Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🚨 Alex Rúnarsson is now in Turkey undergoing medicals and will sign his Alanyaspor contract. Reports, @ertansuzgun.
 
Msimu uliopita chelshit anapigwa kukiwa na lundo la majerui

Msimu huu je?
Hapo kumbuka zinchenko, Jesus, Vieira, wote watakuwepo

Madogo wa London hawawezi kutusumbua
Arsenal ni kikundi cha wahuni hata siku moja hamuwezi kutoka nje kwenye kundi la watu nakujisifu kuwa mnatimu ya kutisha zaidi ya timu Chelseafc tena mkae kimya kwakutulia
 
Nitakubaliana na wewe tu endapo utasema anatakiwa ku-hold mpira pale timu inapokuwa kwenye pressure so anahold ili kuituliza timu vinginevyo binafsi sioni ulazima wa DM kuhold mpira
Ndio maana ya control, kudictate tempo ya mchezo ni kazi yake, yeye ndio anaamua mpira uende kwa haraka au slow, kuhold mpira maana yake anaretain possession kwa upande wetu sababu tupo mbele kwa goli mbili bila hakuna haja ya kuforce mambo, mpinzani anapoukosa mpira kwa muda inawapa confidence wachezaji wetu. Jifunze mpira.
 
Suala la game control linawapa ugumu watu wengi humu kulielewa, kama unaifuatilia Arsenal utakumbuka mechi ya Watford vs Arsenal 2-2 under Unai Emery.

Ukweli ni kuwa kwenye ile mechi Arsenal hawakuwa na controller( Partey), pia hatukuwa na technicians wazuri wakuretain possession by that time. Niliandika technique ni method ya kucontrol game when you're in possession, ile Game tuliongoza goli mbili first half, so what went wrong? Watford waligain Confidence baada ya Arsenal kuwa wanadispossess sana mpira. Watford alipiga shot 37 nakumbuka,

Game ya juzi baada ya kukosa Control ya mchezo Leicester walianza kupata confidence paka ikawa 3-2, bahati mbaya wao walikuwa na GK mbovu kuliko, against big four huwezi kuscore goli kama la Xhaka au Martinelli. Game control is key & Thomas Partey is a good player, however he lacks IQ.
 
Arsenal ni kikundi cha wahuni hata siku moja hamuwezi kutoka nje kwenye kundi la watu nakujisifu kuwa mnatimu ya kutisha zaidi ya timu Chelseafc tena mkae kimya kwakutulia
Umefuata nn huku? Kama sio umbea mchawi sio lazima apae na ungo
 
Tomiyasu kapona majeraha hii ina maana kati ya Saliba,White na Magalhaes mmoja ataanzia benchi, Tomi anarudi kuchukua nafasi yake ya RB.
 
🚨 Arsenal goalkeeper Alex Runarsson has arrived in Alanya for his Alanyaspor medical & contract procedures ahead of his move to Turkey. [@ertansuzgun] #afc
 
Game ya juzi baada ya kukosa Control ya mchezo Leicester walianza kupata confidence paka ikawa 3-2, bahati mbaya wao walikuwa na GK mbovu kuliko, against big four huwezi kuscore goli kama la Xhaka au Martinelli. Game control is key & Thomas Partey is a good player, however he lacks IQ.
Wewe ndugu Kuna sehemu ukiongea huu ujinga utapigwa makofi, endelea kuongea humu humu ,sijui Partey Hana IQ , sijui ha hold mpira na bla bla nyingine

Lile goli alilofungwa De gea nahili lakipa wa Leicester lipi rahisi?

Kwa sabab kafunga martinell ndio maana unasema ubovu wa kipa magoli kama yale makipa karibu kila matchday wanafungwa mzee ni far post ile kipa anakuwa mbali kuufikia mpira

Mpira sio mchezo wa perfect 100%

Nakushauri endelea kuongea hayo unayosema humu humu ,
 
we are similar but not same,tofauti zetu ndo ubora wetu.kadri tunavyotofautiana kimtazamo ndio wadau wanapata hamu ya kuja kujifunza mpira kwa angle tofauti humu ndani.tuwe logical na sio emotional
 
Wewe ndugu Kuna sehemu ukiongea huu ujinga utapigwa makofi, endelea kuongea humu humu ,sijui Partey Hana IQ , sijui ha hold mpira na bla bla nyingine

Lile goli alilofungwa De gea nahili lakipa wa Leicester lipi rahisi?

Kwa sabab kafunga martinell ndio maana unasema ubovu wa kipa magoli kama yale makipa karibu kila matchday wanafungwa mzee ni far post ile kipa anakuwa mbali kuufikia mpira

Mpira sio mchezo wa perfect 100%

Nakushauri endelea kuongea hayo unayosema humu humu ,
Sancho pia alishamfunga Ederson goli la aina iyo
 
we are similar but not same,tofauti zetu ndo ubora wetu.kadri tunavyotofautiana kimtazamo ndio wadau wanapata hamu ya kuja kujifunza mpira kwa angle tofauti humu ndani.tuwe logical na sio emotional
Sahihi,Kuna watu wanadhan mpira utashambulia wewe tu ,usishambulie au usifanye mistake

Mfano liverpool alipigwa vizuri tuh na FULHAM laiti fulham wangekuwa na total control of defense wangeshinda kirahisi sana in football huwezi kucheza dakika zote wewe
 
Game za mapema, ijumaa, j3, huwa si nyepeso, hii game km Liverpool akkishinda basi nii kwa mbiinde kweli kweli
 
Back
Top Bottom