naenjoy sana kumwangalia captain wetu akiwa uwanjani ana vtu magician sanaCAPTAIN MARTIN
View attachment 2337373
Hakuna aliyemponda but fans wanaamini this season hizo mistake aachane nazo aongeze concentration muda wote akiwa uwanjani sio mara moja kufanya mistake ambazo zilikuwa cleared na wenzake hakuna anayemponda but ukweli lazima aambiwe na umemfikia imagine jana angefanya mistake hiyo dk 80 si ingekula kwetu?Sijakataa Magalhaes Kuna Muda huwa anajisahau hata Jana alikuwa free akzingua, lkn tunaponda sana,hivi tumesahau tulikuwa na. Kina mustafi kila baada ya mech 2 anatuuza
Magalhaes kazidiwa umakini na Saliba ,
Hata white mwenyewe hamkuti Saliba
But Magalhaes sio mbovu kihivyo, ana mazuri mengi kuliko mabaya , ndio maana pale Emirates mashabiki wamekuwa wanatia moyo wachezaji hata wanapokosea ,sababu wale sio mashine ,angekuwa anafanya makosa kila baada ya mech 2 Kama enz za kina mustafi ,Kwanza Arteta asingekubali aendelee kucheza pale
Tuwasapot wachezaji wetu hata nyakati ngumu ,
Kakosea ,kaenda kufunga goli , tuangalie mazuri pia
Now tofocus mech ijayo na Astonvilla jtano
Utaratibu Ni 3 points
Upo sahihi.Hakuna aliyemponda but fans wanaamini this season hizo mistake aachane nazo aongeze concentration muda wote akiwa uwanjani sio mara moja kufanya mistake ambazo zilikuwa cleared na wenzake hakuna anayemponda but ukweli lazima aambiwe na umemfikia imagine jana angefanya mistake hiyo dk 80 si ingekula kwetu?at least alifanya dk 56 so time ya kurecover ikapatikana
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Arsenal alibeba moja ya makombe ya UEFA mwaka 1993/1994Nitajie timu kubwa ambayo haina Uefa
Hii final ilikuwa Barcelona vs millan ...au unasema uefa ipiArsenal alibeba moja ya makombe ya UEFA mwaka 1993/1994
Uefa wanayo michuano mbalimbali.Hii final ilikuwa Barcelona vs millan ...au unasema uefa ipi
Nioneshe picha mchezaji yeyote wa arsenal akiwa kanyenyua Hilo kombe.....Uefa wanayo michuano mbalimbali.
Nioneshe picha mchezaji yeyote wa arsenal akiwa kanyenyua Hilo kombe.....
Hivi Magure mshamchukua? Nawaombea sana mumsajili Captain Maguire.Eti Nyie matakataka ..eti wananzengo wanasema nanyi muna Jambo lenu msimu huu ..Ni kweli nyie arse8 wazee wa kupakuana muna Jambo leenu huu msimu?? Mimi nawahakikishia musimu huu mukifaiti Sana mutabeba karabao na kupata at least nafasi ya nne.
Kwa hiyo ww ulitaka tufanyeje?Vi arsenyeto bana eti vinajipa matumaini ya kubeba ubingwa vinachekesha kweli....na mshaanza pata pancha mapema hivi
Magalhaes is not good with the ball, always yupo underpressure, ukitaka kuifunga Arsenal mtarget magalhaes, unampress relentless lazima atakupa goli, kinachompa nafasi ni kwamba he's the Only left footed CB we have, naamini kuna siku Saliba atacheza LCB, White RCB Tomiyasu RB kama usemavyo.Upo sahihi.
Watu wengi wamelipoint hilo jana.
Nafikiri mechi yetu dhidi ya Bournemouth alirudishiwa mpira akaupiga kichwa ila haukwenda mbali, nilikua na washkaji nikasema Magalhaes hua ana maboko ya mtindo huu.
So kuhusu kuchoma ni kweli. Kuhusu yeye kua beki mzuri ni kweli pia.
Na sisi mashabiki tunatamani ajirekebishe. Siku wakiwekwa Saliba na White inawezekana Magalhaes akajikuta anastruggle kurudi kikosini.
Ana last ditch tackles nzuri ila shida ndiyo utulivuMagalhaes is not good with the ball, always yupo underpressure, ukitaka kuifunga Arsenal mtarget magalhaes, unampress relentless lazima atakupa goli, kinachompa nafasi ni kwamba he's the Only left footed CB we have, naamini kuna siku Saliba atacheza LCB, White RCB Tomiyasu RB kama usemavyo.
Off the ball anajitahidi but his space management bado tatizo, tulibishana hapa toka last season, with the ball fella he is not technically good enough, Saliba always anacheza quality balls to him at least inampunguzia flaws, Gabriel anaporeceive utaona often times anakuwa underpressure, Arsenal inahitaji fluidity & Dynamism that's how Arteta wants the team to play.Ana last ditch tackles nzuri ila shida ndiyo utulivu
Hilo Kombe halina jina?Arsenal alibeba moja ya makombe ya UEFA mwaka 1993/1994