OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Alafu tukishamla Spurs utafuata wewe ..sisi ndio wababe wa LondOn...
#CFC💙💙💙
#CFC💙💙💙
Kitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ XhakaKwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan
ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box
Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan
Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist
kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka
Mnamlaumu Fofana tu kwa kumshusha thamani,mnashindwa kukumbuka Trend anord alifanyiwa matusi na Martinel huyu huyu hadi kloop akawa mbogo mbele ya waandishi wa habariKwa jinsi fofana alivyoonesha hana thamani ya £90m kwa kupitia martinel talented boy
Alafu Chelsea akienda kuitoa nitawaona hawana akili hadi mashabiki wao
Uchochoro huo, muda utaongeaMtake radhi saliba wewe
Kosa la Maghales ni nini mkuuKitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ Xhaka
Sawa Sawa MkuuKitu kingine ukichunguza kwa makini utaona Xhaka anacheza zaidi kwenye touchline akicombine na Martinelli, Zinny anakuwa as advanced #8 kwenye settled possession, maana yake xhaka anashindwa kuexcel in BTL that's why Arteta anampa role ya kucover LB/ LW endapo zinny yupo kwenye pivot with partey or as adv #8, ukweli ni kuwa Xhaka si mzuri kwenye progressive phase, ubora wa xhaka ni kwenye build up phase. Xhaka si press resistant, Tielemans ni press resistant kumzidi hata Thiago Alcantara. Arsenal tutaanza kucontrol games kama tutaupgrade hizi profile tatu Magalhaes/ Partey/ Xhaka
Mambo yatakuwa tofauti sana mkuuNafurahi nikiona vitu kama hivi, sasa imagine Tielemans at Lcm & Mr Vieira Rcm, it's so so scary.
Kwa jinsi Zinny anavyotumika timu ikipanda juu yeye anatengeneza double pivot na Partey, kuna nafasi ya Tieney kikosini?Kwa kuangalia game ya palace na hii ya Leicester nimeona kuwa arteta anataka kumtumia Xhaka kama vile pep anavomtumia Gundogan
ila ugumu anaokutana nao kocha Kwa Xhaka ni mzito sana tofauti na Gundogan jamaa ana speed Sana, ni second kadhaa tu anatoka kwenye backline unamkuta kwenye opposition box
Kitendo cha zinny kuwa anaingia ndani kutengeneza double pivot na partey then Xhaka anaenda mbele ni the same na pep anavofanya Kwa Gundogan
Xhaka anakosa quality ya Gundogan Kwanza kwenye ufaster lakini pia kwenye kufanya maamuzi sahihi Kwa wakati sahihi anapokuwa karibu na lango la upinzani, Ila somehow anajitahidi na Hongera kwake kwani ana goal na Assist
kama Xhaka atashindwa totally kumaster vile Arteta anataka ni wazi anampa nafasi kocha kukomaa na tielemans maana wote tunajua vile jamaa Yuko Very Sharp compared na Xhaka
Mziki wa zinc, sio poa jamaa ana vyote, kanyimwa mwili tu,, pia pumzi yake game tough anakata zile dakika za sabini sabini, kumbuka game ya palace, mpk dakik ya 80s hivi na ule msako tulio pigiwa na wale maniga,Kwa jinsi Zinny anavyotumika timu ikipanda juu yeye anatengeneza double pivot na Partey, kuna nafasi ya Tieney kikosini?
Maana last season tulikua tunamuona Tieney akipanda juu anakua kama LW uku akimruhusu Smith Rowe kuingia ndani kua kama namba 10's yeye na Oderg na Xhaka anabaki kushoto nyuma ya Tieney
Nafasi ya Tieney ipo bado ?????
Pole Sana ndugu ,utarudi tuSina simu wakuu ila tupo pamoja.
Hawa kila mech kwao fainalMan United dakika ya 35 wameishapigwa 4 takatifu
Alafu tukishamla Spurs utafuata wewe ..sisi ndio wababe wa LondOn...
#CFC💙💙💙
Huwa hamuelewi maga, lkn ndiye beki ambaye Arteta humuambii kituKosa la Maghales ni nini mkuu
Speed yote ile mzee,Huwa hamuelewi maga, lkn ndiye beki ambaye Arteta humuambii kitu
Maga Hana spid tu
Kabisa , magalhaes Ni kipenz Sana Cha mashabiki ,hata ParteySpeed yote ile mzee,
m ata kama asipo ongezeka kiwango hivohivo alivo anatosha,
kwenye pita pita zangu mtandaoni sijawai ona maghales ana jajiwa negative na mashabiki ndo kwanza naona humu,
at least xhaka, white, cedric naonaga wamegawa mashabik (wanao wakubali na wasio wakubali) lakin Maghales, Partey ndo naona humu. nafkir tuna watu wenye macho ya mwewe humu
Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Ila kijambio chako tulikilamba goli 4.. ni kitamu sana!😆Manure pre season alimpiga liver nne ..saiv anapumulia machine ..wewe umewafunga Chelsea B Basi unaona una timu ..ngoja kwenye ligi tutawalamba vijambio mtabaki mdomo wazi..ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
No, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.Kabisa , magalhaes Ni kipenz Sana Cha mashabiki ,hata Partey
Ni humu tu ndio naonaga negativity kwa magalhaes
Lkn ndio beki aliyetoka na goli nyingi msimu ulioisha, yupo vzr na mpira , mzuri kwenye buildup ,
Unataka beki gan? Maguire?
Unataka Partey akae na Mpira was nn? Mpira wakuachia ndio wenyewe Sasa wanaucheza arsenal toka preseason, tena huu utampunguzia majeruhiNo, Partey & Magalhaes wote wana shida zinazoicost Arsenal kucontrol games.
Ukiangalia kwenye All or Nothing, Arteta anajaribu sana kusisitiza kuhusu players perfection, anaongea kuhusu negativity cuz we want to be the best team in the world. Arsenal tunashinda ila makosa unayaona, kumbuka Fofana chance, ingekuwa liver / city/ spurs unaadhibiwa in 5 mnts.
Kwenye possession based team, control inategemea mambo mawili, technique ukiwa na mpira & Pressing (without the ball).
Partey ni holding mid ndio yupo central, control nzima inaanzia kwake sio kwa Ø / xhaka hawa wanakuwa juu as #8s. Arsenal inaongoza 2-0 vs Leicester, Partey muda wote anacheza vertical kwanini? 2-0 up Partey hataki kuhold mpira ht kwa sekunde mbili anaachia, kwanini? Sio kwamba hana technique ila he lacks IQ, the mental side of the game. Ukumbuke Partey kakuzwa na Diego Simeon thats why game yake ni aggressive mno, na without the ball anakuwa passive.