Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
I dont give a a shit bro, even in real life i dont like to associate with average people.Ni wa kumuepuka tu, hasa sisi tusiopenda mabishano..
Anajua MADHAFAKA utamwambia nini, sisi woote ni mofos![]()
I dont give a a shit bro, even in real life i dont like to associate with average people.Ni wa kumuepuka tu, hasa sisi tusiopenda mabishano..
Anajua MADHAFAKA utamwambia nini, sisi woote ni mofos![]()
Ingawa mimi ni shabiki wa Nyumbu FC ila hua nakukubali sana hamis77 kwenye chambuzi zako za soka, pia hauko bias unapoelezea au kutoa ushauri katika uchambuzi hata kama unazungumzia timu pinzani, pia kikubwa unajitahidi sana kutumia lugha ya staha, sijawahi kuona kutoka kwako mitusi ya ajabu ajabu (hapa nazungumzia matusi sio ule utani wetu wa kishabiki ambao unachangamsha jukwaa)Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,
Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
Shukran ndugu, huu mpira unatukutanisha humu , kwanini tutukanane, huwez amini kupitia huu mpira nimesaidiwa mambo mengi na fans mbalimbali , ikiwepo kaziIngawa mimi ni shabiki wa Nyumbu FC ila hua nakukubali sana hamis77 kwenye chambuzi zako za soka pia hauko bias unapelezea au kutoa ushauri katika uchambuzi hata kama unazungumzia timu pinzani, pia kikubwa unajitahidi sana kutumia lugha ya staha sijawahi kuona kutoka kwako mitusi ya ajabu ajabu (hapa nazungumzia matusi sio ule utani wetu wa kishabiki ambao unachangamsha jukwaa)
Kikubwa zaidi unapoona unajibishana na mtu ambae sio muelewa hua unajitoa kwenye mjadala kiustaarabu ili kuepesha kuchafua hali ya hewa.
Natamani kwenye hili jukwaa members wote wa Arsenal wangekua kama wewe ila tatizo humu wengi wamekosa malezi ya pande mbili jambo dogo tu la kuelewena katika kutokukubaliana wanaanza kuporomosha matusi machafu ya nguoni.
Hongera sana hamis77 usiache kupita kwenye jukwaa letu la Manchester United kuchangia mawili matatu tufaidike na busara zako.
Shukran ndugu, huu mpira unatukutanisha humu , kwanini tutukanane, huwez amini kupitia huu mpira nimesaidiwa mambo mengi na fans mbalimbali , ikiwepo kazi


pamoja sana Mkuu, wewe pamoja na computerarsenal hua nnawakubali sana.I'm your redpill na unathibitisha kuwa Misery loves company!Hadi hapa naamini na nyie wenzangu mmeona lugha ya huyu mwamba. Nilishashindwana nae mda sana, ukijibu unaambiwa hujui kitu "mofo", au wewe ni "amacha" huna lolote, mimi nikaona sina sababu ya kufanya argument na mtu yupo vulgar na haheshimu mawazo ya wengine mda wote.
Yatosha kakaI'm your redpill na unathibitisha kuwa Misery loves company!
I've noticed something, losers dont accept the truth even if you say it allday, they dont want to Learn shit, they only want to defend their EGOS.
Utasikia "he is too arrogant"
" tuna tofautiana mtazamo blah blah blah"
mpira hauna mtazamao, kama hujui just admit that ujifunze. Mpira sio politics kusema kuna Democratic & Republican,
An inverted full back / isolated winger sounds the same iwe kwa Thomas Tuchel/ klopp/ Arteta/ pep, hakuna suala la mtazamo, sema sijui kaa kimya inatosha, kutetea kitu usichokijua you're spoiling other people's mind.
Kwani wewe unahati milki ya huku hadi utuzuie watu wengine Ili tusije wewe ndo mchawi kiwango cha laami.
😂 😂 😂I dont give a a shit bro, even in real life i dont like to associate with average people.
Leta mzungu, leta mzungu, anajua huyo, anafunga huyo, balaaaMtu usiyejua hata Xhaka anacheza role gani unataka tuArgue nini? Always nikiwaste energy then nikagundua you're just a fool huwa nakudharau mno.
Nakubaliana na wewe!Arsenal shida haipo kwa Partey hata kidogo na sijawahi mtilia shaka huyu na Arsenal ilikosa top 4 baada ya partey kuwa injured so roho ya Arsenal ipo kwa Partey for now CASE CLOSED!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ok, do you think why the fvck cant Arsenal control games enough with the ball like city/ liverpool does while there's qualitative & tactical balance all over the pitch?Arsenal shida haipo kwa Partey hata kidogo na sijawahi mtilia shaka huyu na Arsenal ilikosa top 4 baada ya partey kuwa injured so roho ya Arsenal ipo kwa Partey for now CASE CLOSED!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Arsenal ilikosa top four sio kwamba kocha alikuwa mbovu, mpanga koni wa pep asiye na experience? admit that you're wrongArsenal shida haipo kwa Partey hata kidogo na sijawahi mtilia shaka huyu na Arsenal ilikosa top 4 baada ya partey kuwa injured so roho ya Arsenal ipo kwa Partey for now CASE CLOSED!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Kwa maelezo yako naamini sie wengine tumekuelewa kwa sababu ulichoongea wewe ndio kile kile ambacho wanasema kina Hamisi, ila trust me nakwambia kuwa jamaa hawezi kuwa kakuelewa labda aamue tu kupiga kimya...!Baada ya kufatilia malumbano ya hoja
Hasa text za Will Jr nikijitahidi kusoma line after line
Nimegundua kwamba mmepisha sehemu ndogo tu
Ipo hivi, partey ni anchor, kama uti wa mgongo pale arsenal
Hili wote mmelikubali akiwemo willjr
But how come, tunajikuta tupo kwenye high pressure ata kama tumetangulia kwa goals, mfano game ya Crystal palace?
Ilibid tukiwa tushaweka goals kadhaa, tuweke mpira chini, zipigwe sambusa
Wakijichanganya mtu anachomoka kambani... Mpira uende hivyo
Will Jr mtazamo wako mzuri sana
But unachozungumzia ni responsibility ya whole team
Sio kazi ya mtu mmoja. Anamuonea tu partey
Partey kazi yake kuhakikisha supply ya mipira kutoka nyumba kwenda mbele ipo wakati wote
Kuwin mipira
Kutibua mipango ya wapinzani,
yeye akipata Mali ataachia, kwenye nafasi atajaribu
Kutaka partey awe na anao anao, mwezi wa 10 mbali partey anarudi wodin
Possession ball ni whole team,
Mpira ukiwa mguuni kwa saka/odegard/martinel/jesus/Rowe/xhaka
Yan ukiuchukua uwe umecheza faulo.
Kazi ya partey nimeelezea hapo juu na ndio mahitaji ya arteta
Kuhusu possession ni team nzima
Umeeleza vizuri sana... Yaani jamaa amekomaa kabisa na anataka kutulazimisha wote tuamini kuwa Partey Hana football IQ..Kwa maelezo yako naamini sie wengine tumekuelewa kwa sababu ulichoongea wewe ndio kile kile ambacho wanasema kina Hamisi, ila trust me nakwambia kuwa jamaa hawezi kuwa kakuelewa labda aamue tu kupiga kimya...!
Yeye amebase na point ya kuwa partey hana IQ ndomana wadau wengine wakasema kama partey hana IQ basi Mctominay atakuwa hana ubongo kabisa coz hoja yake ya IQ haimake sense
so anachoangalia ndugu yetu sio kwamba Partey anafanikisha majukumu yake Kwa asilimia ngapi awapo uwanjani bali yeye anachotaka ni IQ utadhani uwanjani ni sehemu ya kupima IQ za wachezaji au ni sehemu ya Kuangalia contribution zao kulingana na position and their roles
Issue ya control game sio ya mchezaji mmoja, ata huyo Sergio wa enzi za Barca hakuwa na hayo majukumu ya kucontrol game, alikuwa anatimiza majukumu yake the same way ambavyo Partey anatimiza, ila wakiamua kupossess ilikuwa ni issue ya team nzima
Tuliwahi kuwa na viungo kama kina coquelin ila tulikuwa tunaposess na kucontrol game ata kama tunafungwa kwakuwa kilichokuwa kinafanya hilo liwezekane ni system na sio IQ ya coquelin wala wilshere
Kuna sehemu naelewa unachokisema kwa upande wako ila kusema mpira hauna mtizamo unakosea na sio sahihi. Mpira sio kanuni za hisabati wala fizikia kwamba lzm utumie kanuni fulani kupata majibu.I'm your redpill na unathibitisha kuwa Misery loves company!
I've noticed something, losers dont accept the truth even if you say it allday, they dont want to Learn shit, they only want to defend their EGOS.
Utasikia "he is too arrogant"
" tuna tofautiana mtazamo blah blah blah"
mpira hauna mtazamao, kama hujui just admit that ujifunze. Mpira sio politics kusema kuna Democratic & Republican,
An inverted full back / isolated winger sounds the same iwe kwa Thomas Tuchel/ klopp/ Arteta/ pep, hakuna suala la mtazamo, sema sijui kaa kimya inatosha, kutetea kitu usichokijua you're spoiling other people's mind.
I agree with you, however Partey should think of team's control, If a holding midfielder thinks of scoring goals all the time that means he lacks football IQ.Baada ya kufatilia malumbano ya hoja
Hasa text za Will Jr nikijitahidi kusoma line after line
Nimegundua kwamba mmepisha sehemu ndogo tu
Ipo hivi, partey ni anchor, kama uti wa mgongo pale arsenal
Hili wote mmelikubali akiwemo willjr
But how come, tunajikuta tupo kwenye high pressure ata kama tumetangulia kwa goals, mfano game ya Crystal palace?
Ilibid tukiwa tushaweka goals kadhaa, tuweke mpira chini, zipigwe sambusa
Wakijichanganya mtu anachomoka kambani... Mpira uende hivyo
Will Jr mtazamo wako mzuri sana
But unachozungumzia ni responsibility ya whole team
Sio kazi ya mtu mmoja. Anamuonea tu partey
Partey kazi yake kuhakikisha supply ya mipira kutoka nyumba kwenda mbele ipo wakati wote
Kuwin mipira
Kutibua mipango ya wapinzani,
yeye akipata Mali ataachia, kwenye nafasi atajaribu
Kutaka partey awe na anao anao, mwezi wa 10 mbali partey anarudi wodin
Possession ball ni whole team,
Mpira ukiwa mguuni kwa saka/odegard/martinel/jesus/Rowe/xhaka
Yan ukiuchukua uwe umecheza faulo.
Kazi ya partey nimeelezea hapo juu na ndio mahitaji ya arteta
Kuhusu possession ni team nzima
Sio kwamba mimi naona, strucure ndio inataka hivyo, this is positional play & we're possessional based team /we should dominate teams per 90. We've got the qualitative and tactical balance to do so.Kuna sehemu naelewa unachokisema kwa upande wako ila kusema mpira hauna mtizamo unakosea na sio sahihi. Mpira sio kanuni za hisabati wala fizikia kwamba lzm utumie kanuni fulani kupata majibu.
Mpira una mitizamo tofauti ndio maana hapa kuna mjadala juu ya Partey kwa jinsi unavyomuona na unavyofikiri yeye afanye lkn pia kuna mwingine anaona na kufikiri kuwa Partey yuko sahihi kabisa. Hivyo usije kusema kuendelea kusema kwamba mpira hauna mtizamo wakati kila kocha anamtumia mchezaji kwa namna anavyoona ni sahihi kwake kumtumia.
Nilichokuelewa ni kwamba wewe unaona kama timu inaongoza na inataka kuendelea kudhibiti au kutawala mchezo basi hakuna haja ya Partey kushindwa kukaa na mpira. Nimekulewa kwa vile ndo aina ya mpira unaoupenda na kuufurahia.