Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🚨 Arsenal could be forced to sign a new midfielder after a significant injury to Mohamed Elneny vs Fulham.

(Source: @David_Ornstein)
 
Jins Chelsea na man u wanavyocheza wapo kund moja na kina astonvilla,Fulham,

Tukiongeza CM mmoja na RW tutatoa doz Sana

Mechi za kimkakati Ni mbili tu Liverpool and city
 
Huenda leo Arsenal ikatafuta mbadala wa muda mrefu wa Partey

Anatajwa Danilo wa palmeras

Arsenal haitaki Mambo ya short term

Mazungumzo yanaendelea leo
 
Elneny is being assessed but there is hope he is facing weeks, rather months on the sidelines. If Elneny's injury is worse than feared, then Arsenal could make a late move in the transfer market for a midfielder ahead of Thursday's deadline. [@SamiMokbel81_DM]
 
Jins Chelsea na man u wanavyocheza wapo kund moja na kina astonvilla,Fulham,

Tukiongeza CM mmoja na RW tutatoa doz Sana

Mechi za kimkakati Ni mbili tu Liverpool and city
kaka laiti Edu na arteta wangekuwa na mawazo kama yako timu, ingekuwa mbali sana, naona hawa wawili wametulia tu mpaka viungo tegemezi wanaumia, wao hawachukui hatua zozote zaidi ya ukimya.
 
kaka laiti Edu na arteta wangekuwa na mawazo kama yako timu, ingekuwa mbali sana, naona hawa wawili wametulia tu mpaka viungo tegemezi wanaumia, wao hawachukui hatua zozote zaidi ya ukimya.
Tushukuru Elneny kaumia bado dirisha Waz , hivo wamekuwa forced

Had Leo mchana tutarajie news nzuri au tetes za ukweli

Now wanapambana kumleta Danilo
Kwa timu yetu inavyocheza sio sababu yakuangusha point kwa Hawa kina Chelsea na nyumbu
 
Nauona mwisho wetu wakufanya vizuri umefika sasa Tom Partey pengo lake halizibiki kwa sasa huo ndio ukweli games zinazofuata bila Partey tutadondosha point nyingi angalia game ya fulham pengo la Tom limeonekana almanusura tupoteze point tukawin kwa tiatia maji kuumia kwa Tom kwa sasa gunners tupo katika wakati mgumu.
Si mnasema hana IQ ya mpira? Vipi tena
 
🚨Arsenal are confident that Bukayo Saka will sign a new long-term contract at Arsenal.

He would become one of the club’s top earners, alongside players such as Partey and Gabriel Jesus who earn more than £150,000 a week.

(@garyjacob) 🌖
 
kaka laiti Edu na arteta wangekuwa na mawazo kama yako timu, ingekuwa mbali sana, naona hawa wawili wametulia tu mpaka viungo tegemezi wanaumia, wao hawachukui hatua zozote zaidi ya ukimya.
Kumbuka Edu na Arteta wanaweka proposals zao mezani, board na mwekezaji ndio wanaamua kutokana na budget na project iliyopo, wenzetu hawafanyi kazi bila projections.

Huenda Arteta na Edu wanahitaji hata wengine wawili waje, lakini hawezi, ana limitations nyingi.
 
Jinsi Arteta na Edu walivyo tufanya January, sitashangaa tusipo sajili leo, washenzi viburi sana wale
..
Mda ndo huu unayoyoma, yamebak masaa, shit
 
Hizo ndio habari tunazitaka humu

Incase partey akiumia tusikose balance
Mchezaji mzuri kama Partey kuwa pancha kunampunguzia credits sana, hata soko lake linashuka, kifupi ukimuweka sokoni leo pamoja na talent aliyonayo hana bei.

Mechi nne yupo sidelined kwa majeruhi, he can't give you 30 games kwenye season, haifai hata kidogo, kina Xhaka wanaweza kukipiga hata 40 matches bila majeruhi makubwa. Long term replacement ya Partey ni lazima.
 
Jinsi Arteta na Edu walivyo tufanya January, sitashangaa tusipo sajili leo, washenzi viburi sana wale
..
Mda ndo huu unayoyoma, yamebak masaa, shit
Mashabiki tunashindwa kuelewa kitu kimoja, sio Arteta wala Edu mwenye hayo mamlaka, Edu akipewa go ahead analeta mchezaji, asipopewa unataka atoe yake mfukoni, hizi projects zina mikakati yake, huenda board ilishakaa na kuamua no signings in January, tutasubiri hadi summer unless kuwe na significant need.

Sisi tunabaki kulalama ooh Arteta ooh Edu.
 
Mchezaji mzuri kama Partey kuwa pancha kunampunguzia credits sana, hata soko lake linashuka, kifupi ukimuweka sokoni leo pamoja na talent aliyonayo hana bei. Mechi nne yupo sidelined kwa majeruhi, he can't give you 30 games kwenye season, haifai hata kidogo, kina Xhaka wanaweza kukipiga hata 40 matches bila majeruhi makubwa. Long term replacement ya Partey ni lazima.
Partey anatakiwa kuuzwa next season kama team inataka kuachieve big trophies last season alionyesha kuwa ni mtu wa pancha na season hii atakosa at least 4 or 5 games na kacheza games 4 pekee sasa katika mechi 30 zilizobakia atacheza ngapi?huko mbeleni EPL inakuwaga ngumu sana watu wanapambana sasa kama team tunamtegemea Partey akikosekana matatizo yanakuwa makubwa, Elneny na Lokonga sio wa kuwaamini hapo kati sababu Elneny ana games zake kuna siku anaperform refer game ya Manchester United ile ya away baada ya hapo anasinzia na leo ni deadline ya registration let's wait and see tuone nini kitatokea

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom