El_cholo ni mjanja Sana,,,,alijua huyu jamaa ana record ya majeruhi,,,! Nyie mkajaa kichwa kichwa !!!
Tom PArtey soon ataingia kwenye levo za kina ox, thiago, cavani, keita, n.k! When he is there anaprovide 100%, tatizo pancha !!!! PArtey huyu mnaemuimba hawezi kucheza mechi 8 consecutively,,,,, !! Epl Ni long run!!!
Ingie sokoni chap, au zameni hapo king power mumchukue Ndidi,,, !!
Machungu ya EPL mtaanza kuyaona kwa bwana stive G, mechi zilizopita hana matokeo mazuri, atawakamia Sana na hii mido yenu ya lokonga !!!