BEKI MMOJA HATOSHI KUMKABA SAKA
Ili timu pinzani ziweze kumkaba Saka ,zimekuwa zinatumia wachezaji wawili had WATATU,
Faida tunayoipata Ni ku create chances , kwa wengine , Dhidi ya Spurs Hata goli la Partey Saka alifatwa na wachezaji watatu wa spurs , kilichotokea wakamuacha Partey Free ,
Unaweza usimuone Sana Saka akifunga ila ndiye kichocheo Cha wengine kufunga , Hata goli la 2 Dhidi ya Spurs Ni kazi ya SAKA,
Timu nyingi zinajua hatari ya SAKA , hivo mechi nyingi lazima akabwe na mabeki had WATATU .
Hi ndio tofauti ya SAKA na Pepe ambaye alishindwa kufanya hiki kitu, Pepe ilihitaji beki mmoja tu kuziba njia , Lakini SAKA inahitaji mabeki wawili had watatu
View attachment 2377496