Bado wana punguzaExcl: Southampton are closing in on Ainsley Maitland-Niles deal. It’s set to be completed on loan with buy option as Arsenal contract will be extended.️
#SaintsFC
Talks ongoing on player side, then medical soon to get the deal done.



Bado Arsenal wahitaji CM na RW kuziba nafasi ya Pepe.Midfield ya Lokonga + Zinchenko sio mbaya paka Partey & El neny kurecover, binafsi ningependa tusajili Right Winger & Tielemans.
Wa mwisho ni Hector Bellerin ambae Barcelona wanamtaka na Arsenal hawataki aende "as free agent" ikifika January.Bado wana punguza![]()
ni leo ndugu , naona tielemans tushamkosa aseeeeeTarehe ya mwisho kwa ajili ya usajili ni lini?
Lengo la Arsenal ni kushinda mechi 5 za mwanzo. Kicha kuangalia mechi zinofuata.Nyie endeleeni kupeana matumaini...Leo mnaenda kuachia nafasi ya wanaume
Duuuh mie maombi yangu yte yapo kwa tielemans tuBado Arsenal wahitaji CM na RW kuziba nafasi ya Pepe.
Anything could happen between now na mwisho wa dirisha la usajili kufungwa.
Pedro, Neves na Danilo haiwezekani ni too late.
Gakpo nae kazungumzwa.
Wamebakia Youri Tielemans wa Leicester, Matt O' Riley wa Celtic na Miralem Pjanic wa Barcelona.
Hata hivyo kuna Weigl wa Benfica ambae huenda akawa ndo mwenye ada ndogo sana kama 13M hivi.
Lolote laweza kutokea ndani ya masaa machache yalobaki.
Leicester wamepunguza sasa wataka 25M ambazo kama Arsenal walikubali basi wataweka dau leo jioni.Duuuh mie maombi yangu yte yapo kwa tielemans tu
Arsenal 4-0 aston villaNyie endeleeni kupeana matumaini...Leo mnaenda kuachia nafasi ya wanaume
naona tunaenda kumchukua kabla dirisha alijafungwaLeicester wamepunguza sasa wataka 25M ambazo kama Arsenal walikubali basi wataweka dau leo jioni.
Mwanzo Leicester walitaka 40M ambazo Arsenal walikataa.
Hiyo fees babu umeionaArsenal are working on a deal for Palmeiras midfielder Danilo ahead of tomorrow’s deadline
(@SamiMokbel81_DM ) - TIER 1![]()

Arsenal hawawezi kulipa 80M pauni ikiwa wameshindwa kulipa 75M pauni kwa Ruben Neves.Danilo
Anacheza no.6 Ile ya Partey vzr anacheza pia AM
Ni presser resistant
Ni passer mzuri
Ukimuangalia unamuona Ni Partey na Odegaard kwa pamoja
Arsenal wanapambana kumleta ,ana release clause ya €100m
Arsenal wanapambana wamlete kwa Bei chee
Ana miaka 21 ,Ni mbadala wa Partey kwa miaka 10
Tukimpata huyu ,itakuwa hatari pale Kati
Nilikua najiuliza kati ya Arteta na Edu nani ana nguvu katika usajili, ila sasa nimepata jibuDanilo
Anacheza no.6 Ile ya Partey vzr anacheza pia AM
Ni presser resistant
Ni passer mzuri
Ukimuangalia unamuona Ni Partey na Odegaard kwa pamoja
Arsenal wanapambana kumleta ,ana release clause ya €100m
Arsenal wanapambana wamlete kwa Bei chee
Ana miaka 21 ,Ni mbadala wa Partey kwa miaka 10
Tukimpata huyu ,itakuwa hatari pale Kati