Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Arsenyeto machizi fc punyeto fc
Arsenal ni kikundi cha wahuni hata siku moja hamuwezi kutoka nje kwenye kundi la watu nakujisifu kuwa mnatimu ya kutisha zaidi ya timu Chelseafc tena mkae kimya kwakutuliaMsimu uliopita chelshit anapigwa kukiwa na lundo la majerui
Msimu huu je?
Hapo kumbuka zinchenko, Jesus, Vieira, wote watakuwepo
Madogo wa London hawawezi kutusumbua
Ndio maana ya control, kudictate tempo ya mchezo ni kazi yake, yeye ndio anaamua mpira uende kwa haraka au slow, kuhold mpira maana yake anaretain possession kwa upande wetu sababu tupo mbele kwa goli mbili bila hakuna haja ya kuforce mambo, mpinzani anapoukosa mpira kwa muda inawapa confidence wachezaji wetu. Jifunze mpira.Nitakubaliana na wewe tu endapo utasema anatakiwa ku-hold mpira pale timu inapokuwa kwenye pressure so anahold ili kuituliza timu vinginevyo binafsi sioni ulazima wa DM kuhold mpira
Sasa iniume Timu ovyo hii?timu inayopigania kuingia big 4 wakati Sisi timu kubwakubwa tunapigania kuchukua makombe.Kama inauma si uchomoe mkuu?![]()
Umefuata nn huku? Kama sio umbea mchawi sio lazima apae na ungoArsenal ni kikundi cha wahuni hata siku moja hamuwezi kutoka nje kwenye kundi la watu nakujisifu kuwa mnatimu ya kutisha zaidi ya timu Chelseafc tena mkae kimya kwakutulia
Sasa kama ndio hivyo mbona umeleta mdomo wako huku?Sasa iniume Timu ovyo hii?timu inayopigania kuingia big 4 wakati Sisi timu kubwakubwa tunapigania kuchukua makombe.
Wewe ndugu Kuna sehemu ukiongea huu ujinga utapigwa makofi, endelea kuongea humu humu ,sijui Partey Hana IQ , sijui ha hold mpira na bla bla nyingineGame ya juzi baada ya kukosa Control ya mchezo Leicester walianza kupata confidence paka ikawa 3-2, bahati mbaya wao walikuwa na GK mbovu kuliko, against big four huwezi kuscore goli kama la Xhaka au Martinelli. Game control is key & Thomas Partey is a good player, however he lacks IQ.
Sancho pia alishamfunga Ederson goli la aina iyoWewe ndugu Kuna sehemu ukiongea huu ujinga utapigwa makofi, endelea kuongea humu humu ,sijui Partey Hana IQ , sijui ha hold mpira na bla bla nyingine
Lile goli alilofungwa De gea nahili lakipa wa Leicester lipi rahisi?
Kwa sabab kafunga martinell ndio maana unasema ubovu wa kipa magoli kama yale makipa karibu kila matchday wanafungwa mzee ni far post ile kipa anakuwa mbali kuufikia mpira
Mpira sio mchezo wa perfect 100%
Nakushauri endelea kuongea hayo unayosema humu humu ,
Sahihi,Kuna watu wanadhan mpira utashambulia wewe tu ,usishambulie au usifanye mistakewe are similar but not same,tofauti zetu ndo ubora wetu.kadri tunavyotofautiana kimtazamo ndio wadau wanapata hamu ya kuja kujifunza mpira kwa angle tofauti humu ndani.tuwe logical na sio emotional
Unakumbukumbu nzuri, ila kwakuwa Martinell bas kipa mbovuSancho pia alishamfunga Ederson goli la aina iyo
Game imeisha 1 - 1, Hii ligi ni ngumu sanaGame za mapema, ijumaa, j3, huwa si nyepeso, hii game km Liverpool akkishinda basi nii kwa mbiinde kweli kweli