Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Mjomba umeandika na akili yako au umelewa?MR Partey is too aggressive, amefeli kuslow it simple,mwanzo nilidhani labda kwa kuwa anapewa majukumu mengi cuz timu ilikuwa hovyo sana ila sasa nadhani analack IQ, Pep hakuwa mjinga kumchukua Rodri akamuacha partey, niliona Arsenal inahusishwa na Tonali, km atasajiliwa nadhani over time anaweza kuchukua nafasi yake.
Kwa sasa shida yetu ni Mr Xhaka yupo slow mno, Gabriel magalhaes? fvck No.

