Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sion arsenal akimsajili youri tilesman,kila nikijaribu kujiaminisha hii kitu inakataaa.muujiza pekee.napata wazo huyu mchezaji hayuko kwwnye mipango ya arsenal na anatumika kama smokescreen
 
Hakuna sehemu nimesema wanalipa hiyo hela ,

Hiyo Ni release clause ya mchezaji,

Ukufanya negotiation unamchukua kwa reseonable price

Thus why Kuna taarifa Arsenal wametuma ofa ya £20m na palmeras hawataki kumuuza ,wakilingia kipengere Cha RC ya €100m

Arsenal hawezi kulipa hiyo hela (realease clause), more likely watalipa market price. Ila Danilo akilazimisha kuvunja mkataba, basi release clause inahusika.
 
Leo ndio mwanzo wa mwisho wao kukalia kiti cha uongozi wa ligi.
Leo akijitahidi sana ni draw halafu ana mechi nyingine 3 mbele za kukosa ushindi.
AsaniWali, AsaniUbwabwa, AsaniMandondo leo ndio mwanzo wenu wa kutumia mkongojo halafu jumapili mnapasuka si chini ya goli 4.View attachment 2341046
Mzee baba tunapiga wote hao akiwepo na nyumbu
 
🚨 Thomas Partey should be back for the game against Zürich. It’s only a two week layoff. Reports, @GabbyDarko.
 
Leo ndio mwanzo wa mwisho wao kukalia kiti cha uongozi wa ligi.
Leo akijitahidi sana ni draw halafu ana mechi nyingine 3 mbele za kukosa ushindi.
AsaniWali, AsaniUbwabwa, AsaniMandondo leo ndio mwanzo wenu wa kutumia mkongojo halafu jumapili mnapasuka si chini ya goli 4.View attachment 2341046
Aston villa ata akicheza lokonga, points tunachuku vizuri tu

Nyumbuz fimbo zenu nne, zipo pale pale
Degea apewe taarifa kuwa xhaka siku anapigia dimba la juu

Partey tunamuhitaji zaidi kwenye game against city, spurs na liverkuku

#coyg
 
Fixtures Thomas Partey is expected to miss through injury:

◉ Aston Villa (H)
◎ Manchester United (A)
ParteY mpuuzi sana ndo shida ya wachezaj wa kiafrika kudanganya umri. Yan key player kweny team anacheza Mechi 4 Injury ana miss game tatu akirud tena ivo ivo. Huy jamaa wamuuze maan tunawez kujion tuna kikosi kipana kumbe upuuz.
Hizi game za mwanzo ndo za kuchukua point muhim lakn kam ivo ashapat injury naon bado wanaendelea kumlea
 
Lukonga katikati ya dimba
FB_IMG_16619671423667968.jpg
 
1Ramsdale
4White
12Saliba
6Gabriel
3Tierney
34Xhaka
23Sambi Lokonga
7Saka
8Ødegaard
11Martinelli
9Gabriel Jesus

Substitutes

10Smith Rowe
14Nketiah
16Holding
17Cédric Soares
18Tomiyasu
21Ferreira Vieira
27Oliveira Alencar
30Turner
72Smith
 
Zinchenko nae hajapona, tusipo sajili leo, huko mbele tuta tafutana
 
Huyu Vieira kwanini hachezi?

Weka White katikati.

Kulia rudisha Tomiyasu.
 
Sambi Lukonga mzee wa blunders.

Mungu asaidie kwakweli..

Huyu dogo sina imani naye unless awe amejirekebisha.
 
Back
Top Bottom