hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,326
- 26,781
Partey hii ya kuachia mpira fasta ndio Arteta anaitaka Sasa, ili kuleta fluidity,No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.
Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.
Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).
Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.
Halafu Partey unamsingizia TU,sio mtu wakurudisha ovyo mpira nyuma ,
Mpira unachezwa kwa triange , angle zake za kupeleka mpira Ni kwa mabeki na pemben , ila uwezo binafsi ndio unamfanyaga apitishe Kati
Hi ya Partey kutokaa na mpira itamsaidia atacheza game nyingi sana na ndio hitaji la kila mwana arsenal Duniani,Partey akicheza angalau mech 30 basi Arsenal Ni title contender
