Mechi mbili za mwisho kukutana na Liverpool mbona mmefungwa hapo emirates.na mlikuwa kwenye form hivyo hivyo.kule kwenye kubet wamewapa points sawa na Liverpool inaonekana hata nyinyi kufungwa inawezekana na wala sio kitu cha ajabu,kama mngekuwa na uhakika mgepewa points 1.12 kama city vile yaaani uhakika.
Hata Man U kuwafunga utasema muujiza tena?
Endeleeni kupiga kelele tu Liverpool wako kimya.
Wataongea baada ya mechi mtakimbia hili jukwaa Leo ,maana kila timu Leo iko upande wa Liverpool .
Tusiongee sana sisi Mashabiki wa Liverpool tunasubiria matokeo hapo baadae ndio tuongee.