Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu haina haja ya kurudi tulikofunika kombe, binafsi niliamua kukaa kimya tuliache(naheshimu maoni yako, si lazima sote tuwe sawa, hii ni nature kabisa)

Ila kwangu uzungumzacho sicho, kwangu partey anaitendea haki nafasi yake kwa A+, hii kazi ilimshinda xhaka, tukawa na maboko mengi yaliyosababisha magooli kibao, toka aje ishu imepungua, tizama mashambulizi yetu yanavyoanza, tizama anavyoiamuru timu kuondola nyuma, anaisogeza kwa touches zake, mikimbio bila mpira ama dribbling, kitu kimoja tu si mzuri saana wa kupiga long balls, kwa position yake anahitaji mnoo hii kitu..

Anaweza fanya kazi yake fresh, wenzie wakashindwa timiza majukumu yake, msimu uliopita game na man city tu aliwaweka hao kina rodri na wenzie mfukoni akawa anatamba yeye tu.
Wtf bro! Iam talking of control, i don't talk of how good he is, mbona tunashindwa kuelewana kwa vitu vidogo tu, im talking of tactical execution from MR partey. Siongei kuwa ana ubora gani individually.

kitu kingine Xhaka sio mchezaji wa single pivot, na hajawahi kucheza single pivot.
 
Unadhani sergio hiyo kazi ni pekee yake.. Katika mpira kuna pairs.. Mmoja akitoa boko mwingine anakuwa katika wakati mgumu, sergio shughuli yake ilikiwa nyepesi na kina xavi, je busquets huyu ndio yule!?
Sergio ni single pivot player toka kipindi cha pep Guardiola, hata kwa sasa Barca wanatumia 433 under Xavi, role ya Sergio ni kama Partey at Arsenal.
 
Mfano mzuri mkuu, Thomas partey is physically & technically better than Sergio bosquets, lakini nani anacontrol games vizuri btn them? Jibu ni Sergio bosquets, why? He got an IQ, he understands how to dictate the tempo of the game.

Mr mikel Arteta umemquote hapo juu anaongea kuhusu kuusoma mchezo, reading the game, maana yake kwamba tunaongoza goli nne mchezo uwendaje? Au Tumefungwa tupo nyuma kwa goli moja mchezo uendaje? Na anasema wazi ndio kazi ya Partey.
sasa Mr Partey tunaongoza goli 4 yeye yupo vertical tu instead of making it simple & short, nikisema analack IQ nakosea? Na nashangaa unamsupport it's ok kutokuhold mpira for a while wakati timu inaongoza goli 4, sasa atacontrol vipi mchezo? Kwa kucheza direct footie, sisi sio Counter attack teams, we're possessional based.
Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,

Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
 
Wtf bro! Iam talking of control, i don't talk of how good he is, mbona tunashindwa kuelewana kwa vitu vidogo tu, im talking of tactical execution from MR partey. Siongei kuwa ana ubora gani individually.

kitu kingine Xhaka sio mchezaji wa single pivot, na hajawahi kucheza single pivot.
Ndio maana mimi na wewe hatuelewani, na hatutoelewana, tuache km ilivyo mkuu, mie nazungumzia tactically we unasema namzungumzia individual.

Umesahau xhaka kacheza pale ndio alikiwa anaenda kupokea mpirani kwa kipa au beki za kati then mabolo likolo yakawa yanazaliwa. 😂
 
NILISEMA JUZI MARTINELLI ATAMUHARIBIA FOFANA BEI ,

Leo Nizaar kinsela mwandishi wa habari za Chelsea Kutoka Standard sport anasema

Wesley Fofana has informed Leicester City of his desire to move to #Chelsea, growing frustrated with the price tag set for him.

[via @NizaarKinsella]


The defender fears that #Chelsea could walk away from a deal after his performance against Arsenal at the weekend.

[via @NizaarKinsella]

Martinell Mungu anamuona , kashusha Bei ya Fofana🤣🤣
 
Sergio ni single pivot player toka kipindi cha pep Guardiola, hata kwa sasa Barca wanatumia 433 under Xavi, role ya Sergio ni kama Partey at Arsenal.
Hujajibu swali, unadhani alichokuwa anakifanya sergio hakina msaada wa kina xavi? Akicheza na beki maguire, kiungo mctominay atafanya kwa usahihi anachofanya!?
 
Ndio maana mimi na wewe hatuelewani, na hatutoelewana, tuache km ilivyo mkuu, mie nazungumzia tactically we unasema namzungumzia individual.

Umesahau xhaka kacheza pale ndio alikiwa anaenda kupokea mpirani kwa kipa au beki za kati then mabolo likolo yakawa yanazaliwa. 😂
Kuna tatizo huenda jamaa limemkumba, Siku hizi kumekuwa na shida nyingi ,ndio maana hate matukio ya watu kujiua ,kuua ,yamekuwa mengi,
 
Ndio maana mimi na wewe hatuelewani, na hatutoelewana, tuache km ilivyo mkuu, mie nazungumzia tactically we unasema namzungumzia individual.

Umesahau xhaka kacheza pale ndio alikiwa anaenda kupokea mpirani kwa kipa au beki za kati then mabolo likolo yakawa yanazaliwa. 😂
Kuna tatizo huenda jamaa limemkumba, Siku hizi kumekuwa na shida nyingi ,ndio maana hate matukio ya watu kujiua ,kuua ,yamekuwa mengi,
 
Na wasiwasi una tatizo la afya ya akili, au una overthink Sana imepekekea matatizo,

Binafsi najitoa huu mjadala nakuachia endelea na makaveli10 Labda mtawezana,
kutofautiana na wewe kimtazamo nimekuwa na matatizo ya afya ya akili? unaonesha ni namna gani ulivyo amateur. Im saying again You're not professional,
 
kutofautiana na wewe kimtazamo nimekuwa na matatizo ya afya ya akili? unaonesha ni namna gani ulivyo amateur. Im saying again You're not professional,
Kuwa na tatizo la akili ,wengi tunapuuzia had serikari ,wanafumbia macho, ndio maana matatizo, ya watu kujiua ,kuua,kufanya Mambo ya ajabu , yamekuwa mengi, wewe unajiona upo sahihi .
 
Ndio maana mimi na wewe hatuelewani, na hatutoelewana, tuache km ilivyo mkuu, mie nazungumzia tactically we unasema namzungumzia individual.

Umesahau xhaka kacheza pale ndio alikiwa anaenda kupokea mpirani kwa kipa au beki za kati then mabolo likolo yakawa yanazaliwa.
Kucheza pale sio sababu, Xhaka ni double pivot player, akicheza hapo wanakuwa wawili kwenye pivot area, sio single pivot kama partey, hawafanani role zao na ubora wa Xhaka ni build up phases lazima aende kupokea, wewe unatoka kigoma?

Duuh! These mfs know nothing about football and think they know shit. Just average losers.
 
Kucheza pale sio sababu, Xhaka ni double pivot player, akicheza hapo wanakuwa wawili kwenye pivot area, sio single pivot kama partey, hawafanani role zao na ubora wa Xhaka ni build up phases lazima aende kupokea, wewe unatoka kigoma?

Duuh! These mfs know nothing about football and think they know shit. Just average losers.
Basi mzee umeshinda, kuanza kutumia lugha za kukashifu na matusi, ni dalili ya kuwa umefilisika kihoja.

Bahati mbaya au nzuri sijawahi kukutusi ama kumtusi mtu hapa, nazungumza yangu, tukishindwana nashika njia yangu, haina haja ya kutoka povu, hatujuani, arsenal haitujui. Labda yabaki masihara ya kufurahisha baraza

Basi nyinyi mkishajua MADHAFAKA mnajikuta kifua mbele kama mmepigwa gumi la mgongo 😂
 
🚨 || Now Rúnarsson has gone on loan, the club are looking to move both Bellerín & AMN on. Could potentially go late into the window [Via - @SR_Collings].
 
Basi mzee umeshinda, kuanza kutumia lugha za kukashifu na matusi, ni dalili ya kuwa umefilisika kihoja.

Bahati mbaya au nzuri sijawahi kukutusi ama kumtusi mtu hapa, nazungumza yangu, tukishindwana nashika njia yangu, haina haja ya kutoka povu, hatujuani, arsenal haitujui. Labda yabaki masihara ya kufurahisha baraza

Basi nyinyi mkishajua MADHAFAKA mnajikuta kifua mbele kama mmepigwa gumi la mgongo
Hadi hapa naamini na nyie wenzangu mmeona lugha ya huyu mwamba. Nilishashindwana nae mda sana, ukijibu unaambiwa hujui kitu "mofo", au wewe ni "amacha" huna lolote, mimi nikaona sina sababu ya kufanya argument na mtu yupo vulgar na haheshimu mawazo ya wengine mda wote.
 
Hadi hapa naamini na nyie wenzangu mmeona lugha ya huyu mwamba. Nilishashindwana nae mda sana, ukijibu unaambiwa hujui kitu "mofo", au wewe ni "amacha" huna lolote, mimi nikaona sina sababu ya kufanya argument na mtu yupo vulgar na haheshimu mawazo ya wengine mda wote.
Ni wa kumuepuka tu, hasa sisi tusiopenda mabishano..

Anajua MADHAFAKA utamwambia nini, sisi woote ni mofos 😂
 
Basi mzee umeshinda, kuanza kutumia lugha za kukashifu na matusi, ni dalili ya kuwa umefilisika kihoja.

Bahati mbaya au nzuri sijawahi kukutusi ama kumtusi mtu hapa, nazungumza yangu, tukishindwana nashika njia yangu, haina haja ya kutoka povu, hatujuani, arsenal haitujui. Labda yabaki masihara ya kufurahisha baraza

Basi nyinyi mkishajua MADHAFAKA mnajikuta kifua mbele kama mmepigwa gumi la mgongo
Mtu usiyejua hata Xhaka anacheza role gani unataka tuArgue nini? Always nikiwaste energy then nikagundua you're just a fool huwa nakudharau mno.
 
Back
Top Bottom