Gabriel Jesus:
"Nilizungumza sana na Arteta kuhusu staili ya uchezaji ya Arsenal. Ananifahamu, namfahamu, nilielewa alichokuwa anataka kutoka kwangu. Sasa niko huru uwanjani, nikicheza soka huku tabasamu usoni na kujaribu." kufanya kilicho bora kwangu katika wakati wote
Kwa City, ilikuwa tofauti. Mshambuliaji hakugusi mpira kiasi hicho, unaona kwa kutazama michezo. Na, wakati wa kugusa mpira unapofika, sio mshambuliaji, kwa sababu [Guardiola] aliishia kuweka kiungo ili asogee karibu. ,....
Kwa hiyo, niliamua kubadilika.
[Guardiola] anaelewa soka na kile alichokitaka. Basi ilikuwa juu yako kukubali au la. Usipoikubali, Ni kumwambia ‘asante’ na ukatafute changamoto nyingine.
“Niliikubali kwa muda, lakini ikafika wakati niliposema: 'Nataka jambo lingine kwa ajili yangu.' Nilimshukuru, ‘asante kwa kila jambo,’ alielewa....