Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

KAMA NILIVYOWAZA, NDIVYO INAONEKANA ITAKUWA KATI NI ZINNY NA XHAKA

LB NI TIERNY

NADHAN TUTAONA AINA NZURI YA MPIRA

HII NDIO MAANA YA KUWA NA WACHEZAJI VERSATILITY


There is a chance Zinchenko could be fit for tomorrow, which then could lead to him playing in midfield and Tierney staying at left back, as per @MarkyMBryans.
 
Kama kweli Partey atakua wodin game 5, zinampita hivi hivi
ni wazi amekua mpuuzi sasa
Kwa lugha nyepesi anatugharimu

Bila partey nyumbu watarukaruka sana pale kati

Partey achezeshwe hivyo hivyo game na nyumbu
 
Sidhani naona a
Upo sahihi.

Watu wengi wamelipoint hilo jana.

Nafikiri mechi yetu dhidi ya Bournemouth alirudishiwa mpira akaupiga kichwa ila haukwenda mbali, nilikua na washkaji nikasema Magalhaes hua ana maboko ya mtindo huu.

So kuhusu kuchoma ni kweli. Kuhusu yeye kua beki mzuri ni kweli pia.

Na sisi mashabiki tunatamani ajirekebishe. Siku wakiwekwa Saliba na White inawezekana Magalhaes akajikuta anastruggle kurudi kikosini.
Sidhani sababu naona arteta anapenda kutumia beki mmoja wa kati anaetumia mguu wa kushoto.

Binafsi napenda nami nione collabo la saliba ft ben MWEUPE
 
Saka aboreshe uwezo wa umaliziaji, alivyompunguza yule beki nilihisi atachop hivi.. Kwa wachezaji wa daraja la kwanza yale ni magoli kwa 90%
🗣Bukayo Saka akijibu baada ya ushindi wa #Arsenal dhidi ya Fulham:



"Sote tuna njaa ya kushinda kila mchezo. Tutaendelea hivi kwa msimu mzima. Tunajua jinsi Ligi Kuu ilivyo ngumu. Tunaangazia mchezo unaofuata, mchezo unaofuata na unaofuata." 💯
 
Kama kweli Partey atakua wodin game 5, zinampita hivi hivi
ni wazi amekua mpuuzi sasa
Kwa lugha nyepesi anatugharimu

Bila partey nyumbu watarukaruka sana pale kati

Partey achezeshwe hivyo hivyo game na nyumbu
Nauona mwisho wetu wakufanya vizuri umefika sasa Tom Partey pengo lake halizibiki kwa sasa huo ndio ukweli games zinazofuata bila Partey tutadondosha point nyingi angalia game ya fulham pengo la Tom limeonekana almanusura tupoteze point tukawin kwa tiatia maji kuumia kwa Tom kwa sasa gunners tupo katika wakati mgumu.
 
Kama kweli Partey atakua wodin game 5, zinampita hivi hivi
ni wazi amekua mpuuzi sasa
Kwa lugha nyepesi anatugharimu

Bila partey nyumbu watarukaruka sana pale kati

Partey achezeshwe hivyo hivyo game na nyumbu
Duuuh hivyo hivyo mzee
 
Nauona mwisho wetu wakufanya vizuri umefika sasa Tom Partey pengo lake halizibiki kwa sasa huo ndio ukweli games zinazofuata bila Partey tutadondosha point nyingi angalia game ya fulham pengo la Tom limeonekana almanusura tupoteze point tukawin kwa tiatia maji kuumia kwa Tom kwa sasa gunners tupo katika wakati mgumu.
naona mabingwa wa Epl na Europa taratibu akili zinaanza kurudi?
Tuliwaambia mapema kabisa kua hii ligi ni ndefu sana, mechi 38 inahitaji watu wenye pumzi ya kutosha.
 
naona mabingwa wa Epl na Europa taratibu akili zinaanza kurudi?
Tuliwaambia mapema kabisa kua hii ligi ni ndefu sana, mechi 38 inahitaji watu wenye pumzi ya kutosha.
Naona wapinzani hasa manyumbu mnaumia saana sisi kushinda mechi zetu 4 za kwanza na kuongoza ligi..

Mlitaka na sisi tuanze vibaya km mlivyoanza nyie?
Mwaka jana tuanza vibaya mkaongea sana.. sasa mnatakaje?

Tunajua ligi bado ni mbichi, sasa mbona mnaumia sisi kukaa juu? Mbona nyie mlikaa msimu ulioisha kwa mechi za kwanza mkawa mnajiita 'tittle contenders'!

Sisi tunasema hivi.. mwaka huu mtaumia sana nyie maibilisi wekundu!

Na game ya jumapili tunakuja kuwafunga pale pale nyumbani kwenu hata kama tukiwa pungufu, tuwaonyeshe mwaka huu tumekuja vipi!

Pumbaaf kabisa!
 
Nauona mwisho wetu wakufanya vizuri umefika sasa Tom Partey pengo lake halizibiki kwa sasa huo ndio ukweli games zinazofuata bila Partey tutadondosha point nyingi angalia game ya fulham pengo la Tom limeonekana almanusura tupoteze point tukawin kwa tiatia maji kuumia kwa Tom kwa sasa gunners tupo katika wakati mgumu.
Sikweli, mech na Fulham ,Fulham kakaa nyuma dk zote
 
Mechi ya kesho.

Again. No Zinchenko. No Partety.

Wanaachwa wapone vizuri kwa ajili ya game ya weekend.

Nina uhakika tutamaliza na point zote 3 dhidi ya A. Villa
 
Back
Top Bottom