Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.

Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.

Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).

Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.
Partey hii ya kuachia mpira fasta ndio Arteta anaitaka Sasa, ili kuleta fluidity,

Halafu Partey unamsingizia TU,sio mtu wakurudisha ovyo mpira nyuma ,

Mpira unachezwa kwa triange , angle zake za kupeleka mpira Ni kwa mabeki na pemben , ila uwezo binafsi ndio unamfanyaga apitishe Kati

Hi ya Partey kutokaa na mpira itamsaidia atacheza game nyingi sana na ndio hitaji la kila mwana arsenal Duniani,Partey akicheza angalau mech 30 basi Arsenal Ni title contender
 
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
Eti Chelsea B

Kenge kweli wewe ,hukuweka hata mchezaji mmoja wa academy

Huna timu na Leo ukizubaa spursy anapita na wewe
 
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
Eti Chelsea B

Kenge kweli wewe ,hukuweka hata mchezaji mmoja wa academy

Huna timu na Leo ukizubaa spursy anapita na wewe
 
Unataka Partey akae na Moira was nn? Moira wakuachia ndio wenyewe Sasa wanaucheza arsenal toka preseason, tena huu utampunguzia majeruhi

Hao Liverpool ,city hizo chance wanakosa Sana usikariri,

Jana Brentford a middle team ka score chances Kama hizo,

Hatuwez kucheza mpira peke yetu, tusishambuliwe, hakuna perfection ya hivo.

Unamuona Partey Hana IQ, ila aliwapoteza rodri ,kdb na Silva pale Emirates.

Arsenal ipo kusaka Mbadala wa Partey ,kwasasa Ni Ngumu kumpata mchezaji Kama Partey au anayekaribiana

Namuona FDJ, sokon .....

Makosa yapo ,maana wale Ni binadamu, au timu gan haina makosa?
Unasema Partey akae na mpira wa nini? Wtf? Unaelewa maana ya holding midfield? Unaelewa maana ya game Control? Unaelewa maana ya possession kwenye Possession based team? Hiyo haya ya kwanza tu inatosha siendelei tena.
 
TOt wakiwaacha salama siyawaelewa kabisa. Nyie ni chakula Yao hao wahuni tu hakuna namna Arif..
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
 
guys mnaona pressing ya chelsea?
Yaah! hiyo ndio maana ya game control, Chelsea ni possession based, ndio maana intensity unaiona kwenye structure, sasa tukiongea humu watu "Arsenal this, Arsenal that"

Mtu anakwambia sio lazima kuwin possession, wakati principles za uchezaji wetu zimerely thru possession, WTF!
 
Yaah! hiyo ndio maana ya game control, Chelsea ni possession based, ndio maana intensity unaiona kwenye structure, sasa tukiongea humu watu "Arsenal this, Arsenal that"

Mtu anakwambia sio lazima kuwin possession, wakati principles za uchezaji wetu zimerely thru possession, WTF!
any way kama chelsea asiposwitch kutumia longballs na couter sioni akishinda hii game,kante na joghi wanafanya kaz ya maana.pia lofteen cheeek na cucurella wanafanya kaz yao vizuri.
ila chelsea wangetaka kupata the best out of raheem wangesajili striker halafu jamaa akarudi winger
 
moja kati ya team ambazo huwa siziwazii ni spurs
Spurs anacheza kama nyumbu B

Huu mpira anaocheza Chelsea, akija kwa arsenal inabid abadilike
Saliba white Gabriel hawacheki na kima pale nyuma ata kidogo

Beki za Chelsea zinavyokatika na kupanda sana mbele, tutakuja kuwafanya vibaya sana

Mido ata akiwa xhaka huwa tunawakamata vizuri mno Chelsea

Sipati picha hili kombo la sasa hiv, ani partey xhaka, zinchenko, odegard


Alafu kingine Chelsea ni kama demu wetu huwa tunajipigia ata timu yetu ikiwa tia maji tia maji

Will Jr
Trust the process kweli jana kuna makosa mengi yamejionesha.
Hope arteta atayafanyia kazi
 
Conte sio mzuri kwenye build up, Tuchel analijua hilo, that's why chelsea's intensity ni kubwa mno pale Spurs wanapobuild play, Spurs need to go long.

Mtu akisema Conte atachukua ligi huwa namshangaa, huwezi kuchukua EPL if you dont excel in all facets of play. Hii ligi imeendelea zaidi tactically sio kama alivyokuja 2016, hata kucheza na Brentford / Brighton tu mlima mkubwa siku hizi.
 
Kuna wehu wanaamini Spurs Ni title contender,

Anazidiwa vile na Chelsea , Everton alibishana na chelsea mwanzo mwisho

Spurs Ni mviziaji TU

People say Conte likes to control the game off the ball but his team end up conceding chances after chances after chances. That's not control. That's called riding your luck.

True control without the ball limits the opposition capacity to create meaningful scoring opportunities.
 
guys mnaona pressing ya chelsea?
Ulimuona alipocheza na Everton ? Au akicheza na arsenal anafanyaga wapi hiyo pressing?

Ndio muelewe Spurs hamna kitu, Ni timu inayotaka kushinda kwa counter attack only ,no plan B

Cha ajabu Kuna wachambuz wanaipa ubingwa kabisa
 
No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.

Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.

Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).

Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.
Mkuu una over think sana mpaka unakuwa km vile kwenye meditation. Huwezi kuwa perfect kwa kila kitu ila kuna kitu kimoja kikubwa ambacho kinakufanya uonekane mahili katika position yako. Magalhaes & Partey ni mahili katika nafasi zao kwa uchezaji wao ndio maana wanaonekana wazuri ukilinganisha na wengine
 
Mkuu una over think sana mpaka unakuwa km vile kwenye meditation. Huwezi kuwa perfect kwa kila kitu ila kuna kitu kimoja kikubwa ambacho kinakufanya uonekane mahili katika position yako. Magalhaes & Partey ni mahili katika nafasi zao kwa uchezaji wao ndio maana wanaonekana wazuri ukilinganisha na wengine
Control inahitaji perfection, without perfection you can't control games, control is the key of the game, ni kama maji, ni kama oxygen kwenye maisha ya mtu, haya mambo naona labda hatuelewani tu.

Unachosema ww ni sawa na timu ya Diego simeon inayocontrol game thru counter attack & defending deep kutokuwa compact kwenye blocks zake afu wewe ukasema" oooh bro its ok kutokuwa Compact within blocks, ili mradi tunacheza mpira" WTF!

Nachozungumza sio kwamba natunga ni kitu ambacho hata Mikel anazungumza kila siku, fuatilia mambo.
 
Control inahitaji perfection, without perfection you can't control games, control is the key of the game, ni kama maji, ni kama oxygen kwenye maisha ya mtu, haya mambo naona labda hatuelewani tu.

Unachosema ww ni sawa na timu ya Diego simeon inayocontrol game thru counter attack & defending deep kutokuwa compact kwenye blocks zake afu wewe ukasema" oooh bro its ok kutokuwa Compact within blocks, ili mradi tunacheza mpira" WTF!

Nachozungumza sio kwamba natunga ni kitu ambacho hata Mikel anazungumza kila siku, fuatilia mamb
Sikupingi ila Mambo mengi unayoongea yanatafakarisha aisee

Arteta Ni kweli kila game ana demand matokeo ,Ni makocha wote .
 
moja kati ya team ambazo huwa siziwazii ni spurs
Spurs anacheza kama nyumbu B

Huu mpira anaocheza Chelsea, akija kwa arsenal inabid abadilike
Saliba white Gabriel hawacheki na kima pale nyuma ata kidogo

Beki za Chelsea zinavyokatika na kupanda sana mbele, tutakuja kuwafanya vibaya sana

Mido ata akiwa xhaka huwa tunawakamata vizuri mno Chelsea

Sipati picha hili kombo la sasa hiv, ani partey xhaka, zinchenko, odegard


Alafu kingine Chelsea ni kama demu wetu huwa tunajipigia ata timu yetu ikiwa tia maji tia maji

Will Jr
Trust the process kweli jana kuna makosa mengi yamejionesha.
Hope arteta atayafanyia kazi
Chelsea akikutana na Arsenal ,tunamkabiaga juu

Mfumo wa back 3 dawa yake huwa moja TU OVERLOAD

unawapin wale wingback , kule mbele unazuia wasianze buildup ,

Pale Kati wanabaki viungo wawili , halafu LB anakuwa CM jumlisha na viungo wawili unakuwa na viungo jumla 3 kwa wawili ,
 
Control inahitaji perfection, without perfection you can't control games, control is the key of the game, ni kama maji, ni kama oxygen kwenye maisha ya mtu, haya mambo naona labda hatuelewani tu.

Unachosema ww ni sawa na timu ya Diego simeon inayocontrol game thru counter attack & defending deep kutokuwa compact kwenye blocks zake afu wewe ukasema" oooh bro its ok kutokuwa Compact within blocks, ili mradi tunacheza mpira" WTF!

Nachozungumza sio kwamba natunga ni kitu ambacho hata Mikel anazungumza kila siku, fuatilia mambo.
Ok sawa nakubaliana na wewe kwamba ili kudhibiti mchezo kunahitaji usahihi, lkn je namna ya kudhibiti mchezo inafanana kwa michezo yote au inategemea na mpinzani wako na mpango wa mchezo??

Turudi kwa wachezaji unaowasema specifically kwa Partey, Partey ni DM, ana uwezo wa kukaba, ana uwezo wa kupiga pasi kwa usahihi na ni mnyumbulifu. Amekuwa akifanya kazi nzr ya kuiunganisha timu kutoka kwa mabeki kwenda kwa washambuliaji. Hivyo vitu vimemfanya aonekane yuko perfect kwenye position yake.

Sasa ebu niambie according to wewe unapotaka Partey a-hold mpira unatarajia nini kitokee??. Nijuavyo mimi ni kwamba unapohold mpira lzm uwe na movement ya haraka ili kurusu utengenezaji wa nafasi kwa wenzako. Sasa huoni km atasababisha wapinzani kum-press kwa kuwa anakuwa kwenye zone yake??
 
Back
Top Bottom