Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan

ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box

Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan

Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist

kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka
Kitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ Xhaka
 
Kwa jinsi fofana alivyoonesha hana thamani ya £90m kwa kupitia martinel talented boy


Alafu Chelsea akienda kuitoa nitawaona hawana akili hadi mashabiki wao
Mnamlaumu Fofana tu kwa kumshusha thamani,mnashindwa kukumbuka Trend anord alifanyiwa matusi na Martinel huyu huyu hadi kloop akawa mbogo mbele ya waandishi wa habari
 
Kitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ Xhaka
Kosa la Maghales ni nini mkuu
 
Kitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ Xhaka
Sawa Sawa Mkuu
 
Kwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan

ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box

Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan

Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist

kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka
Kwa jinsi Zinny anavyotumika timu ikipanda juu yeye anatengeneza double pivot na Partey, kuna nafasi ya Tieney kikosini?
Maana last season tulikua tunamuona Tieney akipanda juu anakua kama LW uku akimruhusu Smith Rowe kuingia ndani kua kama namba 10's yeye na Oderg na Xhaka anabaki kushoto nyuma ya Tieney
Nafasi ya Tieney ipo bado ?????
 
Kwa jinsi Zinny anavyotumika timu ikipanda juu yeye anatengeneza double pivot na Partey, kuna nafasi ya Tieney kikosini?
Maana last season tulikua tunamuona Tieney akipanda juu anakua kama LW uku akimruhusu Smith Rowe kuingia ndani kua kama namba 10's yeye na Oderg na Xhaka anabaki kushoto nyuma ya Tieney
Nafasi ya Tieney ipo bado ?????
Mziki wa zinc, sio poa jamaa ana vyote, kanyimwa mwili tu,, pia pumzi yake game tough anakata zile dakika za sabini sabini, kumbuka game ya palace, mpk dakik ya 80s hivi na ule msako tulio pigiwa na wale maniga,
Haikuwa salama kwetu sana zile dakika hasa ule upande wa zinc yule, ayew na alivyo ingia mateta, jumlisha na ile mi volley ya yule 5 palace yule white simkumbuk jina, zinc alizidiwa ila tu alivyo ingia tienery hali ikatulia,

Na game ya jana leister walipatia gori upande wa zinc, dakik zile zile anazo kataga pumzi,, ila alivyo ingia tienery ali cover,,

Tienery nae sio haba ngoj awe fullfit, kuna zile game tough, atatumika tu, yani uyu jama mbadly pia vil vil,, zil tough game atachafua sana, zinc anafat anatia matechqinc mengi sana,,

Mimi nawaza pale kwa saliba na white tu,, hapa, saliba wa moto (jana bahat mbay kwake ila shughuli yake hasimuliki),, white nae pale kat wa moto vil vile

Pia Big tomi aka japanise master,, ile full back anaitendea haki sana,, maan hap white atamuachia big tomi na sedric

Sedric ni backup nzur tu ya tomi, sio muhalibifu sana wakazi, jamaa anafight na sizan kam watauza huy msim huu tuna game zil carabao na fa game za mwanzo atahusika sana
 
Alafu tukishamla Spurs utafuata wewe ..sisi ndio wababe wa LondOn...
#CFC💙💙💙
IMG_20220724_045903.jpg
 
Huwa hamuelewi maga, lkn ndiye beki ambaye Arteta humuambii kitu

Maga Hana spid tu
Speed yote ile mzee,
m ata kama asipo ongezeka kiwango hivohivo alivo anatosha,

kwenye pita pita zangu mtandaoni sijawai ona maghales ana jajiwa negative na mashabiki ndo kwanza naona humu,
at least xhaka, white, cedric naonaga wamegawa mashabik (wanao wakubali na wasio wakubali) lakin Maghales, Partey ndo naona humu. nafkir tuna watu wenye macho ya mwewe humu
 
Speed yote ile mzee,
m ata kama asipo ongezeka kiwango hivohivo alivo anatosha,

kwenye pita pita zangu mtandaoni sijawai ona maghales ana jajiwa negative na mashabiki ndo kwanza naona humu,
at least xhaka, white, cedric naonaga wamegawa mashabik (wanao wakubali na wasio wakubali) lakin Maghales, Partey ndo naona humu. nafkir tuna watu wenye macho ya mwewe humu
Kabisa , magalhaes Ni kipenz Sana Cha mashabiki ,hata Partey

Ni humu tu ndio naonaga negativity kwa magalhaes

Lkn ndio beki aliyetoka na goli nyingi msimu ulioisha, yupo vzr na mpira , mzuri kwenye buildup ,

Unataka beki gan? Maguire?
 
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..😭😭😭
Ila kijambio chako tulikilamba goli 4.. ni kitamu sana!😆
 
Kabisa , magalhaes Ni kipenz Sana Cha mashabiki ,hata Partey

Ni humu tu ndio naonaga negativity kwa magalhaes

Lkn ndio beki aliyetoka na goli nyingi msimu ulioisha, yupo vzr na mpira , mzuri kwenye buildup ,

Unataka beki gan? Maguire?
No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.

Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.

Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).

Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.
 
Partey ni mchezaji mzuri, ila he lacks IQ, maana kuna watu watakuja bila kuelewa "ooh unasema Partey hajui mpira, kuna kiungo km partey pale Arsenal"
Wtf!
Nakumbuka Maurrizio Sarri akiwa Chelsea alisema "Kante is not technically good enough to play at central midfield" now i understand.
 
No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.

Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.

Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).

Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.
Unataka Partey akae na Mpira was nn? Mpira wakuachia ndio wenyewe Sasa wanaucheza arsenal toka preseason, tena huu utampunguzia majeruhi

Hao Liverpool ,city hizo chance wanakosa Sana usikariri,

Jana Brentford a middle team ka score chances Kama hizo,

Hatuwez kucheza mpira peke yetu, tusishambuliwe, hakuna perfection ya hivo.

Unamuona Partey Hana IQ, ila aliwapoteza rodri ,kdb na Silva pale Emirates.

Arsenal ipo kusaka Mbadala wa Partey ,kwasasa Ni Ngumu kumpata mchezaji Kama Partey au anayekaribiana

Namuona FDJ, sokon .....

Makosa yapo ,maana wale Ni binadamu, au timu gan haina makosa?
 
Back
Top Bottom