Mnauhakika mnaenda kuwafunga Liverpool?...
Tukija kwenye uwezo wa wachezaji mmoja mmoja , Liverpool bado wanawazid mazee au mnasemaje ....
Saka vs salah ...ni vile tu Saka yupo kwenye form ila class ya salah Kila mtu anaijua...
Diaz Vs martinel ...class ya Diaz martnell anakaaa ,ni vile tu Martinel yupo kwenye form ...
Partey Vs fabihno ....mazee hapa mnajua kabisa partey yupo kwenye form ila class ya fabihno ohooooo no comment...
VVD vs saliba ...hapa Kila mtu anaona kabisa kuwa class ya vvd ni kiwango Cha stg ni vile tu Saliba moto wa gesi umewaka yupo kwenye form ...
Firmino Vs Jesus ....form ya Jesus ni moto ila class ya firmino kwenye finishing ....nyie wenyewe mnajua ...
Thiago vs xhaka ....Kila mtu anajua moto wa Thiago ila ni vile tu xhaka saizi ni moto wa kuotea mbalii
Kitakacho kuwa kinapambana jumapili ni
Forms vs class ....!!!!!