Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Wtf bro! Iam talking of control, i don't talk of how good he is, mbona tunashindwa kuelewana kwa vitu vidogo tu, im talking of tactical execution from MR partey. Siongei kuwa ana ubora gani individually.Mkuu haina haja ya kurudi tulikofunika kombe, binafsi niliamua kukaa kimya tuliache(naheshimu maoni yako, si lazima sote tuwe sawa, hii ni nature kabisa)
Ila kwangu uzungumzacho sicho, kwangu partey anaitendea haki nafasi yake kwa A+, hii kazi ilimshinda xhaka, tukawa na maboko mengi yaliyosababisha magooli kibao, toka aje ishu imepungua, tizama mashambulizi yetu yanavyoanza, tizama anavyoiamuru timu kuondola nyuma, anaisogeza kwa touches zake, mikimbio bila mpira ama dribbling, kitu kimoja tu si mzuri saana wa kupiga long balls, kwa position yake anahitaji mnoo hii kitu..
Anaweza fanya kazi yake fresh, wenzie wakashindwa timiza majukumu yake, msimu uliopita game na man city tu aliwaweka hao kina rodri na wenzie mfukoni akawa anatamba yeye tu.
kitu kingine Xhaka sio mchezaji wa single pivot, na hajawahi kucheza single pivot.