
6⃣ - Martinelli (4g + 2a)
5⃣ - Xhaka (2g + 3a)
4⃣ - Odegaard (3g + 1a)
Yeah Jesus akomae zaidi ili asikose WC na Brazil.Hapa Jesus achangamke kidogo asipigwe gap kubwa sana na lile jini la Norway linalotaka kuchukua kiatu hata nusu msimu hatujacheza. Odegaard naye apambane kuongea assists maana yeye si ndiye creator-in-chief wetu?
Gabriel n fighter na hoja hii niliizungumza sana kumtetea kipindi kile kina Will jr wana leta hizi tuhuma kwa mara ya kwanza,Dear Arsenal Fans...
Naona Asilimia Kubwa Yetu tumetumia Wiki hizo Mbili Kumtupia Lawama GABRIEL MAGALHAES..
KWANZA KABISA Nakiri Hata mim Gabriel Amekuwa Beki mwenye Makosa mengi mno Ya Kujirudia na anahitaji Kurekebisha Pale Anapokosea ili awe Bora Zaidi.
Lakin Ukiangalia Mpira Kama Mtu Mwenye upeo utagundua Kwanza pale Arsenal Hakuna Namba 4 yaani beki anakaba Tough na Haogopi Kama Yeye..Yan Kwa kifupi Saliba White na Holding ni aina moja ya Mabeki no 5 yan wanausoma Mchezo na kuspweep na kupanga Team kwa ujumla
Ila Gabriel Yeye anatumwa kufanya kazi ndo maana mnaona Makosa yake Mara kwa mara ingawa sio lazima akosee..Leo Arsenal Wakicheza na Team Yeyote Kubwa mfano City Liverpool Spurs na Chelsea Bas Kaz Yote ya Hao Top Strikers Halaand Auba Kane na Kina Mitrovic mara nyingi ataifanya Gabriel..
Jaribu Kuvuta Picha Hakuna Goli bila makosa na Jaribu Kujiuliza Tena Huwa ukiangalia Mechi za Arsenal ni Beki gan anayeenda kwenye battle nyingi kuliko Gabriel tena Battle na world class Players...
Ukitumia Muda mwingi Kukimbizana Kukaba ni rahisi sana kufanya makosa ndo maana Ukiangalia Namba 5 weng wanaonekana Smart sana sababu muda mwingi wao wanasoma mchezo kuliko Kukaba..wanakaba mara chache sana na wao hutumia muda mwingi kichwani kuliko nguvu...
Gabriel ana nafasi kubwa tuu ya kupunguza makosa yake ila ni beki wetu Bora kwenye kukaba kwa mabeki wa kati..Labda kama Tomiyasu akija kucheza pale tuone atachezaje..Hawa wakina Holding wamekaa miaka yote wanawekwa Benchi mjue kuna sababu sio bure..
Nimejifunza sana Uvumilivu kupitia kwa Arteta,Xhaka na Baadhi Ya Wachezaji Wengi tuu ..
Kumbench hapana, ndo atakuwa chujio kabisa, atakosa kujiamini tena.Gabriel n fighter na hoja hii niliizungumza sana kumtetea kipindi kile kina Will jr wana leta hizi tuhuma kwa mara ya kwanza,
Jamaa style yake ya uchezaj n muhimu sana kuwepo kwenye timu na ukiangalia pale Arsenal labda holding ndo anafanana nae kidogo, lakin sio White na siombei kabisa combo ya Saliba na White Kama ambavyo wengi wanavyo taman humu, pata vuja watu hawata aamin mechi mbili tu watu watamkubuka Gab,
Juma pili nilitoa pendekezo kama hili lako kwamba labda hyo namba awekwe Tomiyasu pengine likawa suluhisho bora kuliko white. white abaki kulekule mbili ndo kume mpendeza
Gabi n kwel sahv anavuja sana na ametuchoma sana uo n kweli haina haja ya kuufunika lakn n mchezaj anae kua, na ana sifa zote za kuja kua mchezaj nguli tunahitaj kumvumilia,
ikiwezekana Arteta aanze kumbench ili alifresh, Tomiyasu ama Holding wamkaimu kwa mda au turud kwenye back three mpaka Jamaa atakapo rudisha ubora wake
Unajua lakin UCL wanavyozihesabu hizo coefficient? Au unadhan wanaangalia kucheza UCL TU?Kuanzia msimu wa 2024/25 UEFA itakuwa inatumia coeficient factor kushiriki UEFA, hii ya top 4 itakuwa haina kazi tena
So timu zenye coefficient ndogo mtaisikia UEFA kwenye redio tu
Uchezaj wa Jesus ngumu kupambana na Lile roboti ,epl nzima hakuna wakumfukuziaHapa Jesus achangamke kidogo asipigwe gap kubwa sana na lile jini la Norway linalotaka kuchukua kiatu hata nusu msimu hatujacheza. Odegaard naye apambane kuongea assists maana yeye si ndiye creator-in-chief wetu?
Mashabiki Siku zote wanatafutaga weak point ,Poa. Ingawa sijaweza kuangalia games season hii ila nikitumia uzoefu wa previous seasons, sijawahi kuwa na tatizo na Garbriel. Alitusaidia sana kupunguza magoli ya kufungwa. Labda fans wanaona jinsi Sasa tumeongeza kufunga kuliko last season maana Kuna Gabriel wawili kule mbele wanakiwasha hatari, wanashangaa iweje tunafungwa pia? Na tukifungwa hizo mara chache wanatafuta mchawi. Wanapoona ni Gabriel wanawaka moto balaa kuliko ingekuwa Saliba. Huenda Gabriel Kawa scapegoat wetu wa Sasa kama alivyowahi kuwa Xhaka na Mustaphi kabla yake.
Na hawez kupigwa bench labda aumie ,Kumbench hapana, ndo atakuwa chujio kabisa, atakosa kujiamini tena.
Yeah......tutatobolewa sana.Na hawez kupigwa bench labda aumie ,
Tatizo lake Ni mzito na Sio mzuri kwenye tackle , na ndiye no.5 wetu .Gabriel huyo ni beki hatari sana, hajui namna ya kufanya clean tackle. Kusababisha penalty ni jambo la kawaida kwake
Mimi nawashangaa wanaokuja na dhana ya kumsupport, yule hatabadilika kwa style yake ya uchezaji
Yuko too much physical na hayuko tactical kwenye kukaba. Akiwa peke yake ni mchezaji mzuri ila kwenye kutackle ni dangerous. Kama mna mwingine hapo mwekeni tu. Akikutana na timu inayofanya mashabulizi sana, atatoa penalty kibao na red card juu
Kugombea city asimamishwe Ni vzr, sidhan hata kama wao walitaka Liverpool afungwe,Kila mtu ashinde mechi zake, ya Liverpool na Man city waachie wenyewe
Naona mwaka huu mko serious na Ubingwa
Msije tu mkamtukana mamba wakati ligi bado mbichi sana
Safari ni ndefu mno
League contenders bado wako wengi
January ndio itajulikana kama contenders ni wawili au watatu
Mkliwemo kwenye list January basi, Arteta ni mwanaume tena mbabe
Tulikuwa na LCB Pablo Mari anakabia macho ,Gabriel mzee wa kazi chafu, mtu wa kupambana na zile forwards sumbufu
Ile Chelsea forward Diego costa au drogba
Bila kuwa na mtu kama Gabriel pale nyumba, mtaita maji mma
Au haaland inabid Gabriel afanye kazi yake,
Hauwezi kumuweka holding hapo kama Gabriel ni mzima, ni kichaa atakae Fanya maamuzi hayo (magufuli voice)
Kumbukeni Juve anamvizia huyo huyo mnamuona ana makosa
Ambapo ukiulizwa central defenders ambao hawana makosa jibu hakuna
Ipo hivi
jpili tunaamia Liverpool kwa mkopo
Haaland kiatu
Arsenal ndoo
Kwetu Ni advantage hatutumii nguvu kwenye europa inahitaji Gear no1 TU , kuongeza kundi, bila kutumia key playersWanaume tunabandua tuu huko duniani ugenini, halafu kwenye ligi wala hata hatuna haraka mana kila mtu atajipanga kwenye nafasi yake soon as possible.
Minimum possible 13 points.Katika mechi 5 zinazofata ,unaona tutabeba ngapi
View attachment 2384618
Zote itapendezaKatika mechi 5 zinazofata ,unaona tutabeba ngapi
View attachment 2384618
Point 15 out of 15Katika mechi 5 zinazofata ,unaona tutabeba ngapi
View attachment 2384618