Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal agree personal terms with forward ahead of £21 million transfer: Reports


Arsenal have agreed to personal terms with Ukrainian winger Mykhaylo Mudryk, with the Gunners intent on signing the Shakhtar Donetsk player, according to The Sun
 
Mikel Arteta juu ya ushindi:


"[Nina] furaha sana na matokeo, ni ngumu sana kushinda katika ligi hii. Nadhani kipindi cha kwanza labda kilikuwa moja kipindi bora zaidi ambacho tumecheza, tungeweza kufunga [mabao] matatu, manne, matano. Hatukuua mchezo na basi mchezo ukawa hai kipind cha pili." [BT] #afc
 
Arsenal agree personal terms with forward ahead of £21 million transfer: Reports


Arsenal have agreed to personal terms with Ukrainian winger Mykhaylo Mudryk, with the Gunners intent on signing the Shakhtar Donetsk player, according to The Sun
Imekanushwa toka mchana ,Arsenal hawana mpango nae
 
Wasiwasi wa nini ?

Leo kikwazo alikuwa Martinez maana ana mdomo Sana

pia huwa anakamia ,angekuwa kipa mzembe tungeshinda hata 5

Tumepiga on target nadhan 10 zimefika
Tumeruhusu sana jamaa kuleta pressure kwenye lango letu. Yaani mpaka benchi pale kila mtu alisimama akitaka game iishe.

Tukikutana na timu zinazopress sana naliona balaa linakuja.
 
Wasiwasi wa nini ?

Leo kikwazo alikuwa Martinez maana ana mdomo Sana

pia huwa anakamia ,angekuwa kipa mzembe tungeshinda hata 5

Tumepiga on target nadhan 10 zimefika
pia weka akilini kwamba kwa EPL hii unafungwa na yeyote,muda wowote na mahali popote.walichofanya vijana ndo tulikikosa kwa miaka mingi,huitaji kufunga kila mechi ila unahitaji kushinda kila mechi.
 
Tumeruhusu sana jamaa kuleta pressure kwenye lango letu. Yaani mpaka benchi pale kila mtu alisimama akitaka game iishe.

Tukikutana na timu zinazopress sana naliona balaa linakuja.
hapo ndipo umuhimu wa partey na wachezaji jamii ya cazola,benado silva nk wanapohitajika.yaani wakati timu inashambuliwa na inapaniki anakuwepo mtu anayeweza kaa na mpira na timu ikatulia.wachezaji wa aina hii mimi huwa nawaita drivers.
 
Mikel Arteta kuhusu kama jeraha la Elneny litaathiri mipango ya uhamisho:

"Ni wazi hilo lina athari kwa sababu vilevile, Thomas ni majeruhi, tuna upungufu kidogo katika nafasi hiyo. Tuna Sambi, tuna wachezaji kama Granit ambao wanaweza kucheza huko. Tunaangalia chaguzi tu kwenye soko.
 
Tumeruhusu sana jamaa kuleta pressure kwenye lango letu. Yaani mpaka benchi pale kila mtu alisimama akitaka game iishe.

Tukikutana na timu zinazopress sana naliona balaa linakuja.
Zile dakika Ni Arteta mwenyewe huwa anafanya vile kulinda magoli

Anamtoa Jesus ,akamleta nketiah na holding kwa ajiri ya kulinda goli

Sokoni tusubiri kesho Kuna asilimia kubwa tukashusha mtu

Mikel Arteta kuhusu kama jeraha la Elneny litaathiri mipango ya uhamisho:


"Ni wazi hilo lina athari kwa sababu vilevile, Thomas ni majeruhi, tuna upungufu kidogo katika nafasi hiyo. Tuna Sambi, tuna wachezaji kama Granit ambao wanaweza kucheza huko. Tunaangalia chaguzi tu kwenye soko.
 
Zile dakika Ni Arteta mwenyewe huwa anafanya vile kulinda magoli

Anamtoa Jesus ,akamleta nketiah na holding kwa ajiri ya kulinda goli

Sokoni tusubiri kesho Kuna asilimia kubwa tukashusha mtu

Mikel Arteta kuhusu kama jeraha la Elneny litaathiri mipango ya uhamisho:


"Ni wazi hilo lina athari kwa sababu vilevile, Thomas ni majeruhi, tuna upungufu kidogo katika nafasi hiyo. Tuna Sambi, tuna wachezaji kama Granit ambao wanaweza kucheza huko. Tunaangalia chaguzi tu kwenye soko.
Let's hope kwamba ataletwa mtu wa kazi pale dimba la kati.
 
wachezaji walio chini ya miaka 21 waliofunga magoli mengi Premier League tangu msimu uliopita:

▪️magoli 11 - Bukayo Saka
▪️magoli 9 - Gabriel Martinelli

Wachezaji walio chini ya miaka 21 waliotoka assist nyingi premier league tangu msimu uliopita:

▪️assist 9 - Bukayo Saka
▪️assist 6 - Gabriel Martinelli
 
Albert Sambi lokonga

Arteta anazidi kumuimprove , asikae Sana na mpira
IMG_20220901_011514.jpg
 
Maskini mashabiki wa arsenyeto mpaka unawaonea huruma...wana expect vitu ambavyo timu yao haiviwezi....hichi kikosi ndio cha kuchukua EPL?mtaniita mbwa Niko hapa
 
Back
Top Bottom