Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie matakataka Leo mnakaribishwa kushuhudia namna bingwa anavyotakiwa kuwa mnamo majira ya 19:30....na nasikitika kuwaambia kuwa Leo ndio Siku yenu ya mwisho kuongoza ligi maana baba mwenye nyumba anarejea kwaiyo wapangaji mkae kwa kutulia
Baba mzima una nywele had makalioni ,unashabikia mancity ,Kuna namna watu waku ignore ,Kuna fyuzi hazipo sawa
 
Mbadala wa Partey Ni Elneny Ndio maana aliongezewa mkataba ,Ni nyie Ndio mlitaka asajiriwe mbadala Mwingine ,kitu ambacho Arteta hakuwa na mawazo hayo

Unfortunately Kuumia kwa Elneny Ndio kumesababisha hata kwenda kwa Luiz na Danilo


Binafs na iman na Lokonga na Ndio itakuwa turning point ya kumsahau Partey

Hata kina saka ,Smith Rowe,martinel,nketiah walipata nafas baada ya pepe ,willian,auba,laca kuharibu na tukaamin bila wao Hawa madogo hawatatusaidia kitu

The rest is History

Lokonga uzuri coaching staff wanamuamin Sana na atafanya vzr TU

Mechi na astonvilla kafanya vzr

Kwasasa Arsenal ina structure Ndio maana hata Elneny alicheza juz na Fulham tukatawala mpira kwa 70+%

Juz na Villa bado lokonga kafanya vzr

Why? Kuna structure IPO na wachezaj wanajua kuitafsiri,

Mwisho Partey nje wiki 2 ,
Sio heshima kumfananisha Lokonga na Partey kwenye uwezo.Basi tu majeruhi ila Lokobga sio mbadala wa partey.

Timu ikiwa kwenye form ni kawaida kumuona kila mchezaji ni mzuri,hii mbaya sana.Na hii isimdanganye Arteta akarelax
 
Mwezi October ndo mgumu tukitoboa huo, ndio tutajua mbivu na mbichi
Yaani hata kati kati ga mwezi wa tisa hujafika unawaza octb? Unesema hivi next three fixtures ukitoboa ndio utajua mbivu na mbichi.
 
Nyie matakataka Leo mnakaribishwa kushuhudia namna bingwa anavyotakiwa kuwa mnamo majira ya 19:30....na nasikitika kuwaambia kuwa Leo ndio Siku yenu ya mwisho kuongoza ligi maana baba mwenye nyumba anarejea kwaiyo wapangaji mkae kwa kutulia
Unajua kuna timu zinafosi kuwa na mashabiki Tanzania hapa 😅

Timu Ina fans 4 😅😅😅😅
IMG_20220903_113139.jpg
 
Baba mzima una nywele had makalioni ,unashabikia mancity ,Kuna namna watu waku ignore ,Kuna fyuzi hazipo sawa
Nmetupa jiwe gizani naona limempata muhusika...pole asee hapo bado nyumbu hawajakunyandua na kitimu chako
 
Sio heshima kumfananisha Lokonga na Partey kwenye uwezo.Basi tu majeruhi ila Lokobga sio mbadala wa partey.

Timu ikiwa kwenye form ni kawaida kumuona kila mchezaji ni mzuri,hii mbaya sana.Na hii isimdanganye Arteta akarelax
Hata kina saka,Smith Rowe, Martinell, nketiah , Odegaard ,mnawafurahia Sasa ila awali hamkuwataka

Wakati Pepe a €80m winger yupo RW ,Kuna watu hawakutaka kukubaliana na Arteta Kama Saka kutoka LB angekuja kumuweka bench had Pepe kukimbia Ligi

Wakati Smith Rowe anapewa Nafas most mlilalamika mkitaka asajiriwe Hossam Aour ,

Hata Odegaard baada ya loan hamkutaka arejee Tena arsenal mkataka asajiriwe buendia au maddson injury prone kwa £60-80m


Kuna mdau humu Kama sio mkorea basi nimemsahau alisema kama akiumia Partey tunalalamika haina haja ya kupigia watu kelele

Kuumia kwa Partey huenda ikawa turning point ya Lokonga kupita walipopita kina saka, Martinell,ode,Rowe,

Albert sambi lokonga uzuri anaaminiwa na bench la ufund kuliko mashabiki, ambao mlitaka Nuno Tavares atolewe hata Bure , but klabu ikasema itamtoa mkopo dry Kama kumuuza Ni kuanzia £40m ,now anakiwasha ligue 1


Wakati msimu uliopita ameumia xhaka, baada ya mech na Spurs , baada ya pale Dimba walikamata Partey na lokonga na tukashinda mech kibao,

Kwa MUJIBU wa premier league lokonga amesababisha kosa moja tu na ilikuwa dhid ya palace wote na Partey walikosea siku hiyo.


NASIMAMA NA ALBERT NA KESHO ATAIFURUMUSHA MANYUA
IMG_20220902_202116.jpg
 
Dh
Naona umepata sehemu ya kuchat nao ,Kule kwenye jukwaa lenu unajiongelesha mwenyewe 😂😂😂

Sasa hivi tunakudharau na humu
Arsenyeto bana.....kaa kimya huwezi bishana na champion ....nakukaribisha SAA 19:30 mchana mwema
 
Mbadala wa Partey Ni Elneny Ndio maana aliongezewa mkataba ,Ni nyie Ndio mlitaka asajiriwe mbadala Mwingine ,kitu ambacho Arteta hakuwa na mawazo hayo

Unfortunately Kuumia kwa Elneny Ndio kumesababisha hata kwenda kwa Luiz na Danilo


Binafs na iman na Lokonga na Ndio itakuwa turning point ya kumsahau Partey

Hata kina saka ,Smith Rowe,martinel,nketiah walipata nafas baada ya pepe ,willian,auba,laca kuharibu na tukaamin bila wao Hawa madogo hawatatusaidia kitu

The rest is History

Lokonga uzuri coaching staff wanamuamin Sana na atafanya vzr TU

Mechi na astonvilla kafanya vzr

Kwasasa Arsenal ina structure Ndio maana hata Elneny alicheza juz na Fulham tukatawala mpira kwa 70+%

Juz na Villa bado lokonga kafanya vzr

Why? Kuna structure IPO na wachezaj wanajua kuitafsiri,

Mwisho Partey nje wiki 2 ,
Naona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.

Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!

Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.

We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
 
Let us pray that no more injuries are sustained between now and January. Why panic buy when there is ample time to plan your needs?
By then it'll be too late, the need for a back up to partey was obvious. There's gross negligence in the management which may prove fatal come the end of the season.
 
Sio heshima kumfananisha Lokonga na Partey kwenye uwezo.Basi tu majeruhi ila Lokobga sio mbadala wa partey.

Timu ikiwa kwenye form ni kawaida kumuona kila mchezaji ni mzuri,hii mbaya sana.Na hii isimdanganye Arteta akarelax
Lokonga akiwa na mpira anafanya kila kitu anachofanya Thomas Partey, utofauti wao ni experience.

Kiufundu lokonga anatabia ya kuhide( no tackles/ no interception/ no marking) timu inapokuwa underpressure, akipata confidence ya kuexcel off the ball ni holding mid mzuri kuliko unavyodhani.
 
Hii ndio logic
Aaron Arsenal na ndio alichomaanisha

Na mimi nikiwa na akili timamu nakubaliana na hili

Right player at a right price

Bora tusifanye usajiri kuliko kupigwa mchana kweupe
But liverpool na Chelsea wamefanya panic buys ila kwa mkopo. Ili hata ikifeli hakuna obligation ya kumnunua.

Sisi tumeshindwa hata kumchukua kwa mkopo mtu yoyote wa kucheza CM/DM?

Hii itatu cost na lawama zitaanza jumatatu pale lokonga akidhalilishwa na kina Casemiro na Eriksen!! Tutarudi humu kulalama tena.
 
Naona hamjifunzi tu, January hakuna usajili wa striker ona ikatucost top 4.

Msimu huu hakuna DM wa kueleweka maana partey ni injury prone na pia ana kesi so anaweza asimalize msimu hapo hapo Eleneny sio reliable back up kama unataka kuchallenge for titles!!

Mtakuja hapa kulialia baada ya msimu kuisha tukiwa nafasi ya 8 huku DM ikitucost.

We need a CDM Hilo lilifahamika ni ujeuri tu wa Arteta kudhani timu ni perfect kisa ipo top. Jamaa akifeli this time atimuliwe tu maana naona hajifunzi tu kwa makosa yake.
FACT

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
But liverpool na Chelsea wamefanya panic buys ila kwa mkopo. Ili hata ikifeli hakuna obligation ya kumnunua.

Sisi tumeshindwa hata kumchukua kwa mkopo mtu yoyote wa kucheza CM/DM?

Hii itatu cost na lawama zitaanza jumatatu pale lokonga akidhalilishwa na kina Casemiro na Eriksen!! Tutarudi humu kulalama tena.
Punguza makasirikio
Arteta na edu ndo wanaifahamu arsenal kuliko tunavoijua sisi..
 
Hili suala la #6 binafsi sikupendezwa sana na links za Luiz / Danilo...Naona kama tungeweza kusajili #6 mzuri zaidi ya hao.

Kustabilize hii timu inabidi tusajili kiungo aina ya Sandro Tonali/ Declan Rice wampe competition Thomas Partey.

IMO Arsenal tunahitaji #6 ambaye ni tempo controller, Luiz/ Danilo naona ni profile zilezile kama Elneny/ Partey.

Luiz / Elneny ni wazuri kiufundi ila wote wanalack physicality wakati midfield area is about duels won, isipokuwa Luiz ni technician mzuri zaidi ya Elneny.

Partey / Danilo, of course ni viungo wazuri, tatizo langu kwao wote wana aggressive mentality wakiwa na mpira, danilo bado kinda anaweza kurekebishwa.

To play it safe, Arsenal wangesubiri next summer wakamsajili Rice/ Tonali, hawa viungo wawili naona wameshaiva kwa kila kitu.
 
Hata kina saka,Smith Rowe, Martinell, nketiah , Odegaard ,mnawafurahia Sasa ila awali hamkuwataka

Wakati Pepe a €80m winger yupo RW ,Kuna watu hawakutaka kukubaliana na Arteta Kama Saka kutoka LB angekuja kumuweka bench had Pepe kukimbia Ligi

Wakati Smith Rowe anapewa Nafas most mlilalamika mkitaka asajiriwe Hossam Aour ,

Hata Odegaard baada ya loan hamkutaka arejee Tena arsenal mkataka asajiriwe buendia au maddson injury prone kwa £60-80m


Kuna mdau humu Kama sio mkorea basi nimemsahau alisema kama akiumia Partey tunalalamika haina haja ya kupigia watu kelele

Kuumia kwa Partey huenda ikawa turning point ya Lokonga kupita walipopita kina saka, Martinell,ode,Rowe,

Albert sambi lokonga uzuri anaaminiwa na bench la ufund kuliko mashabiki, ambao mlitaka Nuno Tavares atolewe hata Bure , but klabu ikasema itamtoa mkopo dry Kama kumuuza Ni kuanzia £40m ,now anakiwasha ligue 1


Wakati msimu uliopita ameumia xhaka, baada ya mech na Spurs , baada ya pale Dimba walikamata Partey na lokonga na tukashinda mech kibao,

Kwa MUJIBU wa premier league lokonga amesababisha kosa moja tu na ilikuwa dhid ya palace wote na Partey walikosea siku hiyo.


NASIMAMA NA ALBERT NA KESHO ATAIFURUMUSHA MANYUA View attachment 2344204
@Aaron Arsenal wote sisi tunaipenda team yetu but wewe umeweka mahaba kuliko facts kuna muda ulipotea miezi humu after vipigo vya mfululizo last season tulipiga kelele asajiliwe forward na Arteta na Edu wakakausha uliona end of the season nini kilitokea?partey ni injury prone pale league itakavyoanza kuchanganya utakuja kuona replacement yake jinsi ilivyo muhimu (nakukumbusha Arsenal ilikosa top 4 sababu yake pia) kumbuka last season hatukuwa na any European competition na kumbuka November ni world cup now tupo Europa league na hakuna kupumzika ni week after week tutakuwa tunacheza na uhakika kwa middle ya Partey lazima atarudi upya kwenye majeruhi na pia inawezekana hata kina Saka pia wakarudi huko usijidanganye kuwa last season ilikuwa hivi now itakuwa hivi no way

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom